Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,579
- 3,919
Hapa najua kuna watu wakubwa mno, wenye ufahamu sana, nimeamua kujitupa uku nijifunze zaidi.
Je mtu ana mwili na nafsi au mwili nafsi na roho?
Naamini kwa hakika hili ni swali la msingi sana kwa kila mtu anahitaji kupata majibu sahihi na yakuaminika zaidi (correctly an reliable answered).
Ni vyema zaidi kujadili na kufahamu kwa undani juu vitu hivi vitatu ki ujumla wake.
Katika makala hii nitaangazia japo kwa ufupi saana kile ninachofahamu, naamini ni wengi wametia mikono na kuandika na kuchambua kinaga ubaga juu ya mada hii, lakini si vibaya na mimi nikitia mikono na mchango wangu kwa ufupi.
1. Body, Soul And Spirit
Kabla ya kwenda moja kwa moja kwenye mada yetu ya mwili, nafsi na Roho turejee kwanza kwenye kitabu cha mwazno cha biblia (Genesis). Kitabu cha mwanzo ndio msingi mzima kila kitu, kimeandikwa kwa ufupi lakini kimebeba mwanzo wa kila chenye mwanzo, naamini hata mada tajwa hapo juu hapa ndipo inapoanzia.
GENESIS 2:16-17
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, matunda ya kila mti wa bustani wawezakula,
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku(in the Day.. Biblia ya kingereza) utakayokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Katazo au maagizo Mungu aliompatia adamu ni kwamba asile matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, kwa lugha nyepesi ya kueleweka ni kwamba siku atakapoyagusa na kuyala atakufa kwa hakika ndani ya siku hio hio.
NOTE:
Mambo mawili muhimu yanapatikana hapo…
1: in the Day(ndani ya siku hio hio)
2: Surely die ( Hakika utakufa)
Kifo ilikuwa ni 100% kitokee siku adam angegusa na kula matunda ya mti aliokatazwa.
Sasa katika Mwanzo 3:1-6 tunajua vile shetani alivyo mdanganya hawa na adam hatimaye wakavunja agizo walilopewa na Mungu, na kasha wakala tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Baada ya kula tunda kulingana na agizo la Mungu ilikuwa lazima wapatwe na kifo hapo hapo (at a moment) kama Mungu alivyosema Mwanzo 2:17.
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku(in the Day.. Biblia ya kingereza) utakayokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Tatizo liko hapa Mwanzo 5:5-6, Inasemaje kuhusu Adam?
5 “Siku zote za adam alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
Kwahiyo; kulingana na biblia, adam aliendelea kuwa na maisha au kuwa na uhai ndani yake kwa miaka mingi baadaye baada ya kula tunda hali ya kuwa Mungu alisema kwamba siku utakapo kula hakika utakufa ndani ya siku hio. Sasa nini kilitokea ndani ya siku hio amabapo adam na hwa walipokula tunda? Did they die as God said, au hawakufa?
Who will solve us this problem?
Man’s ideas, theories, religion and tradition? No Only one can give us answer na si mwingine ni Mungu mwenyewe kupitia Neno lake. Na kama unataka biblia kukupatia jibu ni lazima tuiruhusu ijitafsiri yenyewe. Biblia na biblia pekee yatosha.
Kumbuka Hesabu 23:19 inasema.. “mungu si mtu aseme uongo…..”
Tuendelee.. siku Adam na hawa walipokula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya walikufa kwa hakika(they real died). Actually, alikuwa ni sheta aliyesema hamtakufa hakika wakati anamrubuni hawa. Hivyo basi kama wasingekufa siku ile, kama Mungu alivyosema basi shetani angekuwa sahihi kabsa kuwaambia hamtakufa hakika na mungu angekuwa muongo kwa kuwaambia mtakufa hakika, kitu ambacho isingewezekana Mungu kuwa muongo.
Hesabu 23:19. inasema.. “Mungu si mtu aseme uongo…..” Hata hivyo wengi leo hufundisha kwamba wakati Mungu aliposema utakufa hakika alimaanisha kuna mbegu ya kifo itakuwa planted ndai ya adam baada ya kula tunda. Nene la Mungu halihitaji kukingiwa kifua kwa namna hio.
