Mkuu unadhani nimeshakutana na mambo mangapi hapa duniani hadi umri huu? Tusitetee ujinga...Omba yasikukute mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unadhani nimeshakutana na mambo mangapi hapa duniani hadi umri huu? Tusitetee ujinga...Omba yasikukute mkuu.
Kumbe!Nao wameshaanza maeneo ya kaskazini. Muda sio mrefu zitaenea nchi nzima.
Duh.! Kuongeza kodi?Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.
Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Sure mkuu halafu kwa pembeni ya ofisi unaweka kigereji fulani cha kizushi. Ningekua na ujuzi wa spare za pikipiki ningelitathmini hili suala kwa ukaribu zaidiniko najichanga nifungue spare za pikipiki, Hii ni fursa nzuri sana
Ndio utoe option nyingine za hao vijana kwenda ila sio kuongeza kodi. Ongezeko la kodi linabebwa na mtumiaji wa mwisho. Ukimuongezea kodi mfanyabiashara atakachofanya yeye ni kuongeza bei ya bidhaa/huduma.Point yangu ya msingi kwanini kundi kubwa la watu wanakuwa kwenye shughuli moja ambayo inakuwa inaleta maafa mengi Mimi kwa mawazo yangu naona nguvu kazi inakuwa inapungua kuona kundi kubwa la watu kufanya shughuli moja yenye kipato duni
Mimi naombea sana sana kasi ya kununua bodaboda iendelee na izidi. Pia wabunge na viongozi wote akiwemo rais wazidi kugawa za bure. Hii ni kwa sababu baada ya muda tutakuwa na jeshi kubwa na lenye nguvu sana la kuwaondoa hawa mafisadi.Unaomba serikali iongeze Kodi wakati juuzi kila mkoa zimeongezwa boda boda 700 kila mkoa kutoka mfuko wa SSH2025 so pambania family yako achana na biashara za watu
Sasa mkuu unataka mtu aelezee kero zote kwenye uzi mmoja si atalazimika kuandika kitabu kizima. Yeye kaiona kero ya bodaboda kaisemea wewe unaona kero ya utitili wa fremu pia unaweza kuifungulia uzi ukatililika.Kabisa mbona hajaona maframe
Ova
Tupe mfano wa biaahara za maana ambazo badala ya kuchujua pikipiki ya mkataba kijana anaweza kuifanya bila ya kuwa na mtaji wa pesaTatizo tushachukulia bodaboda kama back up ya ukosefu wa ajira au kushindwa kujiajiri kwenye biashara za maana ila kiuhalisia boda boda sio ajira kama alivosema Lema, vijana wanaondoka sana na kupata vilema na hizi pikipiki
spare za pikipiki nazifahamu vzuri sana. Mkuu ukifungua spare lazima sehemu iwe na nafasi sbabu lazima kuwepo na huduma za ufundi.lakini spare zinahitaji muda kuzifahamu.Sure mkuu halafu kwa pembeni ya ofisi unaweka kigereji fulani cha kizushi. Ningekua na ujuzi wa spare za pikipiki ningelitathmini hili suala kwa ukaribu zaidi
Hakuna biashara ya kuanza bila kuwa na mtaji wa pesa, hata kuchukua mkataba wa hiyo boda huo mkataba ni kama pesa tu.Tupe mfano wa biaahara za maana ambazo badala ya kuchujua pikipiki ya mkataba kijana anaweza kuifanya bila ya kuwa na mtaji wa pesa
Kama nchi tumepotea. Badala ya kuwapa vijana pembejeo au wekeza kwenye academy unawapa bodaboda kweli. Kuna sehemu hatupo sawaCCM tumeingiza boda 18,200, bado kuna mzigo unakuja wa kugawa kama mitungo ya gesi inavyogawiwa.
Yani ccm wameshindwa kuwavuta vijana kwenye kilimo!??Zambia hakuna bodaboda wala bajaji za abiria kama Tanzania! Na maisha yanaendelea vizuri tu.
😄 sawa sawa mkuuSasa mkuu unataka mtu aelezee kero zote kwenye uzi mmoja si atalazimika kuandika kitabu kizima. Yeye kaiona kero ya bodaboda kaisemea wewe unaona kero ya utitili wa fremu pia unaweza kuifungulia uzi ukatililika.
Tutoleeni takataka zenu goba kuleBoda moja inaleta elfu 70 kwa wiki sawa na 280k kwa mwezi.
Hii biashara na ya bajaji siyo ya kuacha.
Guantanamoh changamkia fursa
Kuendesha boda au kufanya biashara ya boda ni sawa na kufanya biashara ya magendoYani ccm wameshindwa kuwavuta vijana kwenye kilimo!??
Hawana maarifa hawa jamaa.
Kila siku kwenye uchaguzi wanasema wanatuletea maji watajenga hospitali kwani nani anatawala?
Bodaboda ndio zinawafaa maskini.Yani ccm wameshindwa kuwavuta vijana kwenye kilimo!??
Hawana maarifa hawa jamaa.
Kila siku kwenye uchaguzi wanasema wanatuletea maji watajenga hospitali kwani nani anatawala?
Upo sahihi kabisa lkn maajabu unakuta raisi ananunua bodoboda?Kuendesha boda au kufanya biashara ya boda ni sawa na kufanya biashara ya magendo
😄 maana muda wote mnakimbizana na polisi wale tigo
Voda faster
Ukija sasa kwenye usalama wa uhai ndiyo hivyo tena kifo nje nje
Ova