Bomba la gesi lalipuka Urusi, zaidi ya watu milioni moja kukosa gesi, hivi vita vinakwenda pabaya

Bomba la gesi lalipuka Urusi, zaidi ya watu milioni moja kukosa gesi, hivi vita vinakwenda pabaya

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Hili tukio linadhaniwa kama ulipizaji wa kisasi baada ya Urusi kushukiwa kwenye ulipuaji wa bomba la gesi la "Nord Stream".

Zaidi ya Warusi milioni moja kukosa gesi, huku wakielekea kwenye msimu wa baridi, kwa kifupi hivi vita havifai, Putin anapaswa afahamu anaowashambulia na wao pia wako tayari kulipa mapigo, na wapo tayari kufika kwenye kiwango hakijashuhudiwa tena, kama vipi ageuze mapema, aache uvamizi kwenye nchi ya watu, kiburi hakitamsaidia kitu ila ataendelea kutesa Warusi.

=====================

Massive explosion hits Russian Gazprom gas pipeline amid suspicions of sabotage linked to Putin's war on Ukraine​

  • Enormous explosion hit one of Russia's major gas pipelines, sending flames and smoke billowing into the sky
  • There are fears it may be a 'tit-for-tat' after traces of explosives were found at the site of the Nord Stream blast
  • The fireball was visible for miles in every direction today after hitting about 14 miles east of St Petersburg
  • Swedish prosecutor claimed sabotage was the cause of the Nord Stream pipeline blasts of September 26

An enormous explosion has hit one of Russia's major gas pipelines, sending flames and smoke billowing into the sky above and prompting fears it was a retribution attack for Vladimir Putin's continued invasion of Ukraine.

The fireball was visible for miles in every direction after hitting about 14 miles east of St Petersburg, the nation's second largest city and Putin's hometown.

One source said: 'Everything is automatic there, and such explosions by themselves, without external influence, are impossible.'
 
Purely propaganda from the western countries mediae.

Afu si tulikubaliana kuwa PUT IN mwisho wake ulishakaribia na RUSSIA itakuwa majivu, mbona bado tu anadunda hadi sasa [emoji848][emoji16]

Akili, akili, akili...[emoji124]

Maustadhi mnachanganya madesa, Putin alimpa Zelensky masaa 24 aihame Ukraine, nashangaa kibao kimegeuzwa leo tunajadili udundaji wa Putin kitaa, ha ha ha!!
Halafu unaposema ni propaganda, haya soma taarifa kutoka kwa TASS ya Urusi, au usipoamini hii nitakuletea ya Waarab https://tass.com/emergencies/1539371
 
Nakuhurumia sana wewe ni kama mgonjwa wa tb anaumwa anasema haumwi anaendelea kuvuta sigara unaokota habari youtube za propaganda labda wazalamo was tandale ndio wanakuelewa.


Hii habari ndio inawaumiza sana

Mzozo wa Ukraine: Raia milioni 10 wa Ukraine hawana umeme baada ya mashambulizi mapya ya Urusi​

w

geCopyright: ge
Theluji imeanguka nchini Ukraine ambapo baadhi ya watu hawawezi kupasha moto nyumba zao kutokana na mashambulio ya vituo vya nishati.Image caption: Theluji imeanguka nchini Ukraine ambapo baadhi ya watu hawawezi kupasha moto nyumba zao kutokana na mashambulio ya vituo vya nishati.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema raia milioni 10 wa Ukraine hawana umeme baada ya mashambulio mapya ya makombora yaliyofanywa na Urusi.
 
Mbona sijaona Waruasi Millioni Moja kukosa Gesi.

Nimeona hilo Bomba linahudumia "hundreds to Thousands Of homes"

Nimeona:
"Power officials were seeking alternative supplies at the power station near St Petersburg, Putin's home city."

UMEELEWA AU AU STANDARD 7 Leaver wewe?
 
NATO watakuwa wamejib mapigo baada ya Poland kushambuliwa ingawa kwa sasa hawawezi sema.
Mkuu katika hili nitakuwa tofauti kidogo na wewe. Haiwezekani NATO wakafanya hivyo maana Article 5 inasema wazi NATO itaivamia kijeshi moja kwa moja nchi itakayoishambulia mshirika wao yeyote yule. Hapo unaweza kuona utofauti uliopo kati ya kushambulia pipe ya gas na kuvamia kijeshi adui.

Kingine pia NATO ilishatoa tamko la kujiridhisha kuwa shambulio la Poland halikufanywa na Urusi na kuyatoa majeshi ya NATO on alert zile siku tatu baada ya lile shambulio.
 
Hili tukio linadhaniwa kama ulipizaji wa kisasi baada ya Urusi kushukiwa kwenye ulipuaji wa bomba la gesi la "Nord Stream".

