Tetea sana huu ujinga ila ipo siku yatakukuta tuHivi ni kazi ya Serikali kulinda msijenge ama kazi yao ni kutoa Hati miliki?
Wakuzuie kujenga we mbona hujizuii kujenga na huna miliki ya hilo eneo?
Waliojenga wana hata vibali vya ujenzi?ama ni kiholela?
Acheni vurugu jmn fatenj taratibu stahiki za umiliki
Mtu ukitamani kapori unafyeka unaishi basi hii nchi ingekua na vita kubwa sana
Ni taratibu zinafuatwa
Watu wamebomolewa Morogoro Rd sembuse huko ndani?
nyumba kuukuu si ndo za maskini au umemaanisha nini??Huku ndiko alipochomewa nyumba mwenyekiti serikali ya mtaa, Nina ndugu wamekumbwa na huu mkasa inasikitisha sana unaambiwa nyumba kuu kuu zimeachwa nyumba za maskini ndizo zilizobomolewa.
Alafu unasikia watu wakidai Tanzania ni nchi ya aman, amani ipi ambayo wananchi wake wanateseka kiasi hichi?
Mbona nao wanajenga katikati ya hao wavamizi?Hizo zinajengwa siku hizi, baada ya manispaa kuanza kupima huko
we unazo[emoji848][emoji849][emoji849][emoji849]Huna akili
Watu walibomolewa Mbweni Kwa style hii hii hakuna mwanaharakati aliinua mdomo. Wanalamba asali sasa hiviHusikii wanaharakati uchwara wakipigia kelele hii ishu ila wakati wale wamasai wanahamishwa kule Ngorongoro Kelele zilikua Kila kona. Ubaguzi? Siasa? Au wanaangalia wapi watapata political mileage zaidi?
Sio ujinga mkuuTetea sana huu ujinga ila ipo siku yatakukuta tu
Hilo eneo mda mrefu ni la nssf, na kesi ipo mda mrefu sana. wavamizi waondoke wakiendekezwa wataendelea na tabia za kuvamiaHayo maeneo yalikua ni mapori makubwa(non-habitable) tokea uhuru. Wavamizi wamesafisha, wameokota mafuvu ya watu, wamefukuza chatu hadi pameonekana panafaa kuishi binadamu...
shetani yule nyumba za kimara - kibaha alilipa fidia?Watu wajiandae kisaikolojia tu. Kumbe maviwanja ni ya low density hayo. Hapo mpango ni kuwafukuza tu ili wabakie wao matajiri.
Haki ya mungu huu ushenzi Magufuli asingeubariki kabisa kwa sababu una roots za ouvu wa matajiri dhidi ya watu maskini. Hakika mtamkumbuka sana yule jamaa.
Nyumba za matajiri zinaweza kuchukuliwa na serikali kutokana na ukubwa na ubora wake. Hivyo vyumba viwili waende navyo wahanga wenyewe.Taarifa walipewa ila swali ni kwanini nyumba za maskini tuu ndizo zimevunjwa?
Ulishawahi kujenga hata choo kweli wewe??Nyumba za matajiri zinaweza kuchukuliwa na serikali kutokana na ukubwa na ubora wake. Hivyo