Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Hivi ni hatua gani ukifika inaitwa Nyumba si Boma tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UkishapauaHivi ni hatua gani ukifika inaitwa Nyumba si Boma tena?
Kupaua ndo kufanyaje!? Wengine huko hatujui a wala zUkishapaua
Kupaua = kuezeka = kufunika juu kwa Mabati, Vigae, Makuti n.kKupaua ndo kufanyaje!? Wengine huko hatujui a wala z
Fundi wangu Msingi anataka 1.7Msingi Tsh laki tano 😎
Jitose. Nyumba ni msingi... Mie mwenyewe msingi umekula ela ndefu. Hiyo 500 nilikuwa natania tu.Fundi wangu Msingi anataka 1.7
Anaingia site Mkuu.Wala sijavunga.Jitose. Nyumba ni msingi... Mie mwenyewe msingi umekula ela ndefu. Hiyo 500 nilikuwa natania tu.
Hii Ni Nyumba Ambayo Ina Range 450-500Sqm🫡Ninyoendelea nayo kwa sasa imeshafika M58 hadi kupaua tu na bado haijafika kwenye Kiingereza.
Wish u the best mkuuBoss mbele flem 7 nyuma kuna vyuma 4 kila chumba ni self na sebule
Sijawahi kujua sqm ila imeshiba. Ina vyumba 4 vya kulala(1 master, 1 self, 2 kawaida) na 1 ni study room, jumla 5, public toilet&bathroom, sitting room km ukubwa wa darasa, dining, kitchen km lote, store nk. Yani hakuna laundry tu. Mbao, bati na fundi iligonga m22 point something. Bati ni Msouth- versetile Alaf tena nilifuata mwenyewe kiwandani Fundi paa pekee alilamba m2.5. Boma lililamba block za kutosha sio hata za kuongea. Kiukweli ujenzi wa sasa ni balaa Bora huko nyumaHii Ni Nyumba Ambayo Ina Range 450-500Sqm🫡
Well saidNimepita na wakati naanza nilikatishwa tamaa na sikutegemea ningeimaliza ila ukiwa na nia ni kazi rahisi sana hakuna ugumu
Kimbia usirudi tena!Fundi wangu Msingi anataka 1.7
Hiyo ya msingi Mkuu.Jumla anataka mil3 hapo itabaki 1.3.Nyumba ya 4 rooms two self Niko,stop,dining na sitting room.Kimbia usirudi tena!
Now Upo Stage Gani?? Umeshafanya Finishing Ipi Na Ipi?? Hapo Ki-Standard Na Quality Finishing Mpk Fence Na Paving Inaweza Kukucost 250m.Sijawahi kujua sqm ila imeshiba. Ina vyumba 4 vya kulala(1 master, 1 self, 2 kawaida) na 1 ni study room, jumla 5, public toilet&bathroom, sitting room km ukubwa wa darasa, dining, kitchen km lote, store nk. Yani hakuna laundry tu. Mbao, bati na fundi iligonga m22 point something. Bati ni Msouth- versetile Alaf tena nilifuata mwenyewe kiwandani Fundi paa pekee alilamba m2.5. Boma lililamba block za kutosha sio hata za kuongea. Kiukweli ujenzi wa sasa ni balaa Bora huko nyuma
Wish u the best mkuu, tunaomba ukiimaalizia utupatie kapicha kidogo.Sijawahi kujua sqm ila imeshiba. Ina vyumba 4 vya kulala(1 master, 1 self, 2 kawaida) na 1 ni study room, jumla 5, public toilet&bathroom, sitting room km ukubwa wa darasa, dining, kitchen km lote, store nk. Yani hakuna laundry tu. Mbao, bati na fundi iligonga m22 point something. Bati ni Msouth- versetile Alaf tena nilifuata mwenyewe kiwandani Fundi paa pekee alilamba m2.5. Boma lililamba block za kutosha sio hata za kuongea. Kiukweli ujenzi wa sasa ni balaa Bora huko nyuma
Jaribu kumuomba 2,500,000.Hiyo ya msingi Mkuu.Jumla anataka mil3 hapo itabaki 1.3.Nyumba ya 4 rooms two self Niko,stop,dining na sitting room.
Hiyo ya msingi Mkuu.Jumla anataka mil3 hapo itabaki 1.3.Nyumba ya 4 rooms two self Niko,stop,dining na sitting room.