felakuti
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 659
- 1,207
CAPO DELGADO utabiri wako wa threads elfu 60 leo unaweza kutimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.Gheto mtakuja tu hata iwe lini
Ujinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Uwezo Mdogo sana kiakili na kiufahamu wa kujenga hoja, pia uelewa finyu kama sio sifuri kabisa wa Sheria za mpira wa miguu..una tofaut Gani na nyani? Hata nyani ana akili na ni mjanja.Yaan mechi imetangazwa miezi miwili mmekaa tu hamfanyi zoezi afu mnalia lia kwa kudhan siku moja itawasaidia?[emoji1787][emoji1787]
Yule Almasi na Mngeto waachie viti vile pumbavu wanapindisha kanuni na Sheria ili iweje?Naona kabisa bodi ya ligi imetengeneza tatizo juu ya tatizo,,bodi ya ligi ilitakiwa isimamie Sheria na kanuni walizoziweka zinazoendesha ligi na sio busara!
Na ndio mmelikimbia leo kono la nyani pumbavu zenyuuna tofaut Gani na nyani? Hata nyani ana akili na ni mjanja.
Yanga walikimbia mechi kisa muda ulibadilishwa ndio maana manara alisema yanga wote hawana akili leo mnaanzisha uzi mfululizo kwisha habari muache ushamba soka halichezwi na wahuni tulio hudhuria viwanja vikubwa vya soka nje nchi soka ni mtoko wacheni upuuzi na ushamba kuweka mbele watu wasio na elimu kumewagharimu!Naona kabisa bodi ya ligi imetengeneza tatizo juu ya tatizo,,bodi ya ligi ilitakiwa isimamie Sheria na kanuni walizoziweka zinazoendesha ligi na sio busara!
Kanuni ziko wazi kwa timu inayogomea mechi na kanuni ziko wazi kwa timu iliyozuiliwa kufanya mazoezi aikuwepo haja yoyote ya kutumia ata dk 10 kuamua hili jambo kwakuwa kanuni zinajieleza!
Bodi imeahirisha mechi kuwaridhisha Simba sasa iyo mechi watayopanga Simba atacheza na nani? Yanga washatoa statement yao Iko very clear awatocheza mchezo mwingine zaidi ya huu wa Leo kwakuwa akuna sababu za msingi zilizopelekea mechi kuahirishwa!
Sababu zinazoweza kufanya mechi iahirishwe zinajulikana ambazo zinakuwa nje ya uwezo wa kibinadamu na sio timu kugomea mechi kwasababu imezuiwa kufanya mazoezi!
Yanga na wao awatopeleka timu uwanjani mpaka bodi iwaambie ni kanuni ipi waliitumia kuahirisha mchezo wa kwanza usifanyike!
Tatizo liko hapo na bodi aitokuwa na maelezo yanayoeleweka!
Bodi ya ligi walitakiwa kuchukua hatua bila kucheka na kima ili kukomesha Aya mambo lakini wamegeuka kusigina kanuni zao walizotunga wenyewe!
Vipi ingekuwa ni kengold au Namungo ndio wamegoma kwa stahili hii bodi ya ligi wangeahirisha mechi?
Sasa wametengeneza tatizo jingine na yanga awatocheza mechi nyingine ili tuone ni hatua gani watachukua kwakuwa washayakanyaga!
Sawa mi mjinga.Ila nitakutawala milele wewe na ukoo wako wote nyie wenye akili.Mtalipa kodi nitakavyo.Ujinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini. Uwezo Mdogo sana kiakili na kiufahamu wa kujenga hoja, pia uelewa finyu kama sio sifuri kabisa wa Sheria za mpira wa miguu..una tofaut Gani na nyani? Hata nyani ana akili na ni mjanja.
Hata ingekuwa mimi nisingeleta timu.Kupigwa mara tano inaumaUjinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.
Kanuni inasema usipofanya hayo mazoezi USUSE?Kwa hiyo walioweka hiyo kanuni ya siku moja kabla ya mechi ni wajinga?
Acheni uhuni,fuateni taratibu
We unaonaje,je imesema usisuse?Kanuni inasema usipofanya hayo mazoezi USUSE?
Imeeleza adhabu ya kupewa kwa mtenda kosaWe unaonaje,je imesema usisuse?
Ipi hiyo,weka kifunguImeeleza adhabu ya kupewa kwa mtenda kosa
Kwakifupi TFF ni kama sanamu, (figure heads), Iko chini ya wanasiasaNaona kabisa bodi ya ligi imetengeneza tatizo juu ya tatizo,,bodi ya ligi ilitakiwa isimamie Sheria na kanuni walizoziweka zinazoendesha ligi na sio busara!
Kanuni ziko wazi kwa timu inayogomea mechi na kanuni ziko wazi kwa timu iliyozuiliwa kufanya mazoezi aikuwepo haja yoyote ya kutumia ata dk 10 kuamua hili jambo kwakuwa kanuni zinajieleza!
Bodi imeahirisha mechi kuwaridhisha Simba sasa iyo mechi watayopanga Simba atacheza na nani? Yanga washatoa statement yao Iko very clear awatocheza mchezo mwingine zaidi ya huu wa Leo kwakuwa akuna sababu za msingi zilizopelekea mechi kuahirishwa!
Sababu zinazoweza kufanya mechi iahirishwe zinajulikana ambazo zinakuwa nje ya uwezo wa kibinadamu na sio timu kugomea mechi kwasababu imezuiwa kufanya mazoezi!
Yanga na wao awatopeleka timu uwanjani mpaka bodi iwaambie ni kanuni ipi waliitumia kuahirisha mchezo wa kwanza usifanyike!
Tatizo liko hapo na bodi aitokuwa na maelezo yanayoeleweka!
Bodi ya ligi walitakiwa kuchukua hatua bila kucheka na kima ili kukomesha Aya mambo lakini wamegeuka kusigina kanuni zao walizotunga wenyewe!
Vipi ingekuwa ni kengold au Namungo ndio wamegoma kwa stahili hii bodi ya ligi wangeahirisha mechi?
Sasa wametengeneza tatizo jingine na yanga awatocheza mechi nyingine ili tuone ni hatua gani watachukua kwakuwa washayakanyaga!
Uyu mwandishi ni mangungu anayeongoza mbumbumbu wengi ikiwemo wewe!Huyu mwandishi wa wapi huyu?
Aitokuwa❌
Anza na "Ha"
Tutaongea mpaka lini?
Yanga kanuni ilikuwa upande wao usiwe mbumbute uwe unafatilia mambo,,kanuni ya kusogeza muda mbele ilitakiwa itoke ndani ya masaa 24 tff walifanya ivyo? Unatoa kashfa wakati wewe mwenyewe ata ujui jambo lenyewe lilikuwaje unakurupuka tu kama mkojo wa asubuhi!Yanga walikimbia mechi kisa muda ulibadilishwa ndio maana manara alisema yanga wote hawana akili leo mnaanzisha uzi mfululizo kwisha habari muache ushamba soka halichezwi na wahuni tulio hudhuria viwanja vikubwa vya soka nje nchi soka ni mtoko wacheni upuuzi na ushamba kuweka mbele watu wasio na elimu kumewagharimu!
Umeukalia na kuabudu uchawi nendeni fifa mechi itachezwa msipocheza ushindi anapewa simba..mlijazana uwanjani ikiwa mechi imeahirishwa mlivyo mazezeta viongozi waliogopa kuwaeleza ukweli kuwa wamepokea maelezo toka bodi ya ligi kuwa mechi imeahirishwa unakuja nyenyenye kanuni nyenyenye kaitumieni huko kaunda ngulula nyie ndio maana manara alisema hamna akili!Yanga kanuni ilikuwa upande wao usiwe mbumbute uwe unafatilia mambo,,kanuni ya kusogeza muda mbele ilitakiwa itoke ndani ya masaa 24 tff walifanya ivyo? Unatoa kashfa wakati wewe mwenyewe ata ujui jambo lenyewe lilikuwaje unakurupuka tu kama mkojo wa asubuhi!
Tutacheza chini ya kanuni ipi? Mechi ya kwanza imeahirishwa kwa kanuni ipi? Mbumbute wa Rage mnajizima sana data ebu tuwekee kanuni iliyopelekea mechi kuahirishwa na sio porojo za vijiweni,,hapa kinachofanya kazi ni kanuni zilizowekwa na bodi na sio mahaba yako wewe na mbumbumbu wenzako,,tueleze iyo kanuniUmeukalia na kuabudu uchawi nendeni fifa mechi itachezwa msipocheza ushindi anapewa simba..mlijazana uwanjani ikiwa mechi imeahirishwa mlivyo mazezeta viongozi waliogopa kuwaeleza ukweli kuwa wamepokea maelezo toka bodi ya ligi kuwa mechi imeahirishwa unakuja nyenyenye kanuni nyenyenye kaitumieni huko kaunda ngulula nyie ndio maana manara alisema hamna akili!