Fundi wa kibanda changu tulikubaliana kuanzia msingi hadi Paa. He is a God fearing man. Kama huko interested nae niPM. Hautajuta.Hongereni mliofikia hatua hii na ambao walishaipita muda mrefu.
Msingi, Lenta, Lipu hadi Bati.
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fundi wa kibanda changu tulikubaliana kuanzia msingi hadi Paa. He is a God fearing man. Kama huko interested nae niPM. Hautajuta.Hongereni mliofikia hatua hii na ambao walishaipita muda mrefu.
Msingi, Lenta, Lipu hadi Bati.
Karibuni
Yuko sahihi kabisa. Wakati mimi napiga ujenzi fundi wa kwanza alitaka 4.5m nikamkataa, nikapata wa 4m nikaona bado naibiwa. Mwisho nikampata fundi Maiko akataka 2.5m hata sikurudi nyuma nikamwambia chapa kazi. Aiseeeee kilichonikuta sitaki hata kuelezea maana mmmmm. Aliekuja kurekebisha makosa ya fundi Maiko na kumalizia alisema fundi kuanzia msingi hadi kumaliza pagala ilitakiwa 5m au kwa huruma sana 4.5m huyo wa 2.5 kuanzia msingi hadi boma alikuwa anasumbuliwa na njaa. Hatimae akaomba 2.5m kurekebisha makosa na kumalizia km kozi 5 na kufunga renta sehemu baadhi ambazo fundi Maiko alikuwa hajaweka.Hiyo ya msingi Mkuu.Jumla anataka mil3 hapo itabaki 1.3.Nyumba ya 4 rooms two self Niko,stop,dining na sitting room.
Sijakuelewa, au ni mimi tu sijui figures. Yani nyumba hio msingi tu 2.46m, kusimamisha boma 5.445m, paa 5.440m? Hapana hapana hapana hapana, nasema hapana hata km ni fundi kutoka ulaya au mbinguni siwezi kumpa pesa hiyo yote.Fundi wa kibanda changu tulikubaliana kuanzia msingi hadi Paa. He is a God fearing man. Kama huko interested nae niPM. Hautajuta.View attachment 2541785View attachment 2541789
poa ndugu usijali au nikupe na ramani kabisa na wewe ukasimamishe huo mjengo ha ha ha.Wish u the best mkuu, tunaomba ukiimaalizia utupatie kapicha kidogo.
Pole sana, ubora wa kazi unapelekea pia bei kupishana, Mafundi wasio na kazi bora wao huwa ni bora kufanya kazi kwa pesa yeyote bila kujali ubora wa kazi, muda na faida anayopaswa kuitengeneza. Changamoto iliyopo Client wengi wa Tanzania wanaamini Mafundi ni wezi, inawezekana ni kutokana na tasnia yenyewe kuwa na watu wachache ambao ni waaminifu, lakini mtaalamu yeyote anayeijua kazi yake ni lazima gharama yake izingatie ubora wa kazi, muda na hali halisi ya site husika. lakini mara nyingi gharama za ufundi hushauriwa ziwe kati ya asilimia 25 hadi 30 za gharama ya vifaa vya ujenzi kwa stage husikaYuko sahihi kabisa. Wakati mimi napiga ujenzi fundi wa kwanza alitaka 4.5m nikamkataa, nikapata wa 4m nikaona bado naibiwa. Mwisho nikampata fundi Maiko akataka 2.5m hata sikurudi nyuma nikamwambia chapa kazi. Aiseeeee kilichonikuta sitaki hata kuelezea maana mmmmm. Aliekuja kurekebisha makosa ya fundi Maiko na kumalizia alisema fundi kuanzia msingi hadi kumaliza pagala ilitakiwa 5m au kwa huruma sana 4.5m huyo wa 2.5 kuanzia msingi hadi boma alikuwa anasumbuliwa na njaa. Hatimae akaomba 2.5m kurekebisha makosa na kumalizia km kozi 5 na kufunga renta sehemu baadhi ambazo fundi Maiko alikuwa hajaweka.
Somo: Tusipende vitu vya bei Chee tutakuja kujuta. Km Mimi ningemsikiliza fundi wa 4.5m ingekuwa poa hatimae gharama za fundi Maiko na aliemalizia zilifika 5m. Bado ubomoaji ulionigarimu tofali mpya, sementi, maji, muda kupotea.
😂😂😂Sijakuelewa, au ni mimi tu sijui figures. Yani nyumba hio msingi tu 2.46m, kusimamisha boma 5.445m, paa 5.440m? Hapana hapana hapana hapana, nasema hapana hata km ni fundi kutoka ulaya au mbinguni siwezi kumpa pesa hiyo yote.
