BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Idle mind is the devil's Workshop! Wanakaa vijiweni mm Uda mrefu sana ...Matokeo yake huanza kuongezea watu!Hakuna watu wambea na wasengenyaji km boda boda, yaan hawafai hata mashoga wana afadhari.
Sijui wamekuwaje hata, mfyuuuuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Amempenda kimapenzi manzi yako sasa anashindwa aanze vp!!!!!Aisee! Kwanza nilishangaa kilichomuwasha kuanza kumsimulia mamsapu wangu mambo ya kiume kwa jinsia KE.
Maadili ya kazi ya bodaboda!Huyo boda hana maadili na kazi yake. Wenzake wanaweza kuwa wanajua siri zenu lakini hawathubutu kutoa siri, wanajali pesa tu.
Yaani anamjua mtu anayemgonga demu wako na anapajua hadi anapokaa lakini siri yake.
Kiufupi mwamba ujue kuna boda boda anammega kimasihara waifu to be wako....Habari za weekend wanabodi.
Moja kwa moja kwenye mada. Ni asubuhi nawahi kazini, nikiwa mmoja wa viongozi idara ya mauzo, pickup niliyopewa na ofisi inasumbua iko juu ya mawe.
Natoka nje jirani na ninapoishi kuna vijana wa bodaboda. Wanaponiona wananichangamkia na napanda mojawapo. Safari ikaanza kuelekea kazini kwangu. Wakati tunakaribia kufika, namuuliza kijana kama ana change ya elfu 10 naye anasema hana. Anatakiwa achukue elfu sita.
Nikamwambia chepuka hapo sheli tuombe change. Tulipofika pale mimi ndio nikaomba change, maana wale wadada wa pale nimezoeana nao sana kwa maana ndipo hujaza mafuta kama card za ofisi zikiwa na changamoto. Katika maongezi mawili matatu, nikafanya utani na mmojawapo wa maneno kidogo, punde tukaondoka.
Kesho yake jioni, wife to be karudi job (kuna times anakaaga kwangu hata week 2) analalamika kuna kidada cha sheli nina mahusiano nacho.
Ikabidi nitulie kwanza niscrutinize...........kumbe yule bodaboda ndiye humbeba kila asubuhi my wangu akilala kwangu kumuwahisha stand (ubaya ye anawahi sana kuamka na njia zetu ni tofauti). Kumbe dogo kamsimulia tukio langu na wale madem wa sheli........too bad akaongeza siku zote yeye (bodaboda) hujua mi mpole nisiye na stori na mtu nikipita na kuwapa hi kijiweni kwao, kumbe mchangamfu sana. Nikasolve msala ukaisha.
Ndipo bodaboda mmoja akaniambia kama una siri zako, usipande bodaboda mmoja kila siku. Kwa mfano una ratiba ya kuchepuka, umetoka home chukua boda akufikishe nusu safari, mlipe aondoke. Akishaondoka chukua nyingine ikufikishe unapoenda. Pale kijiweni wanawajadili sana huwa unapendelea kwenda wapi au sehemu walizowahi kukupeleka. Kwa week ile moja niliyopanda bodaboda mfululizo akaniambia walishatonyana wakiniona tu wanajua buku 6 hiyoo inakuja.
Bodaboda akikwambia demu fulani achana naye, msikilize. Be warned, usije sema sikukwambia.
Sean.
Boda wengi huamini watatoboa maisha wakipata mke wa bosi.Hisia hizo huwafanya watafute wake wa mabosi kwa namna yoyote.Aisee! Kwanza nilishangaa kilichomuwasha kuanza kumsimulia mamsapu wangu mambo ya kiume kwa jinsia KE.
Kwa wale ambao bado hawajui, bodaboda wengi (lakini syo wote) ni Field Officers au Surveillance Officers, ktk zile nyakati za giza za "kuokota maiti kwenye viroba" wengi wao ndio walitumika sana ktk kufanikisha deal hizo. Na wengi walipewa pikipiki mpya za kazi 'kwa mkopo.'Habari za weekend wanabodi.
Moja kwa moja kwenye mada. Ni asubuhi nawahi kazini, nikiwa mmoja wa viongozi idara ya mauzo, pickup niliyopewa na ofisi inasumbua iko juu ya mawe.
Natoka nje jirani na ninapoishi kuna vijana wa bodaboda. Wanaponiona wananichangamkia na napanda mojawapo. Safari ikaanza kuelekea kazini kwangu. Wakati tunakaribia kufika, namuuliza kijana kama ana change ya elfu 10 naye anasema hana. Anatakiwa achukue elfu sita.
Nikamwambia chepuka hapo sheli tuombe change. Tulipofika pale mimi ndio nikaomba change, maana wale wadada wa pale nimezoeana nao sana kwa maana ndipo hujaza mafuta kama card za ofisi zikiwa na changamoto. Katika maongezi mawili matatu, nikafanya utani na mmojawapo wa maneno kidogo, punde tukaondoka.
Kesho yake jioni, wife to be karudi job (kuna times anakaaga kwangu hata week 2) analalamika kuna kidada cha sheli nina mahusiano nacho.
Ikabidi nitulie kwanza niscrutinize...........kumbe yule bodaboda ndiye humbeba kila asubuhi my wangu akilala kwangu kumuwahisha stand (ubaya ye anawahi sana kuamka na njia zetu ni tofauti). Kumbe dogo kamsimulia tukio langu na wale madem wa sheli........too bad akaongeza siku zote yeye (bodaboda) hujua mi mpole nisiye na stori na mtu nikipita na kuwapa hi kijiweni kwao, kumbe mchangamfu sana. Nikasolve msala ukaisha.
Ndipo bodaboda mmoja akaniambia kama una siri zako, usipande bodaboda mmoja kila siku. Kwa mfano una ratiba ya kuchepuka, umetoka home chukua boda akufikishe nusu safari, mlipe aondoke. Akishaondoka chukua nyingine ikufikishe unapoenda. Pale kijiweni wanawajadili sana huwa unapendelea kwenda wapi au sehemu walizowahi kukupeleka. Kwa week ile moja niliyopanda bodaboda mfululizo akaniambia walishatonyana wakiniona tu wanajua buku 6 hiyoo inakuja.
Bodaboda akikwambia demu fulani achana naye, msikilize. Be warned, usije sema sikukwambia.
Sean.
Hili la kuepuka wafanyakazi wenzako jioni ni muhimu sana kwa afya ya maendeleo. Hupaswi kukaa na watu wale wale kila siku, majadiliano yenu hayaendi mbali na kazi, kumsema boss n.kAcha mazoea na mtu uliyemzidi Kwa hatua yoyote Ile.
Jifunze kua na Siri hata Kwa rafiki wa karibu, Epuka au punguza kukutana na wafanyakazi wenzako hasa wakati wa jioni
You will be invisible
nje ndaNi 🤣🤣
KWA UPANDE WANGU MIMI NINADHANI KUWA KIUSALAMA BODABODA KUWA WAMBEA NI AFYA NJEMA KWA USALAMA WA NCHIPole sana Mkuu.
UMBEA NI MOJA YA URAIBU MKUBWA KWA VIJANA (WASAMEHE).
KaziKweliKweli/JobTrueTrue