Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Jamaa ana bidii sana ya kuponda kila kinachofanywa na serikali kipindi hiki, wakati kipindi kile alikuwa anasifia kila kitu na kufikia kusema wanaoisema serikali ile ni aidha wapinzani, mafisadi, waliotumbuliwa kwa vyeti feki na wengineo. Nadhani alikuwa mnufaika na sasa hanufaiki.
Kweli kabisa aisee!!
pachah1 (1).png
 
Huku ndiko alipochomewa nyumba mwenyekiti serikali ya mtaa, Nina ndugu wamekumbwa na huu mkasa inasikitisha sana unaambiwa nyumba kuu kuu zimeachwa nyumba za maskini ndizo zilizobomolewa.

Alafu unasikia watu wakidai Tanzania ni nchi ya aman, amani ipi ambayo wananchi wake wanateseka kiasi hichi?
 
Huku ndiko alipochomewa nyumba mwenyekiti serikali ya mtaa, Nina ndugu wamekumbwa na huu mkasa inasikitisha sana unaambiwa nyumba kuu kuu zimeachwa nyumba za maskini ndizo zilizobomolewa.

Alafu unasikia watu wakidai Tanzania ni nchi ya aman, amani ipi ambayo wananchi wake wanateseka kiasi hichi?
Ni ubaguzi mkubwa sana
 
Link ipo chini, katazame huko youtube, like na u subscribe asante sana.

Filamu Pictures, wanawaletea kazi ya filamu ya kitanzania iitwayo PETE

Kutana na Bwana Lidawi, mvuvi mwenye hali ngumu na mke mgonjwa na jinsi anavyoingia matatizoni kutokana na pete ya maajabu iliyofika katika ulimwengu wa wanadamu kwa ajili ya kazi maalum

Kutana na Bwana Songolo mtu tajiri, mkorofi na mkali sana, ambaye nae anajikuta yuko katikati ya mikasa hiyo ipatayo bwana Lidawi

 
Mpaka watu wanajenga maeneo ya serikali, hizi kamati za ulinzi zilikuwa wapi?.

Naona Magufuli kazikwa na utendaji kazi,uchapakazi.
Wavamizi unaweza kuwazuia?

Si waonyeshe nyaraka za umiliki

Nnavyojua Serikali haibomoi bila kuhakiki umiliki
 
Huku ndiko alipochomewa nyumba mwenyekiti serikali ya mtaa, Nina ndugu wamekumbwa na huu mkasa inasikitisha sana unaambiwa nyumba kuu kuu zimeachwa nyumba za maskini ndizo zilizobomolewa.

Alafu unasikia watu wakidai Tanzania ni nchi ya aman, amani ipi ambayo wananchi wake wanateseka kiasi hichi?
Shida ni umaskini ama umiliki halali?

Ndugu yako ana hati ya hilo eneo ama amelipataje?
 
Wavamizi unaweza kuwazuia?

Si waonyeshe nyaraka za umiliki

Nnavyojua Serikali haibomoi bila kuhakiki umiliki
Hayo maeneo yalikua ni mapori makubwa(non-habitable) tokea uhuru. Wavamizi wamesafisha, wameokota mafuvu ya watu, wamefukuza chatu hadi pameonekana panafaa kuishi binadamu. Wamepelekewa umeme na kufungiwa na TANESCO, TARURA wakatengeneza barabara na DAWASA wamewapeleka maji na kuwafungia kabisa. Leo wanakuja na kudai ni eneo la serikali na kuwavunjia waondoke ili wapime viwanja wauziane wenyewe kwa wenyewe viwanja vya low-density. Hao maskini wataweza kununua viwanja 20m? Kwanini wasiwafikirie japo wawapunguzie bei? Na walioachwa kubomolewa ni wale walioweza kulipa hiyo pesa. Kiufupi matajiri wametamani lile eneo maana limekamilika (habitable) na sasa njia ni kuwafutilia mbali waanzilishi
 
Sasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.
Sasa hilo lililovunjwa ni mali ya nssf na syo la wavamizi, sjui nikuelewe kuwa wavamizi wanayo haki kuvamia eneo la nssf au matajiri wame influence[emoji45][emoji45][emoji45]
Sasa hivi ni awamu ya matajiri kupeta mkuu, mtamkumbuka sana yule msukuma! Chuki nyingi zilielekezwa kwake sababu ya kuwa washenzi kama hao walikuwa hawapewi fursa ya kufanya ushenzi wa aina hio hapo.

Kama lengo ni kuwa eliminate maskini eneo hilo wala huo mpango huo muovu usingefanikiwa.
 
Sasa hivi ni awamu ya matajiri kupeta mkuu, mtamkumbuka sana yule msukuma! Chuki nyingi zilielekezwa kwake sababu ya kuwa washenzi kama hao walikuwa hawapewi fursa ya kufanya ushenzi wa aina hio hapo.

Kama lengo ni kuwa eliminate maskini eneo hilo wala huo mpango huo muovu usingefanikiwa.
Ni kilio mkuu
 
Back
Top Bottom