Body(mwili), soul(nafsi) and spirit(roho)

Kwahiyo Adam aliendelea kuwa na mwili, nafsi na roho hata baada ya adhabu kutolewa na Mungu?
Shukrani Sana wadau kwa hoja zenu mnanifanya nizid kugain vitu ambavyo nivyamsingi sana kuvijua.

Naanza na hoja ya kuwa je adam baada ya kula tunda alibaki kuwa na mwili, nafsi na roho au mwili na nafsi pekee ??

Divine: maelezo yako hapo juu nimeyaelewa sana na siitaji kutia neno tena apo maana umeeleza hata zaidi ya nilivyokuwa nawaza mimi.

Adam alibakia kuwa na sifa mbili tu ! Nazo ni mwili na nafsi(kuna uzi nitaweka chini hapo kuelezea zaidi hili navyofahamu ila hapa najibh kwa ufupi tu).

Tusome haya maandiko yatatusaidia kuelewa zaidi

Thessalonians 5:23 says:

“Now may the God of peace Himself sanctify you completely; and may your whole spirit, soul, and bodybe preserved blameless at the coming of our Lord Jesus Christ.”
(23 Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa; nanyi nafsi zenu na roho zenu na miili yenu mhifadhiwe mwe kamili, bila lawama, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.)

Kulingana aya hii, inaonyesha wazi kuwa hatuko kamili yaani kuna kitu kimepungua kwetu, viko vitatu amejaribu kuviorodhesha hapo. Mwili, nafsi na roho.

Wote tunakubaliana kuwa mwili ni kibebeo cha nafsi na roho, sasa swali la kujiuliza ni kipi ambacho hakijakamilika kinachoelezwa hapo ? Je ni nafsi au Roho ?
Mwanzoni nilieleza kwa mafungu kuwa mwili hauwezi kuwa hai bila nafsi hivyo nafsi ndiyo inayoupatia mwili uhai. Kwa maelezo haya tunaona kuwa hatuko kamili kwa kukosa sifa ya tatu yaani roho(spirit).

John 3:1-6
"There was a man of the Pharisees named Nicodemus, a ruler of the Jews. This man came to Jesus by night and said to him, "Rabbi, we know that you are a teacher come from God; for no one can do these signs that you do unless God is with him." Jesus answered and said to him, "Most assuredly, I say unto you, unless one is born again [the Greek text reads "born from above"], he cannot see the kingdom of God."
(1 Basi palikuwa na mtu mmoja wa Mafarisayo, jina lake Nikodemo, mkuu wa Wayahudi.
2 Huyo alimjia usiku, akamwambia, Rabi, twajua ya kuwa u mwalimu, umetoka kwa Mungu; kwa maana hakuna mtu awezaye kuzifanya ishara hizi uzifanyazo wewe, isipokuwa Mungu yu pamoja naye.
3 Yesu akajibu, akamwambia, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa mara ya pili,........


Baada ya adamu kula tunda ni wazi kuwa alikufa maana alipoteza form of life ya spirit(ukiroho), hivyo akawa mfu mbele za Mungu, hapa kristo anasema ili tuingie kwenye ufalme wa mbinguni au ili tuonane na Mungu ni lazima tuzaliwe tena mara ya pili. Tuzaliwe ndio maana hatupo, kinachozaliwa ni kana kwamba hakikuwepo hivyo kinazaliwa ili kiwepo. Na sisi ni kana kwamba hatupo maana hatuna sifa ya ukiroho ambayo ndio image of God.

Questions may come immediately to our minds: "How does this birth occur?"
birth?", "what do I receive from this birth?".

John 3:4-5
"Nicodemus said to him, "How can a man be born when he is old? Can he enter a second time into his mother’s womb and be born? Jesus answered, "Most assuredly, I say to you, unless one is born of water and of the Spirit, he cannot enter the kingdom of God."
(4 Nikodemo akamwambia, Awezaje mtu kuzaliwa, akiwa mzee? Aweza kuingia tumboni mwa mamaye mara ya pili akazaliwa?
5 Yesu akajibu, Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho,.......)

In this passage Jesus Christ explains us that for a man to enter the kingdom of God he should be born of water and of the spirit. To be born of water means the first birth. Without having been born once, how could you be born again? He tells us also that one should be born of the spirit.

John 3:6
"That which is born of the flesh is flesh, and that which is born of the Spirit is spirit."
(6 Kilichozaliwa kwa mwili ni mwili; na kilichozaliwa kwa Roho ni roho.)

Again the two births are put together in the same sentence but this time the purpose is to contrast them and to show that they are entirely different. From the first birth you received what your parents are i.e. flesh. Similarly, from the second birth you received what your parent, God, is i.e. spirit

Karibuni tena tuendelee na mada.
 
Hivi inakuwaje Biblia na Msaafu tu ndio kiwe kimomo cha uthibitisho wa uwepo wa Roho na Mungu? Binafsi uzi huu tangu mwanzo nilipoupitia naona ni blah blah tuu...
Kiranga Njoo umchukue ndugu yako uku.
 

