idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Tuombe uzima tutashuhudia Mengi Sana.Na Mnyonge Mkubwa kuliko wote ni Jiwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe uzima tutashuhudia Mengi Sana.Na Mnyonge Mkubwa kuliko wote ni Jiwe
Mkuu hiyo hela imetoka kwa Tulia mwenyewe, na imerudi kwake..Sanaa haziishi.Mijinga inapata elfu kumi kwa siku inamchangia mtu anayechukua 240m baada ya miaka mitano ukiondoa mamilioni kumi na ushee anayozoa kila mwezi.
Majinga ndiyo yaliwayo...
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya
Anajitejenya mwenyewe na kucheka mwenyewe,kawapa pesa bodaboda kisha anawaita ili waonekane wanemchangia.Boda wa Mbeya wanamjulia wapi tulia,angesingizia hata boda wa Tukuyu.Hawajitambui hao wataendea kuwa boda boda milele
ili iweje , kwa hayo maigizo ?Erythrocyte hapa anaangalia na kutoka machozi
Mkuu ulitaka kutukana au
Mambo ya siasa haya ,Hayataki presha kesho utasikia wameunga juhudi
Hakuna lolote lile hilo ni igizo huyo dada anahangaika tu, mara aende akale vibandani,mara acheze muziki, mara aanzishe tuliatrust upuuzi mtupu.Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya
Maigizo nchi hii hayaishi, eti Tulia mnyonge mwenzao...[emoji23][emoji23][emoji23]