ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #61
Lazima vifanane? Kila mtu anatumia kipawa chakeAnachofanya wade Maya na na uyu pimbi wetu vinafanana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima vifanane? Kila mtu anatumia kipawa chakeAnachofanya wade Maya na na uyu pimbi wetu vinafanana?
Mjaku na wode Maya contents zao ni tafaut haukupaswa kumtaja mwijaku na yule mwamba wa Ghana kwenye sentensi MojaLazima vifanane? Kila mtu anatumia kipawa chake
Kuitangaza nchi kunahitaji kibali? Duh, hii ni kali aise, yaani ni kali sana kama picha la Cyborg vile.Bodi ya Utalii imemkana Mwijaku 😂😂😂
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imesema haijamtumia wala kumtuma mtangazaji na mwigizaji, Mwemba Burtony maarufu kama Mwijaku nchini Ufaransa kutangaza utalii mitaani, akiwa balozi wa utalii kwa niaba au kwa gharama za Serikali.
Katika taarifa iliyotolewa na TTB, imesema mwaka huu TTB ilishirikiana na Sekta Binafsi kwenye maonyesho ya utalii ya Ufaransa ambayo yalifanyika kuanzia Oktoba 03 hadi 05, 2023 na ilikwenda na kampuni 12 ikiwemo kampuni ya Asha Tours EK ambayo ndiyo ilimgharamia Mwijaku kwenda kufanya utangazaji wa kampuni yake inayofanya biashara ya utalii yenye makao makuu Hamburg, Ujerumani.
View attachment 2777118
Mwijaku
“TTB inakanusha kumtumia Mwijaku na inatoa tamko kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu yeyote asiye na dhamana ya kutangaza wala kuhamasisha utalii kwa mujibu wa sheria za Tanzania na taratibu zilizowekwa.” imesema taarifa.
Aidha, Bodi ya Utalii imewataka watu wote kuzingatia sheria kwenye utoaji wa taarifa au utangazaji na uhamasisha wa utalii ndani na nje ya nchi.
View attachment 2777107
Swali.
Kwani mtu akiamua kutangaza Utalii ni lazima atumwe na Bodi ya Utalii? Akili za Kijima ni tatizo jingine kubwa Tanzania.
Mkuu pengine ,mwijaku kuna maneno atakuwa kayazungumza ndio maana TTB , wamekuja kuzuia hiyo Tabia,Kwani mtu kutangaza Utalii Hadi atumwe na Bodi ya Utalii.Akili za kipunda punda za Majitu ya hovyo huko maofisini.
Wasomi wetu wengi ni wapumbavu sanaWatu wa Bodi ya Utalii niliona wanaulizwa na wageni kipindi cha kutalii Tanzania wanajibu eti kuanzia September kwa hiyo miezi mingine hata kama ni low season wanyama wanakua hakuna? Badala ya kusema karibuni Tanzania through out the year wao wanajibana nilichoka sana ndio maana wana mambo ya hovyo hovyo sana...