Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Bomoabomoa yaacha simanzi Mabwepande, nyumba za matajiri zaachwa

Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.

Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Sasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.
Sasa hilo lililovunjwa ni mali ya nssf na syo la wavamizi, sjui nikuelewe kuwa wavamizi wanayo haki kuvamia eneo la nssf au matajiri wame influence[emoji45][emoji45][emoji45]
 
Sasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.
Sasa hilo lililovunjwa ni mali ya nssf na syo la wavamizi, sjui nikuelewe kuwa wavamizi wanayo haki kuvamia eneo la nssf au matajiri wame influence[emoji45][emoji45][emoji45]
Elewa nilichoadika, mijengo ya maana haijavunjwa kokote, iwe ni nssf au hilo eneo lingine
 
Usiwaamini sana, machinga wote barabarani wamerudi, pale Azam, bahati aliwahi kuweka ki-uzio cha kuweka bustani, ila akizubaa , jamaa wanaingia mpaka pale, nani anajali?

Wako bize kulamba, toa asali u-survive wanasema
 
Sasa eneo ni la nssf, vigogo wako pembeni.
Sasa hilo lililovunjwa ni mali ya nssf na syo la wavamizi, sjui nikuelewe kuwa wavamizi wanayo haki kuvamia eneo la nssf au matajiri wame influence[emoji45][emoji45][emoji45]
Unatetea ujinga mno
 
Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.

Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo hilo na eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Walioachwa ni kuwa wanahitajika kupimiwa na kuuziwa
 
Husikii wanaharakati uchwara wakipigia kelele hii ishu ila wakati wale wamasai wanahamishwa kule Ngorongoro Kelele zilikua Kila kona. Ubaguzi? Siasa? Au wanaangalia wapi watapata political mileage zaidi?
 
Huyo DED aache uongo kuwa hajui. Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ni DC, na siku ya uvunjaji DC Gondwe alikuwepo. Hivyo huyo DED anayesema ataitisha kikao cha kamati ya ulinzi na usalama nikupotezea hilo swala kisiasa.
Ukweli ni kwamba wenye mijengo ya maana iliyokamilika haikuvunjwa, waliovunjiwa ni wale wenye chumba kimoja, viwili na nyumba ambazo hazijakamilika au ambazo siyo kali.

Bomoa bomoa ililenga eneo la NSSF. Ila wazito wanaoishi kwenye eneo hilo na eneo jirani linalopakana na nssf wakaamua kuwaondoa maskini katikati yao ili mji ujengeke (noble neighbour hood)kwa madai kuwa nako ni eneo la serikali(nssf). Kote kulikobomolewa ni maeneo ya uvamizi hivyo hata hao vigogo nao walivamia au kuuziwa na wavamizi ila hawakuguswa
Tafuta pesa , the world aint fair.
 
Husikii wanaharakati uchwara wakipigia kelele hii ishu ila wakati wale wamasai wanahamishwa kule Ngorongoro Kelele zilikua Kila kona. Ubaguzi? Siasa? Au wanaangalia wapi watapata political mileage zaidi?
Huwa wanapigia kelele anayewahonga
 
Kaa kwa kutulia
Unakumbuka waliobomolewa nyumba zao Kimara?

Unakumbuka watu wa Mwanza walikingiwa kifua kwa sababu kuna mtu walimpigia kura?
Unakumbuka yote hayo?
Tulia kabisa
Kimara ulitaka hiyo barabar ipite juu ya nyumba zao? Kimara nyumba za matajiri ziliachwa?
 
Back
Top Bottom