Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

Bombardier na Boeing zimepaki Wakati Simba SC Wakitumia Kenya Airways na Ethiopia Airways kwenda Nigeria

Soma post vizuri, Simba wamefanya official communication na ATCL muda mrefu tu na hakuna jibu, in short , kile ni kama kilinge, genge la kufurahisha watawala na si wafanya biashra wanaotafuta Faida.

Namungo nao Watatumia KQ na Ethiopia airways , kwa ujinga wa Ma-afisa wa ATCL huku ndege zetu zikiwa zimepaki uwanjani na kuingiza hasara za mabilioni kila siku.
Hii nchi ya ajabu sana fikiria sasa ndo imejaa Misukule kule Mjengoni. Je, unategemea nn hapo?

Mkuu wa Kaya naye ndo hamnazo kabaki kupenda misifa ya kilimbukeni huku Taifa likizama shimoni !!

Kama yuko serious anapaswa ku-deal na maafisa wote wa ATCL kwenye hili sakata la SSC na NAMUNGO FC...
 
Naam, ana kitu cha ziada, ni kama Shigongo ambaye ni muandishi nguli lakini ni LASABA , wakati tuna maprofessa wa jalalani hawana mchango kwa taifa isipokuwa kuleta mitafaruku na migogoro ya kidiplomasia kila uchao.

Note:shigo ngo amepata shahada ya kwanza juma hili chuo cha Kilutheri Dar es salaam.
Ndo maana Tanzania kumteua Waziri Kwa kigezo cha elimu ni ulimbukeni kwani wengi wana-vyeti vingiii lakini kichwani watupu....
 
Angekuwa Diamond anataka kukodi angepewa!!! Mo ulishiriki kampeni za ushindi wa CCM ?
 
Kweli nyie timu ya Mwamedi. Ni kama mwekezaji wa jengo ambaye hela haweki, kazi kupiga rangi tu.
Simba ni moja ya klabu kubwa Afrika, mambo ya hela usiulize, mshahara wa Chama wa miezi 4 tunalipa ndege hiyo.
nina wasiwasi wewe utakuwa afisa wa ATCL unatafuta pa kujishikiza.
 
Soma post vizuri, Simba wamefanya official communication na ATCL muda mrefu tu na hakuna jibu, in short , kile ni kama kilinge, genge la kufurahisha watawala na si wafanya biashra wanaotafuta Faida.

Namungo nao Watatumia KQ na Ethiopia airways , kwa ujinga wa Ma-afisa wa ATCL huku ndege zetu zikiwa zimepaki uwanjani na kuingiza hasara za mabilioni kila siku.
Zinakwenda Mumbai, hapo tumemaliza kila kitu sawa na kuchukua kombe la dunia[emoji34]
 
wananchi wenye hii nchi hatuwezi kubali ' magabacholi' wakodi ndege zetu ukizingatia wanakwenda kuitia aibu nchi kwa kubugizwa si chini ya goli 6 bila, waende huko huko kwa washindani wetu Kenya labda watapata usaidizi, na tena watakapo bugizwa hizo goli 6 bila za usiku wasiseme kabisa kuwa wanatoka Tz, waseme wao ni wakenya….
 
Kama Ni Kweli Basi Hili Jambo
Aione: Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Msemaji Wa Serikali
Engineer Matindi ATCL
Msemaji Wa ATCL
 
Soma post vizuri, Simba wamefanya official communication na ATCL muda mrefu tu na hakuna jibu, in short , kile ni kama kilinge, genge la kufurahisha watawala na si wafanya biashra wanaotafuta Faida.

Namungo nao Watatumia KQ na Ethiopia airways , kwa ujinga wa Ma-afisa wa ATCL huku ndege zetu zikiwa zimepaki uwanjani na kuingiza hasara za mabilioni kila siku.
Ukute ndege sio nzima.kwani umesahau abiria wanavyocheleweshwa airpot na siku nyingine kusitisha safari hadi siku inayo fata?
 
Hiki kitendo cha SIMBA kutumia Ndege ya washindani wetu kimaendeleoa badala ya DREAMLINER yetu ambayo ipo chini ya Ofisi Kuu kabisa katika Nchi yetu sio cha kizalendo hata kidogo, Manager wa Simba alipaswa kukodisha BOMBADIER 1 iliyoandikwa HAPA KAZI TU ili kutangaza sera nzuri za Nchi yetu.

Tunalitaka Bunge lijalo lijadili kwa kina namna gani ya kuimarisha Utendaji wa shirika letu la ndege kwa kuanza na soko la Ndani kabla ya kwenda kushindana na EMIRATES, ETHIOPIAN AIRLINES, QATAR AIRWAYS,FLY EMIRATES nk

Kwa kuwas WAPINZANI ndio walikuwa wanachelewesha Maendeleo, sasa ni wakati wa KUPAA na Ndege zetu na sio kuanza kulia lia tena
,

NB: Rais wetu anatakiwa kujua kuwa kuna BLOCKS 2 tayari zimeanza mbio za 2025 na wamejipanga kuzitumia TIMU za Mpira na Kundi la Wasanii ambao Wabunge wapya waliopenya juzi juzi hapa wenye uhusiano na industry za sanaa na Mziki wameanza kuandaa plan zao za 2025
 
Simba Sc klabu " Baba la Baba " likiwa linakwenda cheza mechi za kimataifa huko Nigeria na Plateu FC, inatarajia kuondoka Leo 24-11-2020 11:45 jioni kutokea Mkoa uliotengwa kimaendeleo kwa wivu wa flani [KILIMANJARO] kwa ndege ya KENYA AIRWAYS.

Simba Fc watapita Nairobi na baadae wata-unga mpaka Ethiopia, {kuna mapigano kati ya Serikali ya Abey na wanyonge wa Tigrey] na hapo Ethiopia simba watalala na kuondoke kwenda Aabuja Nigeria siku inayofuata kwa ndege ya ETHIOPIA AIRLINE.

Wakati Tanzania tukijigamba kuwa na ndege inayotoka DAr mpaka Mumbai bila kutua hata kituo kimoja imeshindwaje kuwakodishia simba ndege hiyo waende Nigeria moja kwa moja kupunguza gharama za kuzunguka nchi zaidi ya tatu?

Ukiangalia kwa umakini utagundua ATCL hawana Marketing Managers wala officers, ni waru flani walichomolewa kindugu wakapachikwa hapo lakii hawana strategy yeyote kabisa.

inasemekana Mo-Dewji [Mdosi] alikuwa akiwasilina nao lakini wakadengua na hivyo akaamua kuendelea na maisha yake.

C.EO wa Simba Barbara Gonzalez ambaye pia inasemekana so far ndio "pisi kali kwa Tanzania" alijaribu kuomba ndege kutoka ATCL ikashindikana, siyo kwa msaada, hapana kwa kukodisha.

Nawapongeza wote mliojitahidi kutafuta ATCL na pia maafisa wa ATCL ofisi ku ya Ohio mnakula mshahara na kutembelea magari mazuri lakini hamna mnalofanya, shirika linahitaji overhaul, ninyi mpangiwe kazi nyingine, hata kwenda kufundisha VETA huko Katavi hazina walimu.

Mungu ibariki simba ishinde 2-0.


Wewe utopolo unafikiri kukodi dreamliner kwa ajili ya wachezaji 30 ni kama unakodi Bus la Ngorika eeh?
 
Back
Top Bottom