Bodi ya Ushauri wa Hospitali Binafsi yazionya Hospitali Binafsi kutokupokea Wagonjwa Wa dharura na Kuwa Discharge Wagonjwa mahtuti

Kwani Aghkani imeanza kupokea Bima Lini mkuu??
Shida watoto wa siku hizi wanajifanya wanajua halafu kumbe empty
Watanzania wako wangapi na Agha Khan ziko ngapi?Wewe unazungumzia Agha Khan iliyoko Dare salaam lakini Watanzania hawako Dare salaam pekee na Kuna maelefu hawajawahi kusikia hata jina la Agha Khan.Unaonekana una furaha sana.Ikifungwa Agha Khan unadhani Watanzania wataathirika?Lazima mtapiga magoti tu,mbele ya Serikali,furaha Yako ni ya muda tu.
 
Aghakani iko.Africa mashariki yote na kila mkoa kuna Aghakani..
Nitajie mkoa ulipo ambao hauno hospitali ya.aghakani au Africa mashariki yote nchi ambayo haina aghakani..

Nawiwa kujua Umri wako kuna migomo mingi ilifanyika na watu hawakupiga Magoti..
Migomonya madaktari nk
 
Swali ni kuwa Kuna shida gani hapo kuna nini kwanini Inatumika Nguvu nyingi sana?

Kwanini tusijadili hicho.kitita kuliko kutumia Nguvu?

Ukisikiliza maelezo ya waziri wa afya mh. Ummy Mwalimu ya jana kwa wenye ufahamu utaelewa nani ameleta sintofahamu:

1: Kama waziri aliunda tume, ikaleta majibu kwenye kikao.

2: APHFTA walisikiliza hoja za tume na kuomba kwenda kupitia maelezo husika ili waje na mrejesho pia. Huwezi kujibu chochote wakari unapata taarifa kwa mara ya kwanza.

3: Baada ya hapo nini kilifuata??
NHIF na Serikali kwenda kuingiza kitita kipya kwenye utekelezaji. Kwa nini wakati mawasiliano yanaendelea, na kikao kinachofuata ndo kilikuwa cha kusikiiliza APHFTA??

4: Kwenye sintofahamu angalia mtu anaevulumisha maneno mengi mengi bila sababu kufunika nia ovu. Nani alikimbia meza ya mazungumzo?

5: Vyovyote iwavyo kama haya mambo yasiposhughulikiwa kwa utashi mwema, sisi mashabiki ndo tutaumia na familia zetu, rafiki au ndugu. Tutapata huduma isiyokidhi vigezo.

Sijui kama NHIF pia walishafanya utafiti kuja kwa nini wanufaika wa mfuko wanakuwa na multiple visitations? Watu wanajitahidi kufanya the minimal they can. Tatizo la kuonwa mara moja mtu anazunguka vituo kibao kila mmoja akiogopa kufanya vipimo kwa pamoja. Mbonanhao wa bima nyingine hawazunguki?

Watapiga picha, wataunganisha NIDA na kuweka signature pads LAKINI ni muhimu wabadili attitudes na approach yao kwa watoa huduma za afya.

6: Aliyesababisha gharama za uendeshaji kuwa juu hataki kulipia gharama husika. Kodi rukuki zimepelekwa kwenye vituo hivihivi vya afya bila kujali kuwa atakaekuja kulipa ni mtumiaji wa mwisho.

A: GHARAMA HALISI/HITAJIKA ZA UENDESHAJI

1: UMEME
2: MAJI
3: PANGO
4: TAKA
5: MISHAHARA
6: MASHINE ZA VIPIMO
7: DAWA
8: OTHER CONSUMABLE/REAGENTS/KITS
9: VIFAA TIBA
10: SUPPORTIVE SERVICES ULINZI
11: USAFI NA VITENDEA KAZI
Nk.

GHARAMA ZITOKANAZO NA SERIKALI

1: TRA
2: FIRE/ZIMAMOTO
3: OSHA/USALAMA MAHARA PA KAZI
4: HALMASHAURI/MANISPAA
5: LESENI YA DAKTARI
6: NEMC/MAZINGIRA
7: USAJILI WIZARA
8: TAEC/MIONZI
9: LESENI YA MAABARA
10: LESENI YA PHARMACY
Nk.

Kama serikali imelipwa kodi na ina nia njema, kwa nini tasisi zake zinakuja kwa mlango wa nyuma kudai malipo tena na si kutoa huduma na kuhakiki vigezo?




