Soma gazeti vizuri wacha kusumbua watu na swali za kipuzi.tuoneshe hio sehem uliosoma wewe??? tunasubiri hapa
jipe matuamaini zishanunuliwa mbili cash payment na bado hehehe magu kiboko ya wakenyaWanadhani kununua Boeing dreamliner nikama kubuy tuktuk.
wanafkiri tunapewa bureπππππ hawa watu wajinga sanaNdio hivyo Boeing ndio wametoa special offers kwa kutengenezea AirTanzania ndege kisha AirTanzania kulipa kwa installments tofauti na utaratibu wa prepayments
Ni kuanzia hii aircraft ya saba amapo watakua wakiipa AirTanzania Boeing mojamoja kila baada ya last order
Unatakiwa ujue tunachukua kwa Boeing direct sio broker kama KQ alafu hakuna interest rates yoyote kwenye hayo makubaliano
Thank you very muchKulipa cash kupo pale pale, hapa ni kuondoa lile sharti la kutanguliza deposit ili kuwa na uhakika kama kweli mteja ataweza kulipia hiyo bidhaa, ila kama mteja wako unamuamini, hiyo deposit unaweza kuiondoa na ukawa na uhakika wa malipo yote wakati ndege imekamilika, Kenya haiwezi kuaminika kwa kiwango hiki kwa sababu serikali inaendeshwa kwa kukopa ovyo ovyo.
we unajua maana ya installments au??? shule ukilipa ada yako kwa installments inamaana umesoma bure??? ujinga hauwez kutoka au sioππππππKwa hivyo hamjanunua cash. Good, ni hayo tu kwa sasa.
Zitakusaidia urudi kwenu ukale kachoriNdege zinatusaidia nini sasa
huyo achana nae anawivu sana huyo kilaza anajitia mjuaji sanaπππππOf course yes ndege zote tumenunua cash
This Boeing agreement ni new chapter after seeing our cash purchasing power
Wanadhani serikali itakua ikitoa pesa kila mara kununulia shirika ndege. After ndege za Kwanza serikali itataka kuona faida which will not happen. Finally ATCL itarudi pale pale juu ya mawe.Hebu wacheni huu ujinga eti special offer. Kununua sio tatizo,
Kuzalisha faida ndio shughuli
Acha kuleta akili za Kibera, kama umeshakunya katika mifuko ya plastic na huna maji ya kujisafisha lazima uanze kupiga kelele. Ninyi ndege zenu zote mumekodi kwahiyo hamjui lolote kuhusu masharti ya Boeing.Hivi wewe unajua maana ya instalments ama umeandika kitu huelewi?ππ
Achana na huyo, yeye huwa hivo. Haelewi kitu kazi ni kuuliza maswali za kijinga.Soma gazeti vizuri wacha kusumbua watu na swali za kipuzi.
fantastic point hehehe wanadhani hio offer watapewa wao watu wenyewe wanakopa loan kulipa loan ndio economy yao ilipofikaππππππ kuna mchumi wao mmoja alisema wakamuona kilaza aliwaambia kenya inakopa sana for consumption and not developmentsπππππKulipa cash kupo pale pale, hapa ni kuondoa lile sharti la kutanguliza deposit ili kuwa na uhakika kama kweli mteja ataweza kulipia hiyo bidhaa, ila kama mteja wako unamuamini, hiyo deposit unaweza kuiondoa na ukawa na uhakika wa malipo yote wakati ndege imekamilika, Kenya haiwezi kuaminika kwa kiwango hiki kwa sababu serikali inaendeshwa kwa kukopa ovyo ovyo.
a sum of money due as one of several equal payments for something, spread over an agreed period of time.
Una lingine.?
magu anawaumiza kichwa sana πππππDown payment waived. JPM is a super negotiator
Are you even listening to yourself?ππNdege tunanunua cash but with changed option badala ya prepayment ni post payment
Walikuwa na haraka ili lije kitaa,halafu mhariri si ni musiba yule kilaza???NGEGE ndo kitu gn......yn gaazeti linapita kwenye macho ya mwandishi......linakuja kwa editor...mpka mhariri wa gazeti ndo linakuja sis tulisome likiwa hivo!!??
Deni pekee ndo hulipwa in installments, Ndege ni ya deni kubali matokeo.we unajua maana ya installments au??? shule ukilipa ada yako kwa installments inamaana umesoma bure??? ujinga hauwez kutoka au sioππππππ