Binadamu alimbwa kwa udongo. Japo haielezewa kwenye biblia. Ila binadamu alimbwa kwa udongo akawa kiumbe hai.
Jibu:
Mwanzo 2:7 7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Hivyo baada tu ya kufinyangwa kwa udongo, tayari alikua na nafsi.
[emoji404] Jibu:
Mwanzo 7 BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

Hata hivyo hakua na roho.
[emoji404] Jibu:
John 4:24 tells us:
"God is Spirit"
Genesis 1:27 So God created man in his own image, in the image of God created he him; male and female created he them.

Adam alikuwa na hali zote tatu, mwili, nafsi na roho. Hii ni kwasabu Mungu aliamua kumpatia sifa ya roho kusudi waweze kuwasiliana kwa urahisi. Kumbuka aliumbwa kwa image of God na Mungu ni roho ilikuwa lazima adam naye awe na sifa hio ya ukiroho maana nfiyo iliokuwa image of God yaani ndiyo ilikuwa muonekano wa Mungu.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

Ama kwa maana nyingine nafsi yake haikua hai.

[emoji404] Jibu: kwenye mada kuu nimejaribu kueleza kuwa mwili umeumbwa kwa mavumbi ya ardhi tukaina kuwa kilichoumbwa kwa mavumbi ya udongo ni mwili(Body/flesh). The Mungu akapuliza pumzi yake kwenye pua za huo mwili kisha mtu akawa nafsi hai, hivyo nikasema kinachoupa mwili uhai ni nafsi ambayo hutokana na pumzi ya Mungu. Mwili bila nafsi ni mfu au si kitu.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Hivyo kiroho, nafsi ya binadamu ni zao la "reaction kati ya pumzi ya Mungu(roho) na mwili wa binadamu.

[emoji404] Asante sana.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]

Hivyo ndan yetu binadamu, mna roho ya Mungu ilipaswa na inapaswa iwe hivyo.

Pia ndani mwetu mna roho zetu. Roho zetu zi hai. Pale tu ambapo roho ya Mungu i ndani mwetu.

Mda roho ya Mungu inatoka ndani mwetu. Roho zetu zimekufa. Ni hadi zitakapo huishwa tena kwa Roho wa Mungu kurudi ndani mwetu, ndipo zinapo pata na kufanya kazi inavyo paswa.[/

[emoji404] Naomba hili nisieleze hapa, nitaandaa uzi wa muendelezo
 
Mkuu, Hapa siogezi wala kupunguza kitu, heshima kwako.
Nikirudi nitakuwa nimeframe tu maswali kadhaa nijiridhishe zaidi kwa kile ulichonipatia.
 
Kweli yameniingia, Kumbe dhambi ni kifo. Na je kama ndio hivo mbona kuna mahali inasema tukisema hatuna dhambi tunajidanganya? Pili na je kama mtu akitenda dhambi anakufa kiroho, Je Petro alipomkana BWANA alikufa kiroho? Tatu Kama Roho wa MUNGU ndio pumzi je roho ya kibinadamu ni ipi?


Mimi kwa uwela wangu kuna Mambo haya Mwili wa binadamu unaobeba Nafsi ambayo ndio roho ya kibinadamu kwa maana nyingine ni Dhamira au nia. 2.ROHO wa MUNGU ambayo mtu hupata kwa kumtii MUNGU na kumwomba MUNGU na kuwa mtakatifu, na 3.Ni roho ya shetani ambayo huingia kwa mtu ambaye hana roho wa MUNGU pia humshawish mtu kutenda mabaya.

Ndo kusema roho ya kibinadamu hafanya kazi kwa 1.utashi wake 2.Kwa kumsikiliza ROHO WA MUNGU au neno la MUNGU na sauti yake au Mwisho Roho ya shetani,mapepo,majini n.k.

Roho ya kibinadamu hufanya kazi kwa kusikia kuona kuisi n.k Roho ya kibinadamu ndo nafsi hapo sasa kwenye kufa kwa dhambi ni Ipi kati ya Tatu hizo hufa yaani Dhamiri njema a.k.a ROHO WA MUNGU au Dhamiri ya kawaida a.k.a nia a.k.a utu a.ka Roho ya kibinadamu au Roho mbaya a.k.a Roho ya shetani nijibu ni ipi hufa? Kwa kutenda dhambi?
 
Asante mkuu, kesho nitajitahidi kujibu hizi hoja zako, now mda umesonga sana.
 
Unaposema miguu yangu inauma, ni nani huyo anayesema? Miguu ni ya nani?
 
Unalazimisha roho na Mungu vipo wakati hujathibitisha hilo, kwa sababu huwezi kuthibitisha, kwa sababu havipo.


Nieleze maana ya Mungu na Roho ni nini?Kabla ya kusema vitu venye maana hiyo havipo. Unaweza kuserma vitu havipo kumbe hata huvijui.
 

Kwa mijibu wa Biblia ziko aina mbili za mwili. Mwili unao haribika na mwili usio haribika. Sasa naomba ueleze hizo roho zako ulizo zifafanua hapa ukitilia maanani kuwaepo kwa hizi aina mbili za miili.

Nataka uniambie kwa nini Bwana Yesu alitoa amri ya kubatizwa kwa maji na kwa Jina la Baba nala Mwana nala Roho Mtakatifu? Je unajua kuhusu ubatizo wa moto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…