Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

Lipeni madeni wengine wapate
Watafutieni KAZI,

Waondoeni wazee serikalini,vijana wapate KAZI watalipa,

Njooni na mkakati Bora wa kuhakikisha vijana wetu wanasajili kampuni na kuwa walipa kodi Rasmi na kuajiri wengine Kisha kulipa mikopo na Kodi Kwa Tabasamu.
 
Waanze na hiyo repoti ya GAG unadhani tunasahau ??
Hilo nalo neno.

Ikiwa pesa za umma zinaibwa, hiyo Ari ya kulipa mikopo na Kodi, itoke wapi🤔

Walimu pia wangekuwa na uwezo wa kugoma kulipa kama ww,,wangekuwa wa kwanza, tatizo wamepigwa pin!!
 
Kwamba unashauri abadili namba Ili asisumbuliwe?

Muhimu hapa tushauri Serikali yetu, ije na mkakati Bora utakaowezesha vijana waingie kujiajiri, vikwazo viondolewe, Kodi ziwe Rafiki Ili wapate pesa, wajiajiri na kutengeneza ajira Ili walipe mikopo na Kodi Kwa furaha.

Karibu Kwa ushauri 🙏
Mfumo wa elimu nao ubadilike ili watu waweze kujiajiri
 
Dogo amepigiwa simu na afisa wa Bodi ya mikopo akimkaripia kwamba kwanini hajalipa mkopo na ametumiwa control namba, mwezi uliopita,

Dogo ananiambia hapa Leo sijapata pesa, nauli yenyewe kurudi home mtihani, halafu tena unapigiwa simu ukikumbushwa deni kana kwamba umepata ajira una pesa, hutaki kulipa!!

Imebidi nimtie tu moyo.

Hii Si sawa!!
ndio mambo ya numbari wani hayo
 
Sasa watajiajiri vipi ikiwa Hawasaidiwi kuondolewa vikwazo Ili wakuze biashara zao kufikia level ya kufungua makampuni?
Badala ya kuwa na F6 ile miaka miwili 2 watu wapige masomo ya ufundi kwanza ndiyo waende chuo kikuu, hakuna fundi umeme, bomba, pikipiki, wirelling za magari n.k yupo kitaa hana kazi
 
Badala ya kuwa na F6 ile miaka miwili 2 watu wapige masomo ya ufundi kwanza ndiyo waende chuo kikuu, hakuna fundi umeme, bomba, pikipiki, wirelling za magari n.k yupo kitaa hana kazi
Hao mafundi kwanini hawawezeshwi kupanda juu wafungue makampuni na kujiajiri na kuajiri wengine?

Akijitafuta akakodi frame, hakuna RANGI hatoona Toka Jiji, service levy, Tra Kodi nk nk.
 
Serikali izilee biashara na ofisi changa za Hawa graduates Ili wakuze na kutengeneza ajira Kwa wengine.

Tuongeze tax base iliyo chini ya ml 5 Hadi angalau ml 30 ambayo ni nusu ya population ya watu ml 69.
Kama Rais mwenyewe halipi kodi kwa mshahara wake wewe unahangaika ya nini?
 
Vijana wapewe ufadhili na sio mkopo cause amekuwa akichangia Kodi kabla hara ya kuzaliwa ... It's absurd Viongozi wanavyolipana marupurupu ya billions of monies then mwanafunzi akopeshwe
 
Back
Top Bottom