Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu (HESLB) kumtumia control namba mtu asiye na ajira ni kumuongezea stress, badilikeni!

Vijana wapewe ufadhili na sio mkopo cause amekuwa akichangia Kodi kabla hara ya kuzaliwa ... It's absurd Viongozi wanavyolipana marupurupu ya billions of monies then mwanafunzi akopeshwe
Serikali itaacha kukopesha ikiwa watu hawalipi,

Ukipata KAZI au biashara, ukapata pesa, unalipa kidogo kidogo Ili ukimaliza, na wengine wapate.
 
Mwanafunzi ametekeleza jukumu lake la kulipa Kodi toka akiwa mimba sasa ni jukumu la serikali insyokusanya Kodi hiyo kumsomesha. Kumkopesha ni kwamba amejusonesha while pia serikali imechukua Kodi yake.

Elimu inapaswa kuwa Bure katika levels zote
 
Mwanafunzi ametekeleza jukumu lake la kulipa Kodi toka akiwa mimba sasa ni jukumu la serikali insyokusanya Kodi hiyo kumsomesha. Kumkopesha ni kwamba amejusonesha while pia serikali imechukua Kodi yake.

Elimu inapaswa kuwa Bure katika levels zote
Ungesema kuwa wanaosoma VYUO vya kati, veta nk nk

Wakopeshwe maana wao Wana fursa za ajira kirahisi, hapo ningekuelewa.
 
Ungesema kuwa wanaosoma VYUO vya kati, veta nk nk

Wakopeshwe maana wao Wana fursa za ajira kirahisi, hapo ningekuelewa.
Kwenye ajira si wanakata PAYE... So it's a win win unasomeshwa unapata ajira then wanakata mshahara wako
 
Daah Bongo ni kama Jehanamu tu hawajui watoto wapo wapi harafu mnawatumia madeni shukuruni huo upuuzi mnaufanyia Tanzania..
 
Salaam, shalom!!!

Ninapata malalamiko mengi Kwa vijana wangu wengi Walio mtaani wanaopambana kujitafuta Ili wapate chochote kitu Cha kujikimu mahitaji Yao na ya wanaowategemea.

HESLB, bodi ya mikopo, unapomkopesha mwanafunzi wa chuo, lazima unakuwa na taarifa zake, namba ya simu IPO, namba ya nida , nk nk.

Na Kwa kawaida, mtu huyo akipata KAZI serikalini au sekta binafsi, taarifa zake zikipelekwa NSSF, PSPF,nk lazima mtajua kuwa mtu huyo tayari ameingia mfumo wa kupata pesa, hapo ni sawa kumpigia simu au kuwasiliana na waajiri wake Ili kupata namna Bora ya Kupata mkopo mliomkopesha.

Sasa, kumtumia controll namba kwamba mnamdai M. 16, yaani 16,000,000/= kijana aliyemaliza chuo, hajapata KAZI, Hana hata mia, aliyebomolewa Banda lake la biashara na mgambo wa Jiji,wengine wanarandaranda wakifanya vibarua mtaani, ghafula inaingia message yenye ujumbe ulioambatana na bill ya control namba yenye kuonyesha deni analodaiwa na bodi ya mikopo HESLB, hamuoni kuwa Hali hiyo ni kumuongezea stress?

USHAURI.
1. Bodi ya mikopo, HESLB, kupata pesa yenu kirahisi, wasiliana na Waziri Mwigulu Nchemba na waziri wa Ajira Ili mshauriane, ipatikane namna Bora ya kuwaajiri Hawa vijana Kwa namna mbalimbali Ili pesa ya umma iweze kurudi Kwa wakati.

2. Hakikisheni mifumo inasomana, kama kijana hajaajiriwa mnatakiwa kujua Ili kuepuka usumbufu na stress mnazowasababishia Hawa vijana.

3. TRA, Wizara ya Fedha, viwanda na biashara, Ajira, shirikianeni Ili kusaidia vijana Hawa wafungue kampuni, walelewe na kupata msamaha wa Kodi Ili wakuze biashara zao, waongeze tax base na walipe mikopo wanayodaiwa na bodi ya mikopo HESLB na waweze pia kulipa Kodi Ili kukuza Uchumi wa Nchi.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏. Cc: mwigulu nchemba

PIA SOMA
- Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu (HESLB) yaja na 'Kampeni ya Fichua' kuwasaka wadaiwa sugu
Nilishashauri uundwe mfuko wa elimu ya juu ambao utakuwa unachangiwa kupitia tozo (higher education levy) kwenye baadhi ya huduma na biashara na hata kuwakata wafanyakazi kiasi kidogo kwenye mishahara yao.

Hii itaondoa pressure kwa hawa vijana kudaiwa pesa nyingi pale tu wanapopata ajira, ukizingatia mishahara yao inakuwa midogo wanapoanza kazi na wanakuwa na majukumu na ambitions zao kwenye maisha.

Kupitia makato kidogo kwenye mishahara kwa wale watakaopata ajira, huduma mbalimbali na bidhaa watakazonunua, watakuwa na wenyewe wanachangia hii tozo ya elimu ya juu.​
 
Nilishashauri uundwe mfuko wa elimu ya juu ambao utakuwa unachangiwa kupitia tozo (higher education levy) kwenye baadhi ya huduma na biashara na hata kuwakata wafanyakazi kiasi kidogo kwenye mishahara yao.

Hii itaondoa pressure kwa hawa vijana kudaiwa pesa nyingi pale tu wanapopata ajira, ukizingatia mishahara yao inakuwa midogo wanapoanza kazi na wanakuwa na majukumu na ambitions zao kwenye maisha.

Kupitia makato kidogo kwenye mishahara kwa wale watakaopata ajira, huduma mbalimbali na bidhaa watakazonunua, watakuwa na wenyewe wanachangia hii tozo ya elimu ya juu.​
Watanzania kitu " Tozo" hawakipendi!!

Mimi nionavyo, migodi hii inaweza kufadhili ya Elimu ya juu, na kati, wakatoa Elimu ya juu bure.
 
Watanzania kitu " Tozo" hawakipendi!!

Mimi nionavyo, migodi hii inaweza kufadhili ya Elimu ya juu, na kati, wakatoa Elimu ya juu bure.
Yaa, hata serikali ikijikita kwenye matumizi ya msingi na kuzuia upigaji, pesa za vijana kusoma bure zipo.......sema ungeanzishwa pia huo mfuko wa elimu ya juu kuongeza kwenye bajeti ya serikali.
 
Back
Top Bottom