Bodi ya Utalii Tanzania: Hatujamtuma Mwijaku Kutangaza Utalii Mitaani Ujerumani

inatoa tamko kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu yeyote asiye na dhamana ya kutangaza wala kuhamasisha utalii kwa mujibu wa sheria za Tanzania

Kwamba kutangaza vivutio vya Tanzania ni hadi uwe na kibali...duh!
 


Yes, lazima kama anatangaza upumbavu bila busara na uwashilishwaji mzuri, mbona hawajawahi mkana bongozozo?
 
Yes, lazima kama anatangaza upumbavu bila busara na uwashilishwaji mzuri, mbona hawajawahi mkana bongozozo?
Upumbavu upi? Busara ipi unayoixunhumzia? Je kama wewe ndio mpumbavu?
 
Wahuni Ni Kuwabaini Popote Walipo Na Kuwakataa
 
Bodi ya Utalii wapo bize kuhkikisha wamasai wanaondoka huko kwanza🤣
 
Sawa mwijaku ni chizi, mpenda sifa za kijinga, hilo liko wazi.
Ni chawa na huenda hili analifanya kwa malengo yake ya uchawa chawa, lakini hajakosea..
Pili wanasema kampuni waliyoingia nayo mkataba ndio wanamtumia mwijaku, hapo case closed

Yaani mie nipande ndege mpaka mjini london kwa gharama yangu, kisha niutangaze mlima Kilimanjaro,kosa langu lipi hapo.
 
Wangesema kavunja Sheria gani au utaratibu gani mbona kama wanamuogopa vile.
Na wale wanaomponda Mwijaku hivi kawafanya nini?
Mtu anapambana kivyake nini tatizo?
Lazima tukubali hatuwezi kufanana na nchi isiyo na diversity haitaendelea.
 
Bodi ya Utalii wapo bize kuhkikisha wamasai wanaondoka huko kwanza🤣
Watu wa Bodi ya Utalii niliona wanaulizwa na wageni kipindi cha kutalii Tanzania wanajibu eti kuanzia September kwa hiyo miezi mingine hata kama ni low season wanyama wanakua hakuna? Badala ya kusema karibuni Tanzania through out the year wao wanajibana nilichoka sana ndio maana wana mambo ya hovyo hovyo sana...
 
Mwijaku Akirudi apekuliwe.
Asije kuwa amebeba Kunguni.

Hivi karibuni kumetokea taarifa kuwa kunguni wamezagaa Ufaransa na wana uwezo wa kupanda daladala, mabegi, masanduku, suruali na chupa za marashi.😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…