Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Hii nchi watu wamezoea kufanya mambo kimagumashi. Japo serikali inabeba lawama kwa kutosimamia sheria na baadae kukurupuka lakini wananchi nao wamezoea kufanya mambo kienyeji. Bora wabomoe ili wapate akili.
Komenti ya mlamba asali kwa shemeji yake
 
Serikali ijenge nyumba za bei na nafuu iwauzie wananchi walipe kdg kdg hata kwa miaka 20, mbona wamepewa pesa na mwarabu wameweza kule Tanga?
Kwa hali ya uchumi ya nchi yetu hili ni jambo la kufikirika zaidi. Nchi zilizoendelea kuna makampuni mengi ambayo hufanya hii kazi ya kujenga na kuuza. Watu wengi hawajengi nyumba wenyewe na hawanunui cash kwa mara moja bali wanalipia kidogo kidogo. Mashirika kama ya NSSF ndiyo yalitakiwa kufanya. Pia halmashauri za miji na majiji zingeweza kujenga na kupangisha bei nafuu au kuuza kwa bei nafuu. Uchumi wetu (wananchi) unaruhusu?
 
Komenti ya mlamba asali kwa shemeji yake
Laiti ungejua mimi ni ''adui'' namba moja wa hii serikali ya hovyo kabisa. Wacha watu wabomolewe ili akili ziwakae vizuri wajue kuiwajibisha serikali yao na siyo kukimbilia ushabiki wa mambo ya kijinga kama muziki.
 
Kwa hali ya uchumi ya nchi yetu hili ni jambo la kufikirika zaidi. Nchi zilizoendelea kuna makampuni mengi ambayo hufanya hii kazi ya kujenga na kuuza. Watu wengi hawajengi nyumba wenyewe na hawanunui cash kwa mara moja bali wanalipia kidogo kidogo. Mashirika kama ya NSSF ndiyo yalitakiwa kufanya. Pia halmashauri za miji na majiji zingeweza kujenga na kupangisha bei nafuu au kuuza kwa bei nafuu. Uchumi wetu (wananchi) unaruhusu?
Mbona Msomera wameweza?
 
Ni kweli hawajawai kupewa taarifa? Hii Nchi kila mtu ni muongo muongo
Waliambiwa toka muda eneo hilo waache kuvamia, Eti wakaanza kujenga vijumba vidogovidogo wakipima upepo serikali kuwa baadae italegeza, naona serikali imeamua kubomoa.

Anyway eneo lenyewe zuri sana lipo karibu na msitu wa Pande. Kadri muda unaenda eneo hilo linakuwa hot cake maana patakuwa moja ya maeneo machache ya Dar ambako nyumba zitakuwa zimepakana na msitu, kumetulia kama mkoani, siku hizi viwanja vinapimwa vikubwa kubwa naona matajiri washa anza kujenga huko
 
Kwa hali ya uchumi ya nchi yetu hili ni jambo la kufikirika zaidi. Nchi zilizoendelea kuna makampuni mengi ambayo hufanya hii kazi ya kujenga na kuuza. Watu wengi hawajengi nyumba wenyewe na hawanunui cash kwa mara moja bali wanalipia kidogo kidogo. Mashirika kama ya NSSF ndiyo yalitakiwa kufanya. Pia halmashauri za miji na majiji zingeweza kujenga na kupangisha bei nafuu au kuuza kwa bei nafuu. Uchumi wetu (wananchi) unaruhusu?
Ni ubinafsi na rushwa tupu, serikali inashindwa nini kutenga kila mwaka hata bilioni 100 kujenga nyumba za bei nafuu kila mwaka? nyumba za milioni 20 ni sawa na nyumba mia 500 kila mwaka
 
Waliambiwa toka muda eneo hilo waache kuvamia, Eti wakaanza kujenga vijumba vidogovidogo wakipima upepo serikali kuwa baadae italegeza, naona serikali imeamua kubomoa.