Halihitaji kutetewa wala kukingiwa kifua kwa kile ilichosema kabla badala yake ni ukweli ukweli pekee utasimama. Returning to our topic: Tangu Mungu aliposema wangekufa siku hio, kwa hakika walikufa siku hio hio (SINCE GOD SAID THAT THEY WOULD SURELY DIE THAT VERY DAY, THEY INDEED DIED THAT DAY).
Hata kama waliendelea kuwa na uhai ndani yao baada ya kula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya, ni dhahiri kwamba baada ya kula tunda kuna kitu walikipoteza ndani ya miili yao. Hicho walichokipoteza siku hio baada ya kula tunda kulingana na maneno ya Mungu ndio kifo (absence of a form of life). Hivyo basi tuanapaswa kuangalia ni kitu gani kilichopotea kwa wazaz wetu wa kwanza baada ya kula tunda ambacho ndio kusema adam na hawa walikufa baada ya kukipoteza.
2. Body, soul and spirit: the body and soul aparts
Tunaanza kufanya uchunguzi wetu jinsi gani mtu wakwanza aliumbwa, kitabu cha Mwanzo.
Genesis 2:7 “Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi…”(“and the Loard formed man of the dust of the groung……”)
Ni sehemu gani ya mtu Mungu alioifanya kwa mavumbi ya ardhi? Mwili. Ndiyo maana element za mwili wa binadamu zinapatikana kwenye madini ya ardhi. Kwahio sehemu ya kwanza ya mtu ilikuwa ni mwili(body).
Let’s countinue:
Genesis 2:7 …..and breath into his noistrils the breath of life and man become a living soul.
Tumeona jinsi Mungu alivyomuumba mtu kwa mavumbi ya ardhi, hata hivyo haukuwa na uhai ndani yake. Uliumbwa bila uhai, kIsha Mungu akaupilizia ule mwili (body) pumzi katika pua zake pumzi ya uhai na mtu akawa nafsi hai(living soul. Soul is what givies life to the body. Hapa neon la Mungu linatuambia bila nafsi mwili umekufa.
Where is soul(nafsi iko wapi?), uhai wa mwili, the life of the flesh?
Mambo ya walawi 17:11, 13-14
11 “Kwa kuwa uhai wa mwli u Ktika hiyo damu;….. “(for the life of the flesh is in the blood…)
13 ‘’Mtu yeyote aliye wa wana wa Israeli, au hao wageni wakaao kati yenu, ambaye amemshika mnyama, au ndege ambaye huliwa, katika kuwinda kwake;atamwaga damu yake, na kuifunika mchanga. 14 kwa maana kuliko huo uhai wa mnyama, hiyo damu ni moja na uhai wake……”
Tumekwisha kuona katika kitabu cha mwanzo kuwa nafsi(soul) ndiyo huupa mwili uhai. Hapa katika mambo ya walawi tunaona uhai wa mwili upo katika damu, kwahio uhai wa mwili ni nafsi. How this soul life passes from generation to generation? Through the blood. Acts 17:26“and he has mada from one blood every nation of men to dwell on all the face of the earth”.
Actually, sol is not something only man has. Animals have also soul which again is in the blood.
Mwanzo 1:20-21.
20 Mungu akasema maji na yajawe kwa wingi a kitu kiendacho chenye uhai……..
21 Mungu akaumba nyangumi wakubwa na kila kiumbe chenye uhai kiendacho…….”
Kwahiyo, sio binadamu tu bali hata wanyama wana nafsi hai, hili naamini sio jipya, kama tumeelewa kuwa nafsi hai(soul) ndio huupa mwili uhai, wakati tunapokufa hatuna uhai tena hatuna nafsi(soul). Vile vile hata kwa wanyama nao.although, there is no problem about what is defined as soul in the bible, the problem is created when we go to the bible with the preconceived ideas that soul is immortal. Soul is not something immortal. It just gives life to the body. When you stop having life in your body, you have no more soul.
Sasa tumeona vile Mungu alivyomfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi kasha akapulizia pumzi katika pua zake pumzi ya uhai ili kuupa mwili uhai. Kila mmoja wetu anakubali kabsa kwamba ana mwili na nafsi, tunaweza kuhitimisha kuwa adamu wakati anakufa akiwa na umri wa miaka930, wakati anakula tunda la mti wa mema na mabaya kwa hakika hakupoteza mwili wala nafsi.
Ikiwa hakupoteza mwili wala nafsi wakati alipokula tunda je alipoteza nini ambacho ndio kifo kama alivyosema Mungu?
