Bodi ya Utalii Tanzania: Hatujamtuma Mwijaku Kutangaza Utalii Mitaani Ujerumani

Hao walioandika hiyo barua hawana akili....hawakuwa na sababu ya kuuaminisha umma eti hawausiki,wangekaa kimya ingekuwa busara zaidi.....kwanza kutangaza utalii wa nchi Yako mpaka utumwe
 
Kuitangaza nchi kunahitaji kibali? Duh, hii ni kali aise, yaani ni kali sana kama picha la Cyborg vile.
 
Kwani mtu kutangaza Utalii Hadi atumwe na Bodi ya Utalii.Akili za kipunda punda za Majitu ya hovyo huko maofisini.
Mkuu pengine ,mwijaku kuna maneno atakuwa kayazungumza ndio maana TTB , wamekuja kuzuia hiyo Tabia,

Badala ya yeye(mwejaku) kuitangaza tz yeye anaitia auibu taifa
 
Wasomi wetu wengi ni wapumbavu sana
 
Mwaka jana nilienda Spain,France kutangaza Utalii ili wageni waje Tanzania kupitia Mothercitysafaris.Company Ltd watoe tamko basi hatutakiwi kuungaza Utalii ni wao walio ofisini ndio wafanye hivyo...
Makampuni yanajitegemea kwa kila kitu kwenye utangazaji kwa gharama kubwa hawa wasiojua kitu wanajifanya ndio wasemaji wetu hata ukiwauliza faida ya kutangaza Utalii wetu hawajui kitu..
 
Hawa tunaowaita wasomi .maofisini uko ni mazuzu kbis hamn kitu kichwani. Bongo zozo alianza kufanyag hiv hiv mwsh WA siku aliitwa mpaka bungeni adi wizara nazan alipew na deal. Sas mtz akifany muna mkana. Daah
 
Bongo zozo huwa anatangaza sana utalii wa Tanzania. I hope ana kibali cha TTB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…