Bodi ya Ligi, huyu Refa Jonisia hatoshi kwa mechi zenye presha kubwa

Mimi nimekubali tumefungwa na ndivyo soka lilivyo kumpiga mtani Kila siku ata wao wangekata tamaa.
Shida ni uyu mama wanalazimisha achezeshe wakati anashida katika maamuzi.
Mbna naona aliwabeba sana Yanga,
 
Yanga acheni malalamiko ya kifala. Nyie mmepata kona 8, kati hizo nane mmefunga ngapi?
 
Bahati nzuri nimebahatika kumuuliza mdau mmoja kigogo anayehusika na maswala haya,menieleza wamebaki na Marefa wawili tu wenye uzoefu na wenye beji ya FIFA yaani Jonesia na Kayoko marefa wengine wenye uzoefu na Maarufu wamefungiwa na watarudi mwakani.

Ina maana upo uwezekano mkubwa uyu mama Jonesia akapewa mechi kubwa nyingine nawashauri Yanga tujipange akiwa anachezesha tujue Kuna wachezaji 13.
 
NI kweli kabisa mkuu huyu mama alivopangiwa kuchezesha hii game nilijua tu hatuponi maana hua anapewa maelekezo mapema
 
Amerudi analia eeehx2
 
Hawa jamaa kwa malalmiko kuna mwaka walipotea hadi wakasema watakwenda kwa Mhe. Rais kupeleka malalamiko! Toka wameacha kutembeza bakuli malalamiko yalipunngua sasa hivi wameyaanza tena!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukimuonaa Aucho msalimiee, sio kwa alivyo nichekesha janaa, Uwiiiiiiih
 
Leo naona Wachambuzi Uchwala wanao chambua habari za michezo ili kumfurahisha ili wakamkope Mwenyekiti wa Yanga wametulia.

Na Manara Wametulia
 
Hawa jamaa kwa malalmiko kuna mwaka walipotea hadi wakasema watakwenda kwa Mhe. Rais kupeleka malalamiko! Toka wameacha kutembeza bakuli malalamiko yalipunngua sasa hivi wameyaanza tena!!
Yaani ni kama hawana elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…