Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana mgeni Unogeshe nyumbani.
Ni baba yako huyo?Hongera Magufuli,umeondoa aibu yangu.Mungu akulinde.Mimi sio hypocrite,nakuombea kila siku katika maombi yangu,you are so special to Tanzania.
Hakika anahitaji pongeziHongera Magufuli,umeondoa aibu yangu.Mungu akulinde.Mimi sio hypocrite,nakuombea kila siku katika maombi yangu,you are so special to Tanzania.
Ni Rais wangu,akiyumba nchi itayumba.Ni baba yako huyo?
Iyumbe mara ngapi? Au unataka hadi vita ndo ujue pameyumba?Ni Rais wangu,akiyumba nchi itayumba.
PIC: Kampuni ya ndege Tanzania (ATCL) imejiendesha kwa hasara kwa miaka mitatu mfululizoHongera Magufuli,umeondoa aibu yangu.Mungu akulinde.Mimi sio hypocrite,nakuombea kila siku katika maombi yangu,you are so special to me and Tanzania.Hongera sana strongman.
Mtasema sana,ila hayo yanarekebishika.
Hatusemi, ila yametokea....Mtasema sana,ila hayo yanarekebishika.
Anzisha hiyo vita basi ili tuone nchi imeyumba, unaogopa nini?Iyumbe mara ngapi? Au unataka hadi vita ndo ujue pameyumba?
Badala ya kukaa na kupiga porojo afadhali umuombe Mbowe aanze kukarabati pale ufipa. Utapata tabu sana.
Karibu sana mgeni Unogeshe nyumbani.
Aibu gàni hiyo ? .Hongera Magufuli,umeondoa aibu yangu.Mungu akulinde.Mimi sio hypocrite,nakuombea kila siku katika maombi yangu,you are so special to me and Tanzania.Hongera sana strongman.
Hahahaha[emoji23]Ni baba yako huyo?
Tatizo kubwa sana mnalo... Imefika mahala hata CAG hamumuamini kwa vile tu kasema makosa yenu... SI unakumbuka habari ya Bilioni 1,500/- na yale maswali ya bwana mjkubwa kwa CAG?Badala ya kukaa na kupiga porojo afadhali umuombe Mbowe aanze kukarabati pale ufipa. Utapata tabu sana.
wahamiaji haramu mmewapa jina jipya siku hizi!!!!!Safari za kuleta Watalii kutoka MUMBAI zinaanza.
Mbona unapanick?Tatizo kubwa sana mnalo... Imefika mahala hata CAG hamumuamini kwa vile tu kasema makosa yenu... SI unakumbuka habari ya Bilioni 1,500/- na yale maswali ya bwana mjkubwa kwa CAG?
Mmefika mahala anayewakosoa ni adui yenu
mmefika mahala pa kutowakosoa hata wateule wake pale wanapokosea....
Kwa mtazamo na vipimo vyako....Mbona unapanick?