Let’s continue searching…..
3: Body, Soul And Spirit: The Spirit Apart.
Mwanzo 1:26-27
The god said “Let us make man in our image, according to our likeness… so God created man in his own image, in the image of God he created him; male and female he created them.”
Kulingana na aya hii, mungu alimuumba mtu kwa mfano wa sura yake( zingatia sana hii point) swali la kujiuliza what is the image of God?? Anaonekanaje(what does he look like?
Yohana 4:24 inatuambi hivi…
God is not flesh but is spirit….(Mungu ni roho..). that is his image. Kwahiyo biblia inaposema Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake na kwa sura yke, ina maana kando ya mwili na nafsi bali pia alikuwa na mfanano na Mungu yaani roho.
God is not flesh. He does not have feet, hands,head, yeye ni roho.kama Mungu ni roho na adamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu ni dhahiri kuwa adamu naye ni roho. Mmoja anaweza akauliza kwanini Mungu amuumbe adamu na mwili, nafsi na roho pia?
Jibu rahisi ni kuwa bila adamu kuwa na form ya roho asingeweza kumuona mungu na kuwasiliana naye ana kwa ana kama walivyokuwa wanaonana katika bustani ya edeni, ikiwa mmoja angekuwa kiumbe cha roho na mwingine kiumbe chenye mwili isingekuwa rahisi adamu kumuona mungu maana mungu ni roho. Kama vile usivyoweza kupokea mawimbi ya sauti kutoka radio station nyumbani kwako bila kuwa na radio receiver ndivyo isingewezekana kwa adamu na Mungu.
Unahitaji radio receiver kusudi kupata mawimbi ya suti kutoka radio station.
1wakorintho 2:14 “basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuuzi,wala hawezi kuyafahamu, maana yatambulikana kwa jinsi ya rohoni”.
“But the natural, man does not receive the things of spirit of God, for they are foolishness to him: nor can he know, because they are spiritually discerned.”
Kulingana aya hapo juu mtu ambaye ana mwili na nafsi does not receive the things of the spirit of God. Kama nilivyokwisha kusema mambo ya roho ya mungu. Ili kuwasiliana na mungu unapaswa uwe na receiver i.e. spirit.
Summary
Adam alikuwa na mwili uliumbwa kutoka katika mavumbi ya ardhi, akapewa nafsi kwa kupuliziwa pumzi puni ilioupa flesh body uhai kisha akapewa na roho ili kuwasiliana na mungu. He was body, soul and spirit.baada ya adamu na hawa kula tunda ambapo mungu aliwaambia wakila hakika watakufasiku hio, ni hakika walikufa siku hio hio. Bearing in mind that death means the absence of form of life, tunaweza kuona sasa kifo kilichotokea siku ile.
Adam alikuwa ni mwili, nafsi na roho na mwili wake ulikufa miaka mingi baadaye after tht day that he ate, nafsi ndio inayoupa mwili uhai kama tulivyoona hapo awali, hivyo ni kusema baada ya kula tunda mwili na nafsi bado viliendelea kuishi miangi tu.
Mungu alisema kwa hakika siku utakayo kula utakufa hakika, tumeona vile mungu asingeweza kusema uongo kwamba adamu ale na asife, kabla ya admu kula alikuwa na sifa zote tatu body, soul, and spirit ilikuwa ni lazima afe maana alishakiuka masharti ya muumba wake. Baada ya kula tunda adamu alipoteza roho ambacho ndicho kifo chenyewe cha kiroho.
Baada ya adamu kula tunda alikuwa mfu mbele za Mungu, alikosa sifa ya kuwa na sura ya mfano wa mungu, hivyo akawA mfu. Na huu ndio ulikuwa mpango wa shetani kumfanya mungu na mwanadamu wakosane ili wasiweze kuwasiliana tena.
But God is I love, kupitia kwa mwanae tunakuwa viumbe vipya tena kwa kumuamuni tunarejeshewa kile kilichopotea pale tu adamu alipokula tunda.
1 Wathesalonike 5:23 “Mungu wa amani mwenyeweawatakase kabsa;nanyi nafsi zenu na roho zenuna miili yenu mhifadhiwemuwe kamili,……”
Asanteni...
Karibuni siwezi ku-tag, ningewatag wengi tu. Karibuni kwa ujumla wenu.
