Bodaboda ni ajira China na nchi nyingine. Ni aibu kwa Lissu kama kiongozi kupotosha Umma

Bodaboda ni ajira China na nchi nyingine. Ni aibu kwa Lissu kama kiongozi kupotosha Umma

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2021
Posts
1,505
Reaction score
4,427
Screenshot 2023-03-08 100532.png

Wengine wanafikiri bado tupo kwenye zile zama za ulimbo na ulimbombo, zile zama za kuambiwa Jambo na kukubali bila kujiridhisha. Wanaofanya hivyo wanatambua watanzania ni wavivu sana wa kutafuta ukweli hivyo lolote analosema linabebwa kama lilivyo.

Screenshot 2023-03-08 100620.png

Kitendo Cha Lissu kusema China hakuna bodaboda licha ya kutengeneza mamilioni ya pikipiki akiwa katika kukazia hoja hafifu ya Lema kwamba bodaboda, kimenitafakarisha sana. Nimetafakari kwa sababu bidhaa nyingi zinazoletwa Afrika kutokea nchi nyingine China ikiwemo mara nyingi huwa ni 'second hand' hivyo Kama kuna utengenezaji wa mamilioni ya pikipiki China na zinaletwa zikiwa Used, nani atakuwa kazitumia? Bila shaka ni wenyewe:Je,kwa matumizi yapi?

Screenshot 2023-03-08 100649.png

Ndipo nikaingia chimbo kuchimba ukweli wa kauli ya Lissu kwamba China hakuna bodaboda na "reasoning" yangu na sasa nipo huru kwa kuujua ukweli. Biblia inasema' mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru kwelikweli'. Ukweli nilioujua ni kwamba Lissu ameamua kutudanganya kwa sababu anajua tabia ya uvivu wa kutafuta ukweli tuliyonayo na pia nimejua bodaboda (Motorcycle taxi) ni ajira kwenye nchi ya China na nchi nyingine.
Screenshot 2023-03-08 100726.png


Wikipedia

Ni mimi Karlo Mwilapwa
0715 804 254
 
Wengine wanafikiri bado tupo kwenye zile zama za ulimbo na ulimbombo, zile zama za kuambiwa Jambo na kukubali bila kujiridhisha. Wanaofanya hivyo wanatambua watanzania ni wavivu sana wa kutafuta ukweli hivyo lolote analosema linabebwa kama lilivyo.

Kitendo Cha Lissu kusema China hakuna bodaboda licha ya kutengeneza mamilioni ya pikipiki akiwa katika kukazia hoja hafifu ya Lema kwamba bodaboda, kimenitafakarisha sana. Nimetafakari kwa sababu bidhaa nyingi zinazoletwa Afrika kutokea nchi nyingine China ikiwemo mara nyingi huwa ni 'second hand' hivyo Kama kuna utengenezaji wa mamilioni ya pikipiki China na zinaletwa zikiwa Used, nani atakuwa kazitumia? Bila shaka ni wenyewe:Je,kwa matumizi yapi?

Ndipo nikaingia chimbo kuchimba ukweli wa kauli ya Lissu kwamba China hakuna bodaboda na "reasoning" yangu na sasa nipo huru kwa kuujua ukweli. Biblia inasema' mtaijua kweli nayo kweli itawaweka huru kwelikweli'. Ukweli nilioujua ni kwamba Lissu ameamua kutudanganya kwa sababu anajua tabia ya uvivu wa kutafuta ukweli tuliyonayo na pia nimejua bodaboda (Motorcycle taxi) ni ajira kwenye nchi ya China na nchi nyingine.

Link ifuatayo ni ushahidi wa ninachosema https://www.google.com/url?sa=t&sou...QQFnoECDQQAQ&usg=AOvVaw1g8POaVWnqK_jMY_hRH-sU

ni Mimi Karlo Mwilapwa
0715 804 254
 
China mji gani bodaboda ni ajira?
Ni means of transportation,watu wananunua zao kuwahi kazini hasa wkt wa summer time kwenye rush hours!

Taja hapa mjin gani bodaboda ni ajira na wanalipa bei gani kwa saa?
 
Back
Top Bottom