Tetesi: Bodi ya Ushauri ya Kimataifa Kuhudhuria Mazungumzo ya Barrick/Acacia na Serikali

Pale sio kelele kama za lisu na uwezo wa kuongea lugha ya mkoloni wa kiingereza pale ni facts na data. Ule sio mkutano wa bavicha kuwa anatakiwa domokaya anayejua kupanua domo na kuongea sana
Pale inatakiwa wazee wa yessssssssssss sirrrrrrrr
A.k.a ndiyooooooooooooooooooooooooooo!!!
 
Sasa nimeelewa wakina Nyani muna a kiri timamu kila siku munatizingua tu CCM haini strategies za Ku govern .Anglia sasa Board hijafika tayari munajamba.kama wapo smart wawafanye out class hao wanakuja.
 
Kama wataalamu wapo tuwatimue tuache mambo ya kulipwa badala ya kujenga bara bara tuwekeze kwenye mitambo tuchimbe tuuze china na kwingineko baada ya muda tutajenga bara bara kama wao mamaeee!!!!
Ila neno mwanaume limenivunja moyoooo wangu kabisa sijuwi kwanini lilitamkwa!!!!!
 
Sio kwamba wengi wetu tumeingiwa na woga bali hatujui kilichomo kwenye mikataba ambayo iliyosainiwa kwa siri bila kuhusisha taasisi kama bunge.
Imefika sasa hii mikataba itolewe hadharani mapema tuisome vizuri na kuielewa ili tuone mapungufi yako wapi tayari kwa kukabiliana vilivyo na wanaoitwa wezi wa madini yetu.
 
Lazima wawepo,international arbitrators . Hawa ndio watasimamia kila kitu.
 
Kwani Hoja ya msingi ni ukwepaji kodi na wizi au kuwalilia kwamba mikataba ni mibovu? Hebu weka sawa kwanza hapo
 
Tanzania V/S Malawi
Inatarajiwa kuwa Live
 
Kazi Ya bunge sio kusimamia utendaji wa serikali wa kila siku Wao sio watendaji ni sawa na kusema maamuzi yote Ya kesi za mahakama ziwe zinapelekwa bungeni
 
Nyani Ngabu ungekuwa unaamini katika uafrika usingekuwa unatia mbwembwe wakati unapotumia Lugha ya Kiingereza!
Kuamini katika Uafrika, mimi kutumia lugha ya Kiingereza, na kuogopa kwenda kwenye meza ya mazungumzo na hao watu wa Acacia kuna uhusiano gani?

Unaongelea vitu ambavyo havina uhusiano kabisa na ndo maana sishangai kuwa huwa hata hunielewi.

Si ajabu hata hapa ukanisoma tena na ukashindwa kuelewa ulichokisoma!!!!
 
Sasa nimeelewa wakina Nyani muna a kiri timamu kila siku munatizingua tu CCM haini strategies za Ku govern .Anglia sasa Board hijafika tayari munajamba.kama wapo smart wawafanye out class hao wanakuja.
Na wewe ndo umeandika nini sasa hapo?
 
Hakuna anayeogopa wazungu bali watu wanaogopa kilichomo kwenye Mikataba tuliyoingia na jinsi jambo lenyewe linavyoshughulikiwa. Kwa Mfano si lazima upige ramli kujua kama mwanao asiyesoma kwa bidii kama atafeli mtihani. Hoja haitakuwa woga wala chuki kwa mwanao bali uhalisia wa jambo lenyewe!
 

Ulichoandika sicho nilichokuuliza.

Nahitimisha kuwa umekisoma nilichokiandika lakini hukuelewa.

Una safari ndefu.
 
Ulichoandika sicho nilichokuuliza.

Nahitimisha kuwa umekisoma nilichokiandika lakini hukuelewa.

Una safari ndefu.
Si lazima niandike kujibu swali lako bali nafanya muendelezo wa hoja yako. Hakuna anayewaogopa wazungu na wala msijifarague kwa kukwepa wajibu wa hao mnaowashabikia hivi sasa katika kutufikisha hapa tulipo. Yaani ni rahisi kwenu kuwaambia CHADEMA kwamba wamepoteza dira kwa kumpokea Lowassa lakini inakuwa ngumu kwenu kusema tumefika hapa kwa ajili ya matendo ya Mkapa na Kikwete.

hofu yetu haijengwi kwa kukutana na wazungu bali kwa jinsi wenyewe tulivyoitengeneza njia ya kukutana nao. Nashukuru kwamba safari yangu bado ni ndefu, Mliofika na kujibweteka ndiyo mliotufikisha hapa tulipo!
 
Halafu utashangaa wawakilishi wa Serikali yetu watakuwa hawa wafuatao:-
1. Bashite
2. Lusinde
3. Deo Sanga
4. Mtemi Chenge
N.k.

Hapo ndipo huwa nasema Tanzania ni watu wa ajabu sana
Wa ajabu sana kama wewe.
 
Mikataba wewe hujaiona raisi na tume zake wameiona wanajua kilichomo lakini wewe ndio fundi wa kwa kubwabwaja kikibaraka kwa wazungu kwa mkataba ambao hata machoni hujawahi uona. Chadema mnajidhalisha mno
 
Mikataba wewe hujiona raisi na tume zake wameiona wanajua kilichomo lakini wewe ndio fundi wa kwa kubwabwaja kikibaraka kwa wazungu kwa mkataba ambao hata machoni hujawahi uona. Chadema mnajidhalisha mno
Tunatetea tusije yakatukuta kama yale ya Meli ya Samaki wa wachina. Hivi tunalipa zile hela badala ya kuzitumia kujiletea maendeleo kwa kosa letu sisi ama la hao wana CCM wenzenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…