Bodaboda amuua mtoto wake kwa kumkata shingo

Mawazo plus hali ngumu,plus ukikosa uvumilivu na watu wa kukushauri na kukutia moyo kuhusiana na matatizo yanayokusibu basi jambo kama hilo lililotokea huwa halizuiliki
 
Vina kwa sababu ya Nyege wanakurupuka kuoa wakati hawako tayari bado.
 
Mwana kajiridhisha kumbe nina kazi ya kule mke anaebeba na kuzaa watoto wa wanaume wenzangu kisha ananiletea nihudumie.
Ukiangalia mtu unavyo hustle kwa jasho na damu harafu mpuuzi mmoja anakufanya wewe ni mbweha.

Dogo unakuta Hamwezi Mwanamke, sasa hasira zinaishia kwa watoto.
 
Duuuuh! inasikitisha sana,jamaa(bodaboda) kawaza sana ukute kwenye kazi ya upigaji bodaboda akitafuta riziki ya mke na wanae,kanusurika kifo maranyingi,halafu baadae anakuja anagundua kua watoto siyo wake,atakua aliumia sana,kakosa mshauri,kaua.
 
Ukiangalia mtu unavyo hustle kwa jasho na damu harafu mpuuzi mmoja anakufanya wewe ni mbweha.

Dogo unakuta Hamwezi Mwanamke, sasa hasira zinaishia kwa watoto.
Hasra mbaya sana, inatia uchungu alifanya maamuz machafu sana.
 
Mjinga mmoja
Acha kukurupuka kijana, hii habari kiini chake ni kukamatwa kwa mtuhumiwa.

Habari huwa na muendelezo, na huu ndio muendelezo wa kilichpostiwa huko nyuma. Acha kujifanya mjuzi kwenye habari zinazogusa maisha ya watu.

UWE UNASOMA NA KUELEWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…