Je mtu ana mwili na nafsi au mwili nafsi na roho?
Naamini kwa hakika hili ni swali la msingi sana kwa kila mtu anahitaji kupata majibu sahihi na yakuaminika zaidi (correctly an reliable answered).
Ni vyema zaidi kujadili na kufahamu kwa undani juu vitu hivi vitatu ki ujumla wake.
Katika makala hii nitaangazia japo kwa ufupi saana kile ninachofahamu, naamini ni wengi wametia mikono na kuandika na kuchambua kinaga ubaga juu ya mada hii, lakini si vibaya na mimi nikitia mikono na mchango wangu kwa ufupi.
1. Body, Soul And Spirit
Kabla ya kwenda moja kwa moja kwenye mada yetu ya mwili, nafsi na Roho turejee kwanza kwenye kitabu cha mwazno cha biblia (Genesis). Kitabu cha mwanzo ndio msingi mzima kila kitu, kimeandikwa kwa ufupi lakini kimebeba mwanzo wa kila chenye mwanzo, naamini hata mada tajwa hapo juu hapa ndipo inapoanzia.
GENESIS 2:16-17
16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, matunda ya kila mti wa bustani wawezakula,
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku(in the Day.. Biblia ya kingereza) utakayokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Katazo au maagizo Mungu aliompatia adamu ni kwamba asile matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, kwa lugha nyepesi ya kueleweka ni kwamba siku atakapoyagusa na kuyala atakufa kwa hakika ndani ya siku hio hio.
NOTE:
Mambo mawili muhimu yanapatikana hapo…
1: in the Day(ndani ya siku hio hio)
2: Surely die ( Hakika utakufa)
Kifo ilikuwa ni 100% kitokee siku adam angegusa na kula matunda ya mti aliokatazwa.
Sasa katika Mwanzo 3:1-6 tunajua vile shetani alivyo mdanganya hawa na adam hatimaye wakavunja agizo walilopewa na Mungu, na kasha wakala tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Baada ya kula tunda kulingana na agizo la Mungu ilikuwa lazima wapatwe na kifo hapo hapo (at a moment) kama Mungu alivyosema Mwanzo 2:17.
17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku(in the Day.. Biblia ya kingereza) utakayokula matunda ya mti huo utakufa hakika.
Tatizo liko hapa Mwanzo 5:5-6, Inasemaje kuhusu Adam?
5 “Siku zote za adam alizoishi ni miaka mia kenda na thelathini, naye akafa.
Kwahiyo; kulingana na biblia, adam aliendelea kuwa na maisha au kuwa na uhai ndani yake kwa miaka mingi baadaye baada ya kula tunda hali ya kuwa Mungu alisema kwamba siku utakapo kula hakika utakufa ndani ya siku hio. Sasa nini kilitokea ndani ya siku hio amabapo adam na hwa walipokula tunda? Did they die as God said, au hawakufa?
Who will solve us this problem?
Man’s ideas, theories, religion and tradition? No Only one can give us answer na si mwingine ni Mungu mwenyewe kupitia Neno lake. Na kama unataka biblia kukupatia jibu ni lazima tuiruhusu ijitafsiri yenyewe. Biblia na biblia pekee yatosha.
Kumbuka Hesabu 23:19 inasema.. “mungu si mtu aseme uongo…..”
Tuendelee.. siku Adam na hawa walipokula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya walikufa kwa hakika(they real died). Actually, alikuwa ni sheta aliyesema hamtakufa hakika wakati anamrubuni hawa. Hivyo basi kama wasingekufa siku ile, kama Mungu alivyosema basi shetani angekuwa sahihi kabsa kuwaambia hamtakufa hakika na mungu angekuwa muongo kwa kuwaambia mtakufa hakika, kitu ambacho isingewezekana Mungu kuwa muongo.
Hesabu 23:19. inasema.. “Mungu si mtu aseme uongo…..” Hata hivyo wengi leo hufundisha kwamba wakati Mungu aliposema utakufa hakika alimaanisha kuna mbegu ya kifo itakuwa planted ndai ya adam baada ya kula tunda. Nene la Mungu halihitaji kukingiwa kifua kwa namna hio.
Halihitaji kutetewa wala kukingiwa kifua kwa kile ilichosema kabla badala yake ni ukweli ukweli pekee utasimama. Returning to our topic: Tangu Mungu aliposema wangekufa siku hio, kwa hakika walikufa siku hio hio (SINCE GOD SAID THAT THEY WOULD SURELY DIE THAT VERY DAY, THEY INDEED DIED THAT DAY).