Exactly, ndo nasubiri nikipata muda wa kusimamia niingie kwenye material ya Kiingereza (gypsum, tiles, nk). Fence sijaweka, fundi aliniambia block 4,000, mawe trip 20. Hiyo nikipata kamwanya ka kufika huko site nitakapiga mwaka hu hu. Ujenzi sio lele mama yataka moyo. Sema mimi napiga bila stress maana sitarajii kuishi humo leo wala kesho. Naandaa tu kwa ajili ya mbeleni. Ila shughuli bado pevu.Now Upo Stage Gani?? Umeshafanya Finishing Ipi Na Ipi?? Hapo Ki-Standard Na Quality Finishing Mpk Fence Na Paving Inaweza Kukucost 250m.
Sijakuelewa, au ni mimi tu sijui figures. Yani nyumba hio msingi tu 2.46m, kusimamisha boma 5.445m, paa 5.440m? Hapana hapana hapana hapana, nasema hapana hata km ni fundi kutoka ulaya au mbinguni siwezi kumpa pesa hiyo yote.
Mkuu location ni mkoa gani?, Pia unaweza kuweka cost za fundi pekee?, je fundi wako ni mtalaam na ana-uzoefu wa kujenga hidden roof kuanzia msingi hadi kuezeka? danymTZHiyo ni total cost kaka. Matofali, cement, fundi mabati kila kitu
Masai ndio wanajenga boma sie tunajenga nyumbaHongereni mliofikia hatua hii na ambao walishaipita muda mrefu.
Msingi, Lenta, Lipu hadi Bati.
Karibuni
Sijakuelewa, au ni mimi tu sijui figures. Yani nyumba hio msingi tu 2.46m, kusimamisha boma 5.445m, paa 5.440m? Hapana hapana hapana hapana, nasema hapana hata km ni fundi kutoka ulaya au mbinguni siwezi kumpa pesa hiyo yote.
Nitashukuru boss, mimi naplan mwaka huu kusimamisha ya namna hii:poa ndugu usijali au nikupe na ramani kabisa na wewe ukasimamishe huo mjengo ha ha ha.
Watu humu huwa wanadanganya au hawaweki mahesabu vizuri. Hizo gharama zako ndiyo angalau ziko kwenye mstari.Ninyoendelea nayo kwa sasa imeshafika M58 hadi kupaua tu na bado haijafika kwenye Kiingereza.
Kweli kabisa mkuu, mimi naplan kutumia mwaka kuijengaExactly, ndo nasubiri nikipata muda wa kusimamia niingie kwenye material ya Kiingereza (gypsum, tiles, nk). Fence sijaweka, fundi aliniambia block 4,000, mawe trip 20. Hiyo nikipata kamwanya ka kufika huko site nitakapiga mwaka hu hu. Ujenzi sio lele mama yataka moyo. Sema mimi napiga bila stress maana sitarajii kuishi humo leo wala kesho. Naandaa tu kwa ajili ya mbeleni. Ila shughuli bado pevu.
Watu jengeni tu nyumba wala hakuna ugumu wowote km watu wanavyotisha. Muhimu weka malengo na jibane ktk matumizi na starehe. Na jenga nyumba hata zaidi ya 2 km uwezo upo, maana nyumba ni asset
HahahaWatu humu huwa wanadanganya au hawaweki mahesabu vizuri. Hizo gharama zako ndiyo angalau ziko kwenye mstari.
ulizia mainjinia gharama ya ujenzi kwa square meter ni shilingi ngapi halafu utapata wastani wa gharama za nyumba yako.Nitashukuru boss, mimi naplan mwaka huu kusimamisha ya namna hii:
Vyumba vinne vyote vina choo
Choo cha public
Store
Study room
Fensi
155m²
Niko kanda ya ziwa.
Kweli kabisa ila nitaangalia gharama, kama ikiwa kubwa sana, nitaweka public toilet ila niitanganishe choo na bafuulizia mainjinia gharama ya ujenzi kwa square meter ni shilingi ngapi halafu utapata wastani wa gharama za nyumba yako.
Lakini kumbuka vyoo vitano unavyotaka ndani siyo mchezo. Gharama kubwa sana za nyumba zinakuwa kwenye finishing.
Hii inawezakuwa ni nyumba ya ndoto yakoSisi wenye majumba badala ya maboma tunacomment hapa pia?😁😁😁
View attachment 2537126