fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mkuu usiangaike nae huyo, habari ni ya uongoUsidanganye watu wanyakyusa hawatoki Mbeya mjini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiangaike nae huyo, habari ni ya uongoUsidanganye watu wanyakyusa hawatoki Mbeya mjini
Chadema sio wazalendokwani ni kosa kuwa chadema? sasa wewe uwekwe upande gani?
Sasa wewe tahira kuna msafwa amebaki MbeyaMkuu usiangaike nae huyo, habari ni ya uongo
Nenda youtube hukoNi uongo, Mi niko hapa barabara ya kuelekea Ilomba (Sai) Hakuna kitu Kama hicho... Kwanini watu wanatengeneza taarifa za uongo, ili kumnufaisha nani wakati nyinyi maisha yao ni duni?
Ni vijana wachache
Kwa kukodishwa? 😂😂Sasa wewe tahira kuna msafwa amebaki Mbeya
Wanyakyusa wa kyela na Tukuyu wamejazana Mbeya
Wasafwa wamekimbia mji wanawinda ndege wasafwa
Sugu bye bye
Sawa mi tahira, kwanini wawaongelea wasafwa katika hoja niliyoiweka? Kukimbia kwao mji Kama usemavyo kunahusiana vipi na hoja yangu ya uongo wa hiyo mission ya kukodisha dereva bodaboda?Sasa wewe tahira kuna msafwa amebaki Mbeya
Wanyakyusa wa kyela na Tukuyu wamejazana Mbeya
Wasafwa wamekimbia mji wanawinda ndege wasafwa
Sugu bye bye
Wasukuma mlinyimwa akiliSugu atunge mistari ya kufoka foka, akiwa tayari ame....hush...hush.....ile msokoto!
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya