kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
kanuni ya bodi ya ligi ndio iliyotumika kuahirisha mechi!Tutacheza chini ya kanuni ipi? Mechi ya kwanza imeahirishwa kwa kanuni ipi? Mbumbute wa Rage mnajizima sana data ebu tuwekee kanuni iliyopelekea mechi kuahirishwa na sio porojo za vijiweni,,hapa kinachofanya kazi ni kanuni zilizowekwa na bodi na sio mahaba yako wewe na mbumbumbu wenzako,,tueleze iyo kanuni