inatoa tamko kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu yeyote asiye na dhamana ya kutangaza wala kuhamasisha utalii kwa mujibu wa sheria za Tanzania
Tofauti Iko wapi?
Ndio maujinga yaliyojaza kichwani hayo Majitu ya maofisini,hovyo kabisaKwamba kutqngaza vivutio vya Tanzania ni hadi uwe na kibali...duh!
Alifanya hivyo hatangazi Utalii?Wade Maya ana rise awareness kuhusu bara la Afrika kwa kutembelea destinations na kuonyesha vivutio vya nchi husika
Upumbavu wako ni beyond limitWewe ni mpumbavu msanii wa Nini?, Ana maisha gani? Yakushinda anaombaomba kwa kina Ali kiba na Mondi?.
Bodi ya Utalii imemkana Mwijaku 😂😂😂
Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) imesema haijamtumia wala kumtuma mtangazaji na mwigizaji, Mwemba Burtony maarufu kama Mwijaku nchini Ufaransa kutangaza utalii mitaani, akiwa balozi wa utalii kwa niaba au kwa gharama za Serikali.
Katika taarifa iliyotolewa na TTB, imesema mwaka huu TTB ilishirikiana na Sekta Binafsi kwenye maonyesho ya utalii ya Ufaransa ambayo yalifanyika kuanzia Oktoba 03 hadi 05, 2023 na ilikwenda na kampuni 12 ikiwemo kampuni ya Asha Tours EK ambayo ndiyo ilimgharamia Mwijaku kwenda kufanya utangazaji wa kampuni yake inayofanya biashara ya utalii yenye makao makuu Hamburg, Ujerumani.
View attachment 2777118
Mwijaku
“TTB inakanusha kumtumia Mwijaku na inatoa tamko kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya mtu yeyote asiye na dhamana ya kutangaza wala kuhamasisha utalii kwa mujibu wa sheria za Tanzania na taratibu zilizowekwa.” imesema taarifa.
Aidha, Bodi ya Utalii imewataka watu wote kuzingatia sheria kwenye utoaji wa taarifa au utangazaji na uhamasisha wa utalii ndani na nje ya nchi.
View attachment 2777107
Swali.
Kwani mtu akiamua kutangaza Utalii ni lazima atumwe na Bodi ya Utalii? Akili za Kijima ni tatizo jingine kubwa Tanzania.
Upumbavu upi? Busara ipi unayoixunhumzia? Je kama wewe ndio mpumbavu?Yes, lazima kama anatangaza upumbavu bila busara na uwashilishwaji mzuri, mbona hawajawahi mkana bongozozo?
Upumbavu upi? Busara ipi unayoixunhumzia? Je kama wewe ndio mpumbavu?
Ndo maana nikasema hao jamaa ni wehu kama mwehu mwenzao wanayemkanaView attachment 2777071
Hii sijaelewa huyu na mwijaku utofauti wao ni upi?😂😂😂😂
ChoiceVariable
johnthebaptist
Lusungo
mdukuzi
Msanii
Pascal Mayalla
We mzee acha uhuniUpumbavu wako ni beyond limit View attachment 2777126
Bodi ya Utalii wapo bize kuhkikisha wamasai wanaondoka huko kwanza🤣Bodi ya hovyo sana hiyo hamjui mnafanya nini badala ya kushukuru watu wanatangaza utalii ninyi mnadhani kwa sababu mbuga zipo wageni watakuja tuu Tanzania ndio Nchi yenye vitu asili ambavyo Nchi nyingi hawana ila kwa sababu Bodi yenyewe ndio hawa tunabaki kushindwa na hao wanaotengeneza Mbuga...
Inatakiwa Timu zote ziwe na nembo za Mbuga zetu au Mlima Kilimanjaro...
Kuandaa matamasha Spain ambayo yatatangaza Mbuga zetu...
Utalii utangazwe mpaka kwenye mashirika makubwa ya ndege na viwanja vyao...
Mkifanya mambo ya Utalii kwa usahihi mtaacha kwenda kuomba hela kwa Waarabu ni vile hatuna akili wakati mali tunazo....
Watu wa Bodi ya Utalii niliona wanaulizwa na wageni kipindi cha kutalii Tanzania wanajibu eti kuanzia September kwa hiyo miezi mingine hata kama ni low season wanyama wanakua hakuna? Badala ya kusema karibuni Tanzania through out the year wao wanajibana nilichoka sana ndio maana wana mambo ya hovyo hovyo sana...Bodi ya Utalii wapo bize kuhkikisha wamasai wanaondoka huko kwanza🤣
Anachofanya wade Maya na na uyu pimbi wetu vinafanana?Alifanya hivyo hatangazi Utalii?