Pale inatakiwa wazee wa yessssssssssss sirrrrrrrrPale sio kelele kama za lisu na uwezo wa kuongea lugha ya mkoloni wa kiingereza pale ni facts na data. Ule sio mkutano wa bavicha kuwa anatakiwa domokaya anayejua kupanua domo na kuongea sana
Sasa nimeelewa wakina Nyani muna a kiri timamu kila siku munatizingua tu CCM haini strategies za Ku govern .Anglia sasa Board hijafika tayari munajamba.kama wapo smart wawafanye out class hao wanakuja.Dah!
Kwani hao nao si ni watu tu kama sisi!
Yaani tayari watu mshaonyesha hali ya kushindwa hata kabla ya kuanza kwa hayo mazungumzo kisa tu eti ya watu waliomo kwenye hiyo bodi ya hiyo kampuni!
Kwani tunaenda kushindana kurusha maroketi angani?
Bure kabisa!!!!!
Kama wataalamu wapo tuwatimue tuache mambo ya kulipwa badala ya kujenga bara bara tuwekeze kwenye mitambo tuchimbe tuuze china na kwingineko baada ya muda tutajenga bara bara kama wao mamaeee!!!!Acheni Uoga Watanzania wenzangu, nawasihi sana, ushahidi tulionao sisi ni kama Mbuzi kafia kwa muuza supu, tulieni, nchi nzima si wajinga, wataalamu wetu si wajinga kama mnavyodhani, unajua mtanzania mmoja mmoja anavyojiona kuwa yeye ni tahira au kichwani hamna kitu au uwezo wake mdogo wa kielimu anadhani ndivyo ilivyo kwa timu zilivyochunguza na kutoa report..... tulieni vijana, sisi ni nchi masikini kwa kipato lakini tumejitahidi kusomesha watu wetu, hivo nawaomba sana msiwe na wasiwasi...
Hata vitani si askari wote wanapigana vita, wengine kazi yao ni kutunga nyimbo za kuwahamasisha na kuwatia moyo na ari wenzao ili waweze kupigana kwa nguvu kubwa, hivyo ni sawa na vita hii, ninyi wengine kwa sasa mtuunge tu mkono na kutoa ushauri mzuri, acheni wengine tuingie vitani...
Kwani Hoja ya msingi ni ukwepaji kodi na wizi au kuwalilia kwamba mikataba ni mibovu? Hebu weka sawa kwanza hapoWakuu kazi haitakuwa ya Kitoto na tunatakiwa tuandae jopo letu la wataalamu na wanasheria vichwa n'a makini sana. Inasemekana Bodi ya Ushauri ya Kimataifa itakuwepo katika mazungumzo yajayo kati ya Barrick/Acacia n'a Serikali ya Tanzania. Kazi ya Bodi hii itakuwa ni kutoa Ushauri katika Mikataba iliyosainiwa zamani n'a pande hizo mbili. Sasa huenda katika mazungumzo hayo tukawashinda n'a tukapata pesa zetu au tukaambulia patupu kwa kuwa Mikataba tuliisaini wenyewe n'a makubaliano tuliingia. Na Nadhan watakuja na ushahidi wa picha, vielelezo na video.
Nisiende mbali, Hebu wajue wajumbe wa Bodi hii ya Ushauri ya kimataifa, tukiwajua itakuwa vizuri kujiandaa na kuwaandaa wataalamu wetu:
Bodi Ina members 12 ambapo wako Mawaziri Wakuu wastaafu wawili na mawaziri wengine wanne wa nchi nne tofauti na inaongozwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Canada, Brian Mulroney. Pia kuna Waziri Mkuu wa zamani wa Hispania, Jose Maria Aznar na Spika wa zamani wa bunge la wawakilishi la Marekani, Newt Gingrich. Yumo aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Canada, John Baird na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Marekani, William Cohen na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi wa Shirikisho la Ujerumani, Karl-Theodor zu Guttenberg. Yumo aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Margreth Thatcher na John Major kuhusu masuala ya nchi za nje. Pia yuko Mtanzania na mwafrika pelée Balozi Juma Mwapachu.
Vichwa vyote hivi jamani tutapona ?
Kwani mikataba mmesaini kwa lugha gani?wakiongea kiingereza tupige kiswahili,tuone kama wataambulia
Kazi Ya bunge sio kusimamia utendaji wa serikali wa kila siku Wao sio watendaji ni sawa na kusema maamuzi yote Ya kesi za mahakama ziwe zinapelekwa bungeniSio kwamba wengi wetu tumeingiwa na woga bali hatujui kilichomo kwenye mikataba ambayo iliyosainiwa kwa siri bila kuhusisha taasisi kama bunge.
