Bomba la gesi lalipuka Urusi, zaidi ya watu milioni moja kukosa gesi, hivi vita vinakwenda pabaya

Ustadhi jifunze kusoma makala kabla kujibu.....

The blast is believed to have hit the main gas pipeline belonging to Gazprom Transgaz SPB, and could have potentially impacted up to one million people.

Halafu mbona mimi si muislanu. Inaelekea unachukia waislamu kk. Lakin nakufundisha Ustadh ni kiarabu na maana yake ni "Teacher"

Impacted 1 Million ndo wamekosa gas??
 
However, the major blast did not hit close to residential areas, and there are no initial reports of casualties coming out of Russia.
 
military
In his address on Saturday, Austin claimed that Ukraine’s population would rather go without electricity and heat than have talks with Moscow. However, he reiterated that the US would “not be dragged into [Russian President Vladimir] Putin’s war,” but would continue to funnel arms to Kiev
 
Watu milioni 1 katika watu milioni 150.hata asilimia 1 haijafika[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Ukraine ni zaidi ya asilimia 90 awana gesi.sasa hapo nani inabidi asitishe vita ?
 
Kutokuwa sawa na wewe kiimani ndo nakuwa wa upinde wa mvua? Zenj hapo kulivyojaa ushoga nao ni wa upinde wa mvua?
Wala sio swala la imani, usipotoshe.....ni suala la uongeaji wenu we na huyo mwenzio ndiyo linalotaka kutuhitimishia hivyo. Hebu tuhitimishe kwa kuleta picha na hata threads za ushahidi wa upinde wa mvua, km upo tayari ili tujue haswa ni wapi huko kiakili kunaweza kusemwa kuko vema hadi kufikia KURASIMISHWA!
 
Putin haez fika hata Crimea [emoji23][emoji23]
 
Alafu bomba likilipuka sio inshu maana unatoa kipande unaweka bomba jipya.wiki moja tu inatosha kufanyika iyo kazi.inshu kubwa ukikatiwa gesi yenyewe basi hapo kifo unakiona kipo karibu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…