Swali ni kuwa Kuna shida gani hapo kuna nini kwanini Inatumika Nguvu nyingi sana?

Kwanini tusijadili hicho.kitita kuliko kutumia Nguvu?
 
Chief ndo hichi ninekuwa nikisema kuanzia sakata hili linaanza.
Wizara ijitafakari sana kweny hili sakata vinginevyo inajipaka matope
 
Chief kwanini tujadili wakati huko nyuma kulikuwa na loophole kubwa tu ya kupiga hela kupitia kitita cha zamani na hizo hospital zinazogoma ilifaidika bila kupiga kelele..?

Kama zilifaidika kinyume na utaratibu wakaziacha tumlaumu nani? Tujifunze kuheshimu taratibu na kuwajibishana pale zinapokiukwa.
 
Mkuu ondoa status Yako ya Udr maana Haina maana!Nimekuuliza unafikiri Watanzania zikifungwa hizo Agha Khan zako unafikiri wataathirika?na huko mikoani unakosema Agha Khan zilikuwa inapokea Nhif kama kawaida. Agha Khan iliyoanzishwa mwaka 67 na Agha Khan IV Shah Karim Al Hussain unaiona Ina umri mkubwa mpaka uulize umri wangu au unaongeza page kiaina kwenye Uzi wako?.
 
Nimeuliza umri wako kwa sababu unayo ongea hayana Logic
 
Nchi za dunia ya tatu, usicheze na aliyeshika mpini ukiwa umeshika makali utaumia tu.

Soon wataanza kulia.

Na hii haihusiani na nani yupo right, nani ypo wrong.

Ila namjua atakayelia ni nani mwisho wa hili game.
Atakayelia ni mwananchi mwanachama wa huo mfuko.Hao wizara ndio wenye shida.sasa wanapotumia nguvu wakati mfuko wameufuja wenyewe nikusababisha shida kwa mgonjwa ambaye ni mwanachama.kinachowapa jeuri hospital za private ni ubora wa huduma kitu ambacho hospital za serikali kimewashinda.Sasa kitakachofuata ni huduma za afya kuzorota kwa hospitali za private na hiyo ni hasara kwa mgonjwa kwasababu yeye ndiye aliyefwata huduma bora kinyume chake ni kifo vya kizembe kama vinavyotokea hospitali za serikali.
 
Tayari wametema ndoano mkuu
 
Ila wamerudi mezani soon Tutapata makubalianp mazuri..

 
Chief kwanini tujadili wakati huko nyuma kulikuwa na loophole kubwa tu ya kupiga hela kupitia kitita cha zamani na hizo hospital zinazogoma ilifaidika bila kupiga kelele..?
Hilo ni kosa la hao wahusika wa huo mfuko.kwasababu kama hayo yalikua yanafanyika ina maana na wao nhif walikua wanufaika.na hayo ni makosa na ubadhirifu wa ela za mfuko.sasa tusihalalishe makosa ya watu kwa makosa mengine.sisi wanachama tunachokitaka ni huduma bora.
 
Chief kwanini tujadili wakati huko nyuma kulikuwa na loophole kubwa tu ya kupiga hela kupitia kitita cha zamani na hizo hospital zinazogoma ilifaidika bila kupiga kelele..?
Hilo ni kosa la hao wahusika wa huo mfuko.kwasababu kama hayo yalikua yanafanyika ina maana na wao nhif walikua wanufaika.na hayo ni makosa na ubadhirifu wa ela za mfuko.sasa tusihalalishe makosa ya watu kwa makosa mengine.sisi wanachama tunachokitaka ni huduma bora.
 
Nchi hii wapumbavu sana Nenda kairuki ,saifee ,bochi madaktari asilimia 80 ni wa Muhimbili,MOI,JKCI.

Sema watanzania wamekariri.

Huduma zinazotolewa leo jkci aisee watu wake kimya .

Zamani mwanamke alikuwa akienda kujifungua mwananyamala anagombezwa kama mtoto mdogo leo hii nani anafanya hivyo.

MOI wanafanya karibia aina nyingi za operation za mifupa kitu ambacho zamani hakuna
 
Naomba nitumie hii pdf tafadhali au file inaitwaje ?
 
Naomba nitumie hii pdf tafadhali au file inaitwaje ?
Pdf ipi mkuu maana kuna vitita kuanzia Dispensary mpaka National Hospital..
Kwa mwaka 2016 kuna vitita 10
Na mwaka 2024 hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…