Bodaboda zimekuwa nyingi, vifo vinavyotokana na ajali vimekuwa ni vingi mno

Bodaboda zimekuwa nyingi, vifo vinavyotokana na ajali vimekuwa ni vingi mno

Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Acha ubinafsi kenge wewe utawaajiri wakibaki mtaani we hujui kama bodaboda wamepunguza swala la vibaka hapa nchini.
Unaangalia tatizo kwenye upande mmoja kama robbot la pale bungeni
 
Bodaboda syo ajira ile
Wangewekeza kwenye kilimo
Hapo sawa

Ova
Bongo kuna vitu vitatu vinatulostisha

Kwanza katiba mbovu

Pili viongozi wasio na maono/visionary leaders

Tatu akili ndogo inatawala akili kubwa.

Tutapata tabu sana kufanya mageuzi

Imejaa michawa tu kila kona. Kusifia tu
 
Acha ubinafsi kenge wewe utawaajiri wakibaki mtaani we hujui kama bodaboda wamepunguza swala la vibaka hapa nchini.
Unaangalia tatizo kwenye upande mmoja kama robbot la pale bungeni
Mnisamehe kama kuna watu mmekerwa na mada yangu hasa kwenye uwasilishaji wangu wa hoja hii kuhusu ongezeko la boda boda

Tungekuwa na serikali iliyosiriaz na kilimo tungekuwa mbali sana mpaka sasa mheshimiwa kapewa trillion moja kwenye project yake lakini hakuna dalili ya kupata matokeo
 
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Hilo halitokuwa suluhisho
 
Kabla ya kuja kwa boda boda watu walikuwa wakifanya shughuli gani lazima tukae tutafakari hili naumia kuona boda boda zinavyoacha watu na ulemavu kila siku
Ajar Ni nyingi sanaa mkuu imenichukua mpaka Mimi miezi minne Sasa na ndio na recovery...
Ni rahisi kucoment CHOCHOTE easy kwakua haya wuhusu na hayaja
Wapata...

NB: sito thubutu kupanda bodaboda abadani maishani mwangu..
 
Nimestaafu kupanda Bodaboda.. yaani sipatani nazo kabisa..

N kheri niite Bolt/Indrive ya Bajaji au Gari inipeleke napotaka kwenda..

Bei ya Gari au Bajaji ukilinganisha na Boda inatofautiana kwa gape ndogo sana.

Kingine hela inatafutwa ili itumike.... BODABODA ni nzuri pale ukifika unapoenda salama.. ila ukiingia uvunguni ktk Lori ndio utaujua utamu wake.
 
Hakuna biashara ya kuanza bila kuwa na mtaji wa pesa, hata kuchukua mkataba wa hiyo boda huo mkataba ni kama pesa tu.

Nenda kariakoo maduka ya jumla kachukue mzigo utembeze mule nayo pia ni bila kuwa na mtaji wa pesa kama ulivosema.
Bado ukichukua mizigo kariakoo utataka ufanye delivery/usupply countrywide kwa wateja wamikoani, hapo ndo utaita boda aje akupekee mizigo ya wateja wako kwenye maroli.

Uchumi wa nchi ndo hua unatengeneza mifumo ya kibiashara. Hata aya maflem ni uchafu ilibidi ziwepo office za makampuni na viwanda sio viduka kila kona.
 
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Wewe unataka kutujazia vibaka mitaani tena,vijana wengi sasa wamejiajiri kupitia boda boda,kupandisha kodi ili kufanya zisinunuliwe hilo sio suluhisho mana hela zinatafutwa still kuna watu watanunuatu hizo bodboda.

Suluhisho ya vifo kupitia ajali za bodaboda zipo nyingi zikiweo miundo mbinu rafiki ya barabra,utoaji wa elimu kwa wendesha boda kuvaa vifaa kinga,kuendesha chombo kilicho salama kwa maana ya brek,sidemirros,indicators lights etc.,
 
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Solution kuwaongezea maskini kodi?? akili za matope hizi
 
Point yangu ya msingi kwanini kundi kubwa la watu wanakuwa kwenye shughuli moja ambayo inakuwa inaleta maafa mengi Mimi kwa mawazo yangu naona nguvu kazi inakuwa inapungua kuona kundi kubwa la watu kufanya shughuli moja yenye kipato duni
Ndio ajira zinazopatikana, nyingine ni uchawa, kubet, umalaya na wizi...mitano mingine wapinzani wanazingua
 
Hii biashara imekuwa na vijana wengi kila baada ya nyumba tano utakutana kijiweni Cha boda kazi hii imekuwa ni ya mateso sana vijana wanafanya kazi masaa mengi kupata riziki pia ni hatari sana kwa afya zao vifo vinavyotokana na ajali za boda boda vimekuwa ni vingi mno.

