Uchaguzi 2020 Bodaboda Mbeya Mjini wamchangia Dkt. Tulia Ackson pesa ya fomu ya Ubunge

Uchaguzi 2020 Bodaboda Mbeya Mjini wamchangia Dkt. Tulia Ackson pesa ya fomu ya Ubunge

Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.

Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.

Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.

Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.

Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.

Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.

Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.

Mambo ya Shikwambi haya
We mleta UZI ni MWANAMKE au Mwanaume?

Maana si kwa mashushu hayo
 
Kweli masikini atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho. Sasa bodaboda ndo wa kumchangia naibu spika?
 
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.

Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.

Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.

Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.

Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.

Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.

Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.

Mambo ya Shikwambi haya
Zile boda boda alizowanunulia?
 
Anavyopigiwa debe mtu utafikiri mkate atamletea mezani

Ova
 
Mijinga inapata elfu kumi kwa siku inamchangia mtu anayechukua 240m baada ya miaka mitano ukiondoa mamilioni kumi na ushee anayozoa kila mwezi.

Majinga ndiyo yaliwayo...
Mbona husemi wajinga wale wanawake walio mchukulia form Sugu. Acha kila mumoja afanye anacho jisikia kuridhisha nafisi yake.
 
Cdm kamwe hakuna mjinga, huo msamiati umebakia kwenu lumumba kwenye watu mnaitwa wanyonge mnashangilia kama mazuzu vile
Mbona husemi wajinga wale wanawake walio mchukulia form Sugu. Acha kila mumoja afanye anacho jisikia kuridhisha nafisi yake.
 
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.

Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.

Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.

Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.

Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.

Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.

Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.

Mambo ya Shikwambi haya


😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

Uko Mbeya?????
 
Naona wanadeseana mbinu. Sasa kawapa pesa ili waact wao ndo wamemchangia pesa. Hivi wanasiasa mnawaona wananchi hawana akili kabisa ?.Wajinga ndo waliwao.
Uzuri wako ni kwamba unasimama kwenye ukweli.
Hata kule kwa sugu umesimama kwenye ukweli.
Unanivutia Sana kwa michango yako isiyoegemea kwenye utetezi wa chama.
Kuna chadema wengi na CCM humu wanaendekeza uchama badala ya ukweli.
Gwajima ametia nia wamemponda Ila Shilla ametia nia wanamwita kamanda.
Sugu amefanya propaganda Kama hizi wamemsifia ila Tulia amefanya wapo kumponda..CCM nao hivyohivyo,wamemponda Sugu na Shila ila wapo kumsifia Tulia na Gwajima.
I wish Watu wangekuwa na akili kama yako..michango yao huwa inanivutia Sana we dada[emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh Sugu ndiye mbunge wa mbeya na tutamchagua tu na huyo Betina wako mwambie akachukue form pale magogoni.
Naomba kuuliza Kama hutojali?
Hilo jina la Betina nalo ni lake?maana nalisikia Sana
Limetokeaje?

Nje ya mada,hivi Chadema kwanini msimsimamishe mtu mwingine hata Mdude?
Sugu amefanya kazi nzuri na nadhani alipaswa kupumzika kuachia wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kuuliza Kama hutojali?
Hilo jina la Betina nalo ni lake?maana nalisikia Sana
Limetokeaje?

Nje ya mada,hivi Chadema kwanini msimsimamishe mtu mwingine hata Mdude?
Sugu amefanya kazi nzuri na nadhani alipaswa kupumzika kuachia wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wana cdm ndiyo mbunge ambaye bado tunahitaji uongozi wake.

Kama ambavyo ccm nao wameonyesha kumkubali mwenyekiti wao na kumlinda kwa kutoruhusu mshindani kwenye nafasi yake.
 
Back
Top Bottom