Junior Nicky
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 608
- 590
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti wanatuita manyani..Siku za nyuma nilikuwa naumia sana nikisikia wazungu wanatuita manyani, ila baada ya kufuatilia vizuri nikajua wako sahihi. Sasa kama hiyo mbinu ya kichovu/outdated ya kuwapa walalahoi pesa, kisha wajifanye wanakuchangia mtu mwenye uwezo, bado inatumika na mtu anayejiita msomi kwenye kizazi hiki cha watu walioamka, hapo kuna tofauti gani ya kimbinu kati ya aliyesoma na ambaye hajasoma?
Uzuri wako ni kwamba unasimama kwenye ukweli.
Hata kule kwa sugu umesimama kwenye ukweli.
Unanivutia Sana kwa michango yako isiyoegemea kwenye utetezi wa chama.
Kuna chadema wengi na CCM humu wanaendekeza uchama badala ya ukweli.
Gwajima ametia nia wamemponda Ila Shilla ametia nia wanamwita kamanda.
Sugu amefanya propaganda Kama hizi wamemsifia ila Tulia amefanya wapo kumponda..CCM nao hivyohivyo,wamemponda Sugu na Shila ila wapo kumsifia Tulia na Gwajima.
I wish Watu wangekuwa na akili kama yako..michango yao huwa inanivutia Sana we dada[emoji122]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwulize Jafo!!
Wanabodi ni dhahiri sasa Dkt Tulia Ackson naibu spika mstaafu atagombea ubunge jimbo la Mbeya mjini.
Bodaboda hao wa eneo la Sai Mbeya wamemsifia Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda.
Kila bodaboda ametoa alichonacho kufanikisha tarehe 14/07/2020 Dkt tulia akachukue fomu kugombea jimbo la Mbeya mjini.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Mambo ya Shikwambi haya
boda boda yake ndio biashara yake na analisha familia yake, unawadharau pengine ukute umeshapanda boda boda mara nyingi tu , tena anaweza kukulisha na wewe pia ...acha dharau dogoHawajitambui hao wataendea kuwa boda boda milele
Hakuna sehemu nimemzuia mtu kuwasilisha mawazo yake.Hapa ni jukwaa huru linalotoa nafasi kwa kila member kuwasilisha mawazo yake, na siyo lazima wewe uyakubali au yakufurahishe.
Kumponda mtu au kumkubali hilo lipo mioyoni mwa mwanadamu, huwezi kulilazimisha kwa virungu au mitutu.
Ngoja tusubiri OctoberSisi wana cdm ndiyo mbunge ambaye bado tunahitaji uongozi wake.
Kama ambavyo ccm nao wameonyesha kumkubali mwenyekiti wao na kumlinda kwa kutoruhusu mshindani kwenye nafasi yake.
Yah kwa msaada wa Mungu tutafikaTuombe uzima maana anaye ijua kesho yetu ni Mungu pekee
Dkt Tulia kuwa ni mnyonge kama wao na anayajua matatizo ya bodaboda. Mhhhh!!!!!????
Wananchi waliikataa CCM miaka mingi ila sasa *Bunduki*Ubunge si kitu cha milele, aliyekuwepo ajue Hilo, ukipewa miaka mitano wananchi wakiona hujafanya kitu wanakutimua
Sugu Atimuliwe, imetosha sasa
Wewe itqkuwa chademaSASA UGOMVI WAKO BINAFSI NA SUGU UNATULETEA HAPA ILI TUKUHURUMIE?
Kuchukuliwa fomu kwa Tulia si lazima ashinde, japo ni haki yake kugombea ubunge, hilo sina shida nalo.
Shida yangu ni kwako mleta mada, uko kama wewe ndo umetumwa kwa kivuli cha bodaboda.
Hakika mwaka huu tutashinda kwa mbinu yaani
"SHIKWAMBI" Shinda kwa mbinu iwe jua au mvua.
Kwaheri Sugu nenda kalime mbatata ,maparachichi,Nguniani,maembe mfipo,Mang'ang'a ndio yanakufaa.
Imbombo ngafu Mbeya mjini,Sugu ulikuwa huna kitambi bunge limekufanya uwe kitufutufu Rwanda.
Wanyakyusa mtusamehe kuchomekea lugha yenu ila sugu ndio bye bye.
Haya maneno yanaonesha kuwa unatumika bila wewe kujua kuwa unatumika. Nakushauri ujitafakari.
Sugu alitupa kazi ngumu sana kubadili matokeo 2015, yaani alikuwa anampiga Shitambala gepu la kufa mtu. Nasubiri nione muujiza October.Huyo tulia ni mwepesi sana kwa sugu, kama huamini utaona. Lakini pia kwa kuwa tofauti ya kura itakuwa kubwa sana, kubadilisha matokeo hawataweza .. T
Wewe itqkuwa chadema
Ni uongo, Mi niko hapa barabara ya kuelekea Ilomba (Sai) Hakuna kitu Kama hicho... Kwanini watu wanatengeneza taarifa za uongo, ili kumnufaisha nani wakati nyinyi maisha yao ni duni?Hawajitambui hao wataendelea kuwa boda boda milele