ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
Wade Maya ni travel vlogger unafananishaje na hili chawaWeledi upi? Anachofanya Wade Maya kina maana na impacts kuliko nyie mliokariri mavitabu na hamjielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wade Maya ni travel vlogger unafananishaje na hili chawaWeledi upi? Anachofanya Wade Maya kina maana na impacts kuliko nyie mliokariri mavitabu na hamjielewi
Bodi ya Utalii imemkana Mwijaku 😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/CyLzMHPK_-d/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Swali.
Kwani mtu akiamua kutangaza Utalii ni lazima atumwe na Bodi ya Utalii?
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1711394597350379619?t=fEsLcfhWYWIEU6YlJKS1Ow&s=19
Anataka ucheke pasipo na kicheko!Naiponda Serikali kivipi? Uwe Serikalini au wapi ukileta upuuzi nakuponda
Was this Necessary?Hakuna haja ya salamu.
Nimesoma hii barua. Nikauliza Bwijaku ni nani nikaambiwa ni mtangazaji anatangaza Utalii ufaransa. Bodi ya Utalii yasema haijamtuma. Nikajiuliza sikupata majibu.
View attachment 2777027
Tofauti Iko wapi?Wade Maya ni travel vlogger unafananishaje na hili chawa
Msanii chawa,hakuna tofauti ya chawa na shogaHuyo ni msaniii unamfikia Kwa lipi kwenye maisha wewe?
Bodi ya Utalii imemkana Mwijaku 😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/CyLzMHPK_-d/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Swali.
Kwani mtu akiamua kutangaza Utalii ni lazima atumwe na Bodi ya Utalii?
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1711394597350379619?t=fEsLcfhWYWIEU6YlJKS1Ow&s=19
Hizo ni shida zako binafsi,awe chawa awe msanii kama wewe inakukera sio wote Kwa hiyo usilazimisheMsanii chawa,hakuna tofauti ya chawa na shoga
Bodi ya Utalii imemkana Mwijaku 😂😂😂
View: https://www.instagram.com/p/CyLzMHPK_-d/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Swali.
Kwani mtu akiamua kutangaza Utalii ni lazima atumwe na Bodi ya Utalii?
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1711394597350379619?t=fEsLcfhWYWIEU6YlJKS1Ow&s=19
Picha za uchi kivipi? Sidhani kama anaweza fika huko maana ni kinyume na sheria.Hata mm naungana na bodi ya utalii yule bwana hapna kwa Kweli Bora vichaa wengine watamgaze ila siyo hyu feytu mpuuzi aliye fujisha picha za uchi ili apate pesa za kujikimu mpumbavu snaa
"Wode maya"Weledi upi? Anachofanya Wade Maya kina maana na impacts kuliko nyie mliokariri mavitabu na hamjielewi
Wewe ni mpumbavu msanii wa Nini?, Ana maisha gani? Yakushinda anaombaomba kwa kina Ali kiba na Mondi?.Huyo ni msaniii unamfikia Kwa lipi kwenye maisha wewe?