Imefika sasa hii mikataba itolewe hadharani mapema tuisome vizuri na kuielewa ili tuone mapungufi yako wapi tayari kwa kukabiliana vilivyo na wanaoitwa wezi wa madini yetu.
Kuamini katika Uafrika, mimi kutumia lugha ya Kiingereza, na kuogopa kwenda kwenye meza ya mazungumzo na hao watu wa Acacia kuna uhusiano gani?Nyani Ngabu ungekuwa unaamini katika uafrika usingekuwa unatia mbwembwe wakati unapotumia Lugha ya Kiingereza!
Na wewe ndo umeandika nini sasa hapo?Sasa nimeelewa wakina Nyani muna a kiri timamu kila siku munatizingua tu CCM haini strategies za Ku govern .Anglia sasa Board hijafika tayari munajamba.kama wapo smart wawafanye out class hao wanakuja.
Hakuna anayeogopa wazungu bali watu wanaogopa kilichomo kwenye Mikataba tuliyoingia na jinsi jambo lenyewe linavyoshughulikiwa. Kwa Mfano si lazima upige ramli kujua kama mwanao asiyesoma kwa bidii kama atafeli mtihani. Hoja haitakuwa woga wala chuki kwa mwanao bali uhalisia wa jambo lenyewe!Kuamini katika Uafrika, mimi kutumia lugha ya Kiingereza, na kuogopa kwenda kwenye meza ya mazungumzo na hao watu wa Acacia kuna uhusiano gani?
Unaongelea vitu ambavyo havina uhusiano kabisa na ndo maana sishangai kuwa huwa hata hunielewi.
Si ajabu hata hapa ukanisoma tena na ukashindwa kuelewa ulichokisoma!!!!
Hakuna anayeogopa wazungu bali watu wanaogopa kilichomo kwenye Mikataba tuliyoingia na jinsi jambo lenyewe linavyoshughulikiwa. Kwa Mfano si lazima upige ramli kujua kama mwanao asiyesoma kwa bidii kama atafeli mtihani. Hoja haitakuwa woga wala chuki kwa mwanao bali uhalisia wa jambo lenyewe!
Si lazima niandike kujibu swali lako bali nafanya muendelezo wa hoja yako. Hakuna anayewaogopa wazungu na wala msijifarague kwa kukwepa wajibu wa hao mnaowashabikia hivi sasa katika kutufikisha hapa tulipo. Yaani ni rahisi kwenu kuwaambia CHADEMA kwamba wamepoteza dira kwa kumpokea Lowassa lakini inakuwa ngumu kwenu kusema tumefika hapa kwa ajili ya matendo ya Mkapa na Kikwete.Ulichoandika sicho nilichokuuliza.
Nahitimisha kuwa umekisoma nilichokiandika lakini hukuelewa.
Una safari ndefu.
Wa ajabu sana kama wewe.Halafu utashangaa wawakilishi wa Serikali yetu watakuwa hawa wafuatao:-
1. Bashite
2. Lusinde
3. Deo Sanga
4. Mtemi Chenge
N.k.
Hapo ndipo huwa nasema Tanzania ni watu wa ajabu sana
Mikataba wewe hujaiona raisi na tume zake wameiona wanajua kilichomo lakini wewe ndio fundi wa kwa kubwabwaja kikibaraka kwa wazungu kwa mkataba ambao hata machoni hujawahi uona. Chadema mnajidhalisha mnoHakuna anayeogopa wazungu bali watu wanaogopa kilichomo kwenye Mikataba tuliyoingia na jinsi jambo lenyewe linavyoshughulikiwa. Kwa Mfano si lazima upige ramli kujua kama mwanao asiyesoma kwa bidii kama atafeli mtihani. Hoja haitakuwa woga wala chuki kwa mwanao bali uhalisia wa jambo lenyewe!
Tunatetea tusije yakatukuta kama yale ya Meli ya Samaki wa wachina. Hivi tunalipa zile hela badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo kwa kosa letu sisi ama la hao wana CCM wenzenu?Mikataba wewe hujiona raisi na tume zake wameiona wanajua kilichomo lakini wewe ndio fundi wa kwa kubwabwaja kikibaraka kwa wazungu kwa mkataba ambao hata machoni hujawahi uona. Chadema mnajidhalisha mno