Hata kama waliendelea kuwa na uhai ndani yao baada ya kula tunda la mti wa ujuzi wa mema na mabaya, ni dhahiri kwamba baada ya kula tunda kuna kitu walikipoteza ndani ya miili yao. Hicho walichokipoteza siku hio baada ya kula tunda kulingana na maneno ya Mungu ndio kifo (absence of a form of life). Hivyo basi tuanapaswa kuangalia ni kitu gani kilichopotea kwa wazaz wetu wa kwanza baada ya kula tunda ambacho ndio kusema adam na hawa walikufa baada ya kukipoteza.
2. Body, soul and spirit: the body and soul aparts
Tunaanza kufanya uchunguzi wetu jinsi gani mtu wakwanza aliumbwa, kitabu cha Mwanzo.
Genesis 2:7 “Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi…”(“and the Loard formed man of the dust of the groung……”)
Ni sehemu gani ya mtu Mungu alioifanya kwa mavumbi ya ardhi? Mwili. Ndiyo maana element za mwili wa binadamu zinapatikana kwenye madini ya ardhi. Kwahio sehemu ya kwanza ya mtu ilikuwa ni mwili(body).
Let’s countinue:
Genesis 2:7 …..and breath into his noistrils the breath of life and man become a living soul.
Tumeona jinsi Mungu alivyomuumba mtu kwa mavumbi ya ardhi, hata hivyo haukuwa na uhai ndani yake. Uliumbwa bila uhai, kIsha Mungu akaupilizia ule mwili (body) pumzi katika pua zake pumzi ya uhai na mtu akawa nafsi hai(living soul. Soul is what givies life to the body. Hapa neon la Mungu linatuambia bila nafsi mwili umekufa.
Where is soul(nafsi iko wapi?), uhai wa mwili, the life of the flesh?
Mambo ya walawi 17:11, 13-14
11 “Kwa kuwa uhai wa mwli u Ktika hiyo damu;….. “(for the life of the flesh is in the blood…)
13 ‘’Mtu yeyote aliye wa wana wa Israeli, au hao wageni wakaao kati yenu, ambaye amemshika mnyama, au ndege ambaye huliwa, katika kuwinda kwake;atamwaga damu yake, na kuifunika mchanga. 14 kwa maana kuliko huo uhai wa mnyama, hiyo damu ni moja na uhai wake……”
Tumekwisha kuona katika kitabu cha mwanzo kuwa nafsi(soul) ndiyo huupa mwili uhai. Hapa katika mambo ya walawi tunaona uhai wa mwili upo katika damu, kwahio uhai wa mwili ni nafsi. How this soul life passes from generation to generation? Through the blood. Acts 17:26“and he has mada from one blood every nation of men to dwell on all the face of the earth”.
Actually, sol is not something only man has. Animals have also soul which again is in the blood.
Mwanzo 1:20-21.
20 Mungu akasema maji na yajawe kwa wingi a kitu kiendacho chenye uhai……..
21 Mungu akaumba nyangumi wakubwa na kila kiumbe chenye uhai kiendacho…….”
Kwahiyo, sio binadamu tu bali hata wanyama wana nafsi hai, hili naamini sio jipya, kama tumeelewa kuwa nafsi hai(soul) ndio huupa mwili uhai, wakati tunapokufa hatuna uhai tena hatuna nafsi(soul). Vile vile hata kwa wanyama nao.although, there is no problem about what is defined as soul in the bible, the problem is created when we go to the bible with the preconceived ideas that soul is immortal. Soul is not something immortal. It just gives life to the body. When you stop having life in your body, you have no more soul.
Sasa tumeona vile Mungu alivyomfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi kasha akapulizia pumzi katika pua zake pumzi ya uhai ili kuupa mwili uhai. Kila mmoja wetu anakubali kabsa kwamba ana mwili na nafsi, tunaweza kuhitimisha kuwa adamu wakati anakufa akiwa na umri wa miaka930, wakati anakula tunda la mti wa mema na mabaya kwa hakika hakupoteza mwili wala nafsi.
Ikiwa hakupoteza mwili wala nafsi wakati alipokula tunda je alipoteza nini ambacho ndio kifo kama alivyosema Mungu?
