Bodaboda zimekuwa nyingi, vifo vinavyotokana na ajali vimekuwa ni vingi mno

Bodaboda zimekuwa nyingi, vifo vinavyotokana na ajali vimekuwa ni vingi mno

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
 
Hitimisho Lako ni 'ajali' hivyo unashauri bei kununua boda iwe 5M.

Lkn bandiko unalalamikia abiria ni Wachache boda ndo zimezidi..!

Unachanganya matatizo mawili tofauti.

Boda zikiwa nyingi ni nafuu kwa abiria!

Hili la Ajali Waone wataalamu watakufafanulia ni njia zipi zikitumika zitapunguza Ajali
 
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana ajali za boda boda zimekuwa ni nyingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5 hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
niko najichanga nifungue spare za pikipiki, Hii ni fursa nzuri sana
 
Huwezi kutatua tatizo kwa kuongeza kodi.
Ukiongeza kodi mabosi wanarefusha mkataba na abiria anaongezewa nauli.
Kwahiyo atakayeumia ni mlaji
Hapo serikali ijenge viwanda watu waajiriwe sekta rasmi.
Vipi walipoondoa pombe za viroba walimaliza tatizo?
Sasa kuna visungura. Yaani toa tuweke.
Issue ya bods ni tatizo kubwa sana nimeandika hapa si chini ya nyuzi 3 .
 
Hitimisho Lako ni 'ajali' hivyo unashauri bei kununua boda iwe 5M.

Lkn bandiko unalalamikia abiria ni Wachache boda ndo zimezidi..!

Unachanganya matatizo mawili tofauti.

Boda zikiwa nyingi ni nafuu kwa abiria!

Hili la Ajali Waone wataalamu watakufafanulia ni njia zipi zikitumika zitapunguza Ajali
Point yangu ya msingi kwanini kundi kubwa la watu wanakuwa kwenye shughuli moja ambayo inakuwa inaleta maafa mengi Mimi kwa mawazo yangu naona nguvu kazi inakuwa inapungua kuona kundi kubwa la watu kufanya shughuli moja yenye kipato duni
 
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Comments reserved
 
Back
Top Bottom