Anyway eneo lenyewe zuri sana lipo karibu na msitu wa Pande. Kadri muda unaenda eneo hilo linakuwa hot cake maana patakuwa moja ya maeneo machache ya Dar ambako nyumba zitakuwa zimepakana na msitu, kumetulia kama mkoani, siku hizi viwanja vinapimwa vikubwa kubwa naona matajiri washa anza kujenga huko
Wakati wananchi wanajenga nyie mlikuwa wapi kuwazuia?
 
Wakati wananchi wanajenga nyie mlikuwa wapi kuwazuia?
Waliwazuia, kila mtu wa kule anafahamu kuwa eneo hilo limevamiwa sio jambo jipya. Kwanza walikuwa wanasogelea hadi karibu na msitu, walianza mambo yao baada ya serikali kugawa ardhi bure kwa wahanga wa mafuriko jangwani miaka hiyo zamani

Hapo wakatokea wavamizi na kuanza kujenga maeneo ya hapo bila taratibu, vijumba vidogo vidogo, chumba kimoja kimoja ama viwili, makusudi, wakijua hawaruhusiwi kwa imani kuwa serikali haitoweza kuwatimua wakijaa wengi
 
Waliwazuia, kila mtu wa kule anafahamu kuwa eneo hilo limevamiwa sio jambo jipya. Kwanza walikuwa wanasogelea hadi karibu na msitu, walianza mambo yao baada ya serikali kugawa ardhi bure kwa wahanga wa mafuriko jangwani miaka hiyo zamani

Hapo wakatokea wavamizi na kuanza kujenga maeneo ya hapo bila taratibu, vijumba vidogo vidogo, chumba kimoja kimoja ama viwili, makusudi, wakijua hawaruhusiwi kwa imani kuwa serikali haitoweza kuwatimua wakijaa wengi
Hizo nyumba za matajiri hazikuvamia?
 
Kwa hali ya uchumi ya nchi yetu hili ni jambo la kufikirika zaidi. Nchi zilizoendelea kuna makampuni mengi ambayo hufanya hii kazi ya kujenga na kuuza. Watu wengi hawajengi nyumba wenyewe na hawanunui cash kwa mara moja bali wanalipia kidogo kidogo. Mashirika kama ya NSSF ndiyo yalitakiwa kufanya. Pia halmashauri za miji na majiji zingeweza kujenga na kupangisha bei nafuu au kuuza kwa bei nafuu. Uchumi wetu (wananchi) unaruhusu?
Una akili nyingi sana
 
Waliwazuia, kila mtu wa kule anafahamu kuwa eneo hilo limevamiwa sio jambo jipya. Kwanza walikuwa wanasogelea hadi karibu na msitu, walianza mambo yao baada ya serikali kugawa ardhi bure kwa wahanga wa mafuriko jangwani miaka hiyo zamani

Hapo wakatokea wavamizi na kuanza kujenga maeneo ya hapo bila taratibu, vijumba vidogo vidogo, chumba kimoja kimoja ama viwili, makusudi, wakijua hawaruhusiwi kwa imani kuwa serikali haitoweza kuwatimua wakijaa wengi
Hapo hukosi viongozi wa CCM
 
Kwa hali ya uchumi ya nchi yetu hili ni jambo la kufikirika zaidi. Nchi zilizoendelea kuna makampuni mengi ambayo hufanya hii kazi ya kujenga na kuuza. Watu wengi hawajengi nyumba wenyewe na hawanunui cash kwa mara moja bali wanalipia kidogo kidogo. Mashirika kama ya NSSF ndiyo yalitakiwa kufanya. Pia halmashauri za miji na majiji zingeweza kujenga na kupangisha bei nafuu au kuuza kwa bei nafuu. Uchumi wetu (wananchi) unaruhusu?
Inawezekana sana
Kuna maeneo mengi yapo mjini na potential hayafai kuwa squatter...
Serikali ingeyaweka sawa kama mdau Netanyahu alivyosema

Ova
 
Kubomolewa nyumba ni kitu ambacho huwa nakiogopa sana,naomba kisinitokee katika maisha yangu,kujenga nyumba ni gharama sana na kukosa pa kulala na pa kuweka vitu vyako pia ni kitu kibaya sana
 
Back
Top Bottom