Miguel Alvarez
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 2,856
- 5,430
Wewe Jamaa watu wanalia kwa maamivu ,hasara waliyoipata wee unaleta mizaha usipende kufurahia mwenzio anapopatwa na majangaSAFI SANA MAGUFULI ALITUHARIBIA MIJI KURUHUSU UJENZI HOLELA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Jamaa watu wanalia kwa maamivu ,hasara waliyoipata wee unaleta mizaha usipende kufurahia mwenzio anapopatwa na majangaSAFI SANA MAGUFULI ALITUHARIBIA MIJI KURUHUSU UJENZI HOLELA
Inauma sanaKubomolewa nyumba ni kitu ambacho huwa nakiogopa sana,naomba kisinitokee katika maisha yangu,kujenga nyumba ni gharama sana na kukosa pa kulala na pa kuweka vitu vyako pia ni kitu kibaya sana
Sasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.
Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Elewa nilichoadika, mijengo ya maana haijavunjwa kokote, iwe ni nssf au hilo eneo lingineSasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.
Sasa hilo lililovunjwa ni mali ya nssf na syo la wavamizi, sjui nikuelewe kuwa wavamizi wanayo haki kuvamia eneo la nssf au matajiri wame influence[emoji45][emoji45][emoji45]
Unatetea ujinga mnoSasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.
Sasa hilo lililovunjwa ni mali ya nssf na syo la wavamizi, sjui nikuelewe kuwa wavamizi wanayo haki kuvamia eneo la nssf au matajiri wame influence[emoji45][emoji45][emoji45]
Hebu tufafanulie,huko Tanga,ni mwarabu gani katoa pesa,na kujengewa maskini,na ni Tanga,sehemu gani?Serikali ijenge nyumba za bei na nafuu iwauzie wananchi walipe kdg kdg hata kwa miaka 20, mbona wamepewa pesa na mwarabu wameweza kule Tanga?
Aliyenunua Loliondo ndiyo ametoa pesaHebu tufafanulie,huko Tanga,ni mwarabu gani katoa pesa,na kujengewa maskini,na ni Tanga,sehemu gani?
Wale waliotoka Loliondo na Ngorongoro mwarabu katoa mzigo wa maanaHebu tufafanulie,huko Tanga,ni mwarabu gani katoa pesa,na kujengewa maskini,na ni Tanga,sehemu gani?
DuhWale waliotoka Loliondo na Ngorongoro mwarabu katoa mzigo wa maana
Ndiyo kaa kwa password mkuu
Inasikitisha sanaNdiyo kaa kwa password mkuu
Nchi inatafunwa vizuriInasikitisha sana
Inauma sana
Walioachwa ni kuwa wanahitajika kupimiwa na kuuziwaHuyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.
Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo hilo na eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Kweli kabisaWalioachwa ni kuwa wanahitajika kupimiwa na kuuziwa
Tafuta pesa , the world aint fair.Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.
Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo hilo na eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Huwa wanapigia kelele anayewahongaHusikii wanaharakati uchwara wakipigia kelele hii ishu ila wakati wale wamasai wanahamishwa kule Ngorongoro Kelele zilikua Kila kona. Ubaguzi? Siasa? Au wanaangalia wapi watapata political mileage zaidi?
Kimara ulitaka hiyo barabar ipite juu ya nyumba zao? Kimara nyumba za matajiri ziliachwa?Kaa kwa kutulia
Unakumbuka waliobomolewa nyumba zao Kimara?
Unakumbuka watu wa Mwanza walikingiwa kifua kwa sababu kuna mtu walimpigia kura?
Unakumbuka yote hayo?
Tulia kabisa