Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

Mbona wewe dada ni mjinga kiasi hiki?

Sasa kama Simba inaenda kuwakilisha nchi ukitaka wapewe ndege ya ATCL ama hoja yako ni ipi sasa?
 
Mkuu huyo dada mleta mada ni kiazi bado ana mawenge ya Lisu kupigwa kwenye box la kura
 
Wampe tu hata Makonda hiyo kazi ya ku-brand ATCL , kweli sisi ni wa kutumia mandege ya washindani wetu wakati tunazo za kwetu zimepaki na kutu zimeanza?
Mkuu ina maana ndege zetu zimepaki? Kwani hazipigi route? Kwa nini zimepaki?
 
Nani alikwambia Babra ndio pisi kali kushinda wote Tanzania, unaweza kuwa na hoja ya msingi ila umechanganya na upuuzi.
Cha ajabu mleta mada mwenyewe ni demu na anasema yeye ni mbaya tu mbele ya huyo babra
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wa tz shida kweli
 
Mbona wewe dada ni mjinga kiasi hiki?

Sasa kama Simba inaenda kuwakilisha nchi ukitaka wapewe ndege ya ATCL ama hoja yako ni ipi sasa?
Tatizo umeamkia kwenye sebule ya wakwe zako ndio maana umekurupuka kuandika usichojua.
Nimesema Simba kupitia mrembo kuliko weote Tanzania Barbara waliomba ATCL- KUIKODISHA na hawakujibiwa mpaka wakaamua ktumia za nchi jirani
 
Mleta mada ni mjinga!
Kukodi ATCL ilikuwa ni hali ya uzalendo na kuboresha mapato ya Taifa , ni ghali kukodi kulikokulipa kama abiria wengine.
Simba wanaweza kusafiri na abiria wengine , of which ndiyo leo wanafanya hivyo kutokea huko Moshi -Kilimanjaro, mkoa tulio utenga kimaendeleo
 
Tatizo umeamkia kwenye sebule ya wakwe zako ndio maana umekurupuka kuandika usichojua.
Nimesema Simba kupitia mrembo kuliko weote Tanzania Barbara waliomba ATCL- KUIKODISHA na hawakujibiwa mpaka wakaamua ktumia za nchi jirani
Wewe dada ni mjinga!

Walipokataliwa wakakodi ya Kenya? Ni wapi uthibitissho wa haya madai yako. Nyie wanawake wengine mbona akili zenu mbovu sana?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe tunajibishana na taahira!
Kwa heri
 
Huku Katavi hatutaki vilaza na maselule, waje watu aggressive na wanajitambua, karibuni niko hapa Digital club nakula bata [emoji482] [emoji485], kuna pisi kali balaaa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe tunajibishana na taahira!
Kwa heri
Mda wa kutumwa sokoni na wakwe zako umefika unaongopea "eti kwaherini" haya , nenda soko la Majengo hapo vitu ni bei rahisi
 
Tatizo umeamkia kwenye sebule ya wakwe zako ndio maana umekurupuka kuandika usichojua.
Nimesema Simba kupitia mrembo kuliko weote Tanzania Barbara waliomba ATCL- KUIKODISHA na hawakujibiwa mpaka wakaamua ktumia za nchi jirani
Acha uongo lete taarifa rasmi ya Simba kuwa walinyimwa ndege. Au waliomba ya bure
 
MITANO TENA ,KAZI IENDELEE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…