Zaidi ya Warusi milioni moja kukosa gesi, huku wakielekea kwenye msimu wa baridi, kwa kifupi hivi vita havifai, Putin anapaswa afahamu anaowashambulia na wao pia wako tayari kulipa mapigo, na wapo tayari kufika kwenye kiwango hakijashuhudiwa tena, kama vipi ageuze mapema, aache uvamizi kwenye nchi ya watu, kiburi hakitamsaidia kitu ila ataendelea kutesa Warusi.

=====================

Massive explosion hits Russian Gazprom gas pipeline amid suspicions of sabotage linked to Putin's war on Ukraine​

  • Enormous explosion hit one of Russia's major gas pipelines, sending flames and smoke billowing into the sky
  • There are fears it may be a 'tit-for-tat' after traces of explosives were found at the site of the Nord Stream blast
  • The fireball was visible for miles in every direction today after hitting about 14 miles east of St Petersburg
  • Swedish prosecutor claimed sabotage was the cause of the Nord Stream pipeline blasts of September 26

An enormous explosion has hit one of Russia's major gas pipelines, sending flames and smoke billowing into the sky above and prompting fears it was a retribution attack for Vladimir Putin's continued invasion of Ukraine.

The fireball was visible for miles in every direction after hitting about 14 miles east of St Petersburg, the nation's second largest city and Putin's hometown.

One source said: 'Everything is automatic there, and such explosions by themselves, without external influence, are impossible.'
Ndani ya siku chache tu bomba linatengenezwa ni kazi ya week tu
 
Mkuu katika hili nitakuwa tofauti kidogo na wewe. Haiwezekani NATO wakafanya hivyo maana Article 5 inasema wazi NATO itaivamia kijeshi moja kwa moja nchi itakayoishambulia mshirika wao yeyote yule. Hapo unaweza kuona utofauti uliopo kati ya kushambulia pipe ya gas na kuvamia kijeshi adui.
Kingine pia NATO ilishatoa tamko la kujiridhisha kuwa shambulio la Poland halikufanywa na Urusi na kuyatoa majeshi ya NATO on alert zile siku tatu baada ya lile shambulio.
Mtu anavyo sema sio ndio alivyo. Putin mwenyewe mwanzoni alisema hawezi kuivamia Ukraine.
Na mwisho alisema anatuma wanajeshi wake kulinda raia wanao zungumza kirusi.
 
Nakuhurumia sana wewe ni kama mgonjwa wa tb anaumwa anasema haumwi anaendelea kuvuta sigara unaokota habari youtube za propaganda labda wazalamo was tandale ndio wanakuelewa.


Hii habari ndio inawaumiza sana

Mzozo wa Ukraine: Raia milioni 10 wa Ukraine hawana umeme baada ya mashambulizi mapya ya Urusi​

View attachment 2422730
geCopyright: ge
Theluji imeanguka nchini Ukraine ambapo baadhi ya watu hawawezi kupasha moto nyumba zao kutokana na mashambulio ya vituo vya nishati.Image caption: Theluji imeanguka nchini Ukraine ambapo baadhi ya watu hawawezi kupasha moto nyumba zao kutokana na mashambulio ya vituo vya nishati.
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema raia milioni 10 wa Ukraine hawana umeme baada ya mashambulio mapya ya makombora yaliyofanywa na Urusi.

Nimwapa hadi chanzo TASS, au nilete cha waarabu ndio muamini.
 
Mbona sijaona Waruasi Millioni Moja kukosa Gesi.

Nimeona hilo Bomba linahudumia "hundreds to Thousands Of homes"

Nimeona:
"Power officials were seeking alternative supplies at the power station near St Petersburg, Putin's home city."

UMEELEWA AU AU STANDARD 7 Leaver wewe?

Ustadhi jifunze kusoma makala kabla kujibu.....

The blast is believed to have hit the main gas pipeline belonging to Gazprom Transgaz SPB, and could have potentially impacted up to one million people.
 
Maustadhi mnachanganya madesa, Putin alimpa Zelensky masaa 24 aihame Ukraine, nashangaa kibao kimegeuzwa leo tunajadili udundaji wa Putin kitaa, ha ha ha!!
Halafu unaposema ni propaganda, haya soma taarifa kutoka kwa TASS ya Urusi, au usipoamini hii nitakuletea ya Waarab https://tass.com/emergencies/1539371
Hivi kiongozi Waislamu wapo pamoja na Russia kwani?!!!!! Maana katika hoja zako hukomi kutoa maneno fulani yenye viashiria vya kuisakama hiyo dini. Au we ndo walewale?!!!
 
Sijakutana hata na mmoja kati yenu hamshabikii Putin, amekua kama mtume kwenu, eti kisa mnadhani mnakomoa Marekani.
We jamaa inabidi ukapimwe masaburi, sawa na mpwayungu village tu!!
 
Sina shida na Urusi ambaye hata NATO wenyewe wanamwogopa.
Wata repair kila kitu kitaenda vizuri.
Ila kama kuna hujuma soon atalia mtu
 
Back
Top Bottom