Bodaboda zimekuwa nyingi, vifo vinavyotokana na ajali vimekuwa ni vingi mno

Wanyonge hao
 
Point mkuu
 
Wewe ni mchawi by profession. Kodi ikiongezwa itapunguzaje ajali?
 
Point yangu ya msingi kwanini kundi kubwa la watu wanakuwa kwenye shughuli moja ambayo inakuwa inaleta maafa mengi Mimi kwa mawazo yangu naona nguvu kazi inakuwa inapungua kuona kundi kubwa la watu kufanya shughuli moja yenye kipato duni
Wewe ni mnafiki na mchawi. Kama nchi haina viwanda unadhani watu watafanya kazi gani? Wewe mwenyewe hapo umetoa hata ajira ya u-house girl kwa mtu?
 
na kwa wanotumia kama usafiri binafsi nao hamtaki wamiliki chombo?
 
 
mtamkumbuka lema. na sikia ccmwanazigawa kama njugu wanasema ndio ajira
 
CCM tumeingiza boda 18,200, bado kuna mzigo unakuja wa kugawa kama mitungo ya gesi inavyogawiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…