Bodi ya ligi mmeingia kwenye mtego mbaya sana,,kitendo cha kuahirisha mechi bila sababu za msingi na kikanuni kitawagharimu!

kanuni ya bodi ya ligi ndio iliyotumika kuahirisha mechi!
 
kanuni ya bodi ya ligi ndio iliyotumika kuahirisha mechi!
Ndo maana nasema Rage alistahili kujengewa mnara mashabiki kama nyie bendera fata upepo mpo wengi humu,,Sasa kama unafata tu unachoambiwa na kusikia bila kizisoma ata kanuni zenyewe na kujiridhisha utakuwa na nguvu Gani ya kusimama na bodi ya ligi?
 
Ndo maana nasema Rage alistahili kujengewa mnara mashabiki kama nyie bendera fata upepo mpo wengi humu,,Sasa kama unafata tu unachoambiwa na kusikia bila kizisoma ata kanuni zenyewe na kujiridhisha utakuwa na nguvu Gani ya kusimama na bodi ya ligi?
Nakwambia hivi manara anasitahili mnara subiri uone kama mechi haitochezwa wewe fuata hersi anachokuambia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…