Uchaguzi 2020 Bodaboda Mbeya Mjini wamchangia Dkt. Tulia Ackson pesa ya fomu ya Ubunge

kwani ni kosa kuwa chadema? sasa wewe uwekwe upande gani?
Chadema sio wazalendo

Twende na Dkt Magufuli

Bungeni upinzani ni kwaheri

Ahaaa mwenyekiti wenu mlevi ,ndembendembe chakali
 
Mkuu usiangaike nae huyo, habari ni ya uongo
Sasa wewe tahira kuna msafwa amebaki Mbeya

Wanyakyusa wa kyela na Tukuyu wamejazana Mbeya

Wasafwa wamekimbia mji wanawinda ndege wasafwa

Sugu bye bye
 
Ni uongo, Mi niko hapa barabara ya kuelekea Ilomba (Sai) Hakuna kitu Kama hicho... Kwanini watu wanatengeneza taarifa za uongo, ili kumnufaisha nani wakati nyinyi maisha yao ni duni?
Ni vijana wachache
Nenda youtube huko

Wewe muuza filombe fya kuchoma unajua nini?

Mbulo ngati sekwa wewe
 
Sasa wewe tahira kuna msafwa amebaki Mbeya

Wanyakyusa wa kyela na Tukuyu wamejazana Mbeya

Wasafwa wamekimbia mji wanawinda ndege wasafwa

Sugu bye bye
Kwa kukodishwa? 😂😂
 
Sasa wewe tahira kuna msafwa amebaki Mbeya

Wanyakyusa wa kyela na Tukuyu wamejazana Mbeya

Wasafwa wamekimbia mji wanawinda ndege wasafwa

Sugu bye bye
Sawa mi tahira, kwanini wawaongelea wasafwa katika hoja niliyoiweka? Kukimbia kwao mji Kama usemavyo kunahusiana vipi na hoja yangu ya uongo wa hiyo mission ya kukodisha dereva bodaboda?
Tanzania tunachelewa sana kwakuwa na watu wengi kama wewe
 

mambo ya shikwambi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…