Nashauri Serikali kuongeza Kodi kwenye hizi boda boda moja imfikie mnunuzi kwa millioni 5, hii itasaidia kupunguza ajali zinazojitokeza.
Hata ajali za mabasi ni nyingi mno basi serikali iongeze Kodi Kwa Kila abiria nauli ya kwenda Morogoro Kodi iwe laki tatu ili watu wasisafiri kabisa kuepusha ajali.
 
Hata ajali za mabasi ni nyingi mno basi serikali iongeze Kodi Kwa Kila abiria nauli ya kwenda Morogoro Kodi iwe laki tatu ili watu wasisafiri kabisa kuepusha ajali.
Unajua Kuna takwimu ilitolewa mwaka Jana kuhusu vifo vinavyotokana na ajali za boda boda ni kubwa sana
 
Bado ukichukua mizigo kariakoo utataka ufanye delivery/usupply countrywide kwa wateja wamikoani, hapo ndo utaita boda aje akupekee mizigo ya wateja wako kwenye maroli.

Uchumi wa nchi ndo hua unatengeneza mifumo ya kibiashara. Hata aya maflem ni uchafu ilibidi ziwepo office za makampuni na viwanda sio viduka kila kona.
Mkuu mimi siongelei kufanya delivery mkoani sijui countywide naongelea kuua winga pale pale Kariakoo, pengine labda wewe ni mgeni au huna uelewa wa nachokiongelea hapa.
 
Mtaji wa CCM..

Hata mama Abduli amemwaga pikipiki zina picha yake.
 
Bodaboda na Bajaj zimekuwa nyingi kuliko idadi ya watembea kwa miguu
Ukisoma Kitu kina itwa Arrangement(Parmutation) huwezi ongea hili kishabiki bila ushahidi

Tuseme sa hivi boda na hizo bajaji ziko kwenye namba EHH 999
Ambayo hapo vyombo hivyo viko (5×26×26)×(10×10×10)=3,380,000

Sasa kumbuka nimehesabia boda za tangu A ambazo nyingi zao zimeshakufa sana asilimia kubwa zilizoko zinazo anzia na D na E

Bado unatakiwa namba sa usajili zenye Irabu O na I ambazo hazitumiki.
Yaaani zilizoko active hazizidi 1.5m sasa hapo zimezidije abiria? ambao tuko zaidi ya milion 60?

Na kwa siku mtu hupakia boda zaidi ya moja.

Nadhani tuzungumze waendeshaji wake wengi hawana elimu ya kutosha kuendesha na sio watu waonajali
 
Nime
Mkuu mimi siongelei kufanya delivery mkoani sijui countywide naongelea kuua winga pale pale Kariakoo, pengine labda wewe ni mgeni au huna uelewa wa nachokiongelea hapa.
Mi sio mgeni ndugu, nina miaka na nina acc kubwa tu nyingine umu nimeamua kuipumzisha. Nimeelewa sana tu ulichomanisha ndo maana nkakujibu ivo.

Nilichokua namaanisha ni kwamba, hoja ya kazi ya bodaboda ni hatari inaua ila inaendelea kukua ni sababu ya nature ya uchumi wa nchi, elewa barabara ni huduma mama kwenye shughuli za kibinadamu za kila siku ndo maana ata ufanye shughuli nyingine utajikuta tu unarudi kumwitaji uyo boda kwa sababu ya urahisi wake na kuwepo na cost kubwa kwa vyombo vingine vya usafirishaji na hapo ndo fulsa ya kua boda inapokimbiliwa na vijana wengi sababu ya umuhimu wake.

Pili nimekuelezea kua hata iyo solution ya uwinga ulikuja nayo sio jawabu, maana haiwezi kundoa umuhimu wa boda, pili pia ni dhana potofu kama ilivyo upande wa boda kua ni kazi, uwinga sio kazi katika kuujenga uchumi bado ni kuongea tatizo lingine na nikakupa mfano kua hao hao mawinga ndo changizo la kuwepo hao bodaboda sababu winger atamuhitaji bodaboda kwajili ya kufanya delivery kwa bei nafuu kwa wateja wake wa dar na mkoni na yote iyo sababu ya uchumi wa nchi ndo upo tenge kuruhusu fulsa zenye tija kwa watanzania na sio iyo unazozungumzia.
 
Back
Top Bottom