Let’s continue searching…..
3: Body, Soul And Spirit: The Spirit Apart.
Mwanzo 1:26-27
The god said “Let us make man in our image, according to our likeness… so God created man in his own image, in the image of God he created him; male and female he created them.”
Kulingana na aya hii, mungu alimuumba mtu kwa mfano wa sura yake( zingatia sana hii point) swali la kujiuliza what is the image of God?? Anaonekanaje(what does he look like?
Yohana 4:24 inatuambi hivi…
God is not flesh but is spirit….(Mungu ni roho..). that is his image. Kwahiyo biblia inaposema Mungu alimuumba mtu kwa mfano wake na kwa sura yke, ina maana kando ya mwili na nafsi bali pia alikuwa na mfanano na Mungu yaani roho.
God is not flesh. He does not have feet, hands,head, yeye ni roho.kama Mungu ni roho na adamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu ni dhahiri kuwa adamu naye ni roho. Mmoja anaweza akauliza kwanini Mungu amuumbe adamu na mwili, nafsi na roho pia?
Jibu rahisi ni kuwa bila adamu kuwa na form ya roho asingeweza kumuona mungu na kuwasiliana naye ana kwa ana kama walivyokuwa wanaonana katika bustani ya edeni, ikiwa mmoja angekuwa kiumbe cha roho na mwingine kiumbe chenye mwili isingekuwa rahisi adamu kumuona mungu maana mungu ni roho. Kama vile usivyoweza kupokea mawimbi ya sauti kutoka radio station nyumbani kwako bila kuwa na radio receiver ndivyo isingewezekana kwa adamu na Mungu.
Unahitaji radio receiver kusudi kupata mawimbi ya suti kutoka radio station.
1wakorintho 2:14 “basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuuzi,wala hawezi kuyafahamu, maana yatambulikana kwa jinsi ya rohoni”.
“But the natural, man does not receive the things of spirit of God, for they are foolishness to him: nor can he know, because they are spiritually discerned.”
Kulingana aya hapo juu mtu ambaye ana mwili na nafsi does not receive the things of the spirit of God. Kama nilivyokwisha kusema mambo ya roho ya mungu. Ili kuwasiliana na mungu unapaswa uwe na receiver i.e. spirit.
Summary
Adam alikuwa na mwili uliumbwa kutoka katika mavumbi ya ardhi, akapewa nafsi kwa kupuliziwa pumzi puni ilioupa flesh body uhai kisha akapewa na roho ili kuwasiliana na mungu. He was body, soul and spirit.baada ya adamu na hawa kula tunda ambapo mungu aliwaambia wakila hakika watakufasiku hio, ni hakika walikufa siku hio hio. Bearing in mind that death means the absence of form of life, tunaweza kuona sasa kifo kilichotokea siku ile.
Adam alikuwa ni mwili, nafsi na roho na mwili wake ulikufa miaka mingi baadaye after tht day that he ate, nafsi ndio inayoupa mwili uhai kama tulivyoona hapo awali, hivyo ni kusema baada ya kula tunda mwili na nafsi bado viliendelea kuishi miangi tu.
Mungu alisema kwa hakika siku utakayo kula utakufa hakika, tumeona vile mungu asingeweza kusema uongo kwamba adamu ale na asife, kabla ya admu kula alikuwa na sifa zote tatu body, soul, and spirit ilikuwa ni lazima afe maana alishakiuka masharti ya muumba wake. Baada ya kula tunda adamu alipoteza roho ambacho ndicho kifo chenyewe cha kiroho.
Baada ya adamu kula tunda alikuwa mfu mbele za Mungu, alikosa sifa ya kuwa na sura ya mfano wa mungu, hivyo akawA mfu. Na huu ndio ulikuwa mpango wa shetani kumfanya mungu na mwanadamu wakosane ili wasiweze kuwasiliana tena.
But God is I love, kupitia kwa mwanae tunakuwa viumbe vipya tena kwa kumuamuni tunarejeshewa kile kilichopotea pale tu adamu alipokula tunda.
1 Wathesalonike 5:23 “Mungu wa amani mwenyeweawatakase kabsa;nanyi nafsi zenu na roho zenuna miili yenu mhifadhiwemuwe kamili,……”
Asanteni...
Karibuni siwezi ku-tag, ningewatag wengi tu. Karibuni kwa ujumla wenu.