wansawa
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 857
- 857
Nawewe tena ulalamishi. Jamaa si anadaka mpaka njiii angekwenda kumochwar.Mimi nimekubali tumefungwa na ndivyo soka lilivyo kumpiga mtani Kila siku ata wao wangekata tamaa.
Shida ni uyu mama wanalazimisha achezeshe wakati anashida katika maamuzi.
Sent using Jamii Forums mobile app