kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Siku hizi mkoa wa mara tumepumzika.Muda wowote kuanzia Sasa GEITA na njombe wanajibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi mkoa wa mara tumepumzika.Muda wowote kuanzia Sasa GEITA na njombe wanajibu
Duh uislam huu wa Sudan au Nigeria?uislam ndio suluhisho!
KweliWavaa kobazi na Wagalatia wadai wapo Watu wengine wanaotumia majina tu ili kupata kazi au kurudia shule baada ya kufeli shule.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
uislam wa ulimwengu mzima sio Sudan wala Nigeria tuDuh uislam huu wa Sudan au Nigeria?
Vina kwa sababu ya Nyege wanakurupuka kuoa wakati hawako tayari bado.Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limesema linamshikilia mtu mmoja aitwaye Amedius Mfoi (25) dereva bodaboda mkazi wa Muriet Jijini Arusha kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake aitwaye Amani Amedius Mfoi (03) Mkazi wa Morombo jijini Arusha.
Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha kamishna msaidizi wa Polisi ACP Justine Masejo amesema kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Januari 23, 2024 muda wa saa 12:00 jioni mtaa wa Murieti Tarafa ya Elerai katika manisipaa ya jiji la Arusha.
Kamanda Masejo amebainisha kuwa mtuhumiwa huyo alimkata shingo mtoto huyo na kitu chenye ncha kali na kutenganisha kichwa na kiwiliwili.
Aidha ameeleza kuwa baada ya taarifa hizo kufika Jeshi la Polisi mara moja Jeshi hilo lilianza uchunguzi na kumtafuta mthumiwa huyo kwa kushirikiana na wananchi ambapo walifanikiwa kumkamata muda mchache baadae.
ACP Masejo amesema baada ya uchunguzi Jalada litapelekwa ofisi ya taifa ya mashtaka kwa hatua zaidi za kisheria.
Credit-CloudsTv
Kataa ndoa hapa wametupiga 3 bila tena.Mwana kajiridhisha kumbe nina kazi ya kule mke anaebeba na kuzaa watoto wa wanaume wenzangu kisha ananiletea nihudumie.
Ukiangalia mtu unavyo hustle kwa jasho na damu harafu mpuuzi mmoja anakufanya wewe ni mbweha.Mwana kajiridhisha kumbe nina kazi ya kule mke anaebeba na kuzaa watoto wa wanaume wenzangu kisha ananiletea nihudumie.
Hasra mbaya sana, inatia uchungu alifanya maamuz machafu sana.Ukiangalia mtu unavyo hustle kwa jasho na damu harafu mpuuzi mmoja anakufanya wewe ni mbweha.
Dogo unakuta Hamwezi Mwanamke, sasa hasira zinaishia kwa watoto.
Acha kukurupuka kijana, hii habari kiini chake ni kukamatwa kwa mtuhumiwa.
Habari huwa na muendelezo, na huu ndio muendelezo wa kilichpostiwa huko nyuma. Acha kujifanya mjuzi kwenye habari zinazogusa maisha ya watu.
UWE UNASOMA NA KUELEWA.
arusha njombe geita hii mikoa ya wehu kuua sio case. kuna mingine nimeisitiri tu. lakinj kwa ujumla.sisi watu wa bara wehu. bora ya wa pwani.Arusha watu ni wakatili sana aisee