KERO Bodaboda wa Tanzania wameshindikana kwa tabia zao barabarani au wameendekezwa?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wameendekezwa, ni as if sheria za barabarani zina apply kwa magari tu, ila wao ahhhhh

Na haya yote wameyataka serikal
 
Nafikiri mimi ndio ntakuwa wakwaza kutoa wazo hili,
Manispaa husika ziwatumie mgambo maalum wa kusimamia boda boda,mgambo hao wawe na body camera ya kumbu kumbu yaani wakati anamkamata mtu awe ameiwasha na kurekodi kila kitu.
Malipo ya Ushuru na adhabu yaingizwe kwenye mapato ya manispaa husika.
 
Abiria, tena watu wazima (na pengine ni wanandoa) wanapoamua kukubali ujinga wa ku-risk maisha yao na ya watoto wao kwa kufanya ujinga kama huu nani anawakiwa kulaumiwa?
 
Usiwaseme vibaya wapiga kura na waongoza mosafara ya kampeni...
 
Yuko mmoja aliingiwa na wadudu machoni halafu yupo speed, mbele ni semi ziko foleni, usiulize kilichotokea.
 
Kuna mdau kaleta uzi anasema huko gongolamboto boda kakanyagwa na lori na kakata moto...traffic mpaka kuja hapo kachukua dk 40 muda wote huo hakupewa huduma ya kwanza
Watu walikuwa wanamshangaa

Ova
 
Hata wakifanya buku mbili kwa kosa watapata mamilioni kwa siku
 
Bodaboda wameshindikana wapo rafu sana wanapita kushoto mwa magari hawajari usalama wao wanasababisha ajari nyingi sana barabarani kwa kifupi hawa jamaa ni kero kubwa sana,unavyoendesha gari adui namba Moja barabarani ni bodaboda.
 
Na sie tunawapenda wake na mabinti zenu kuliko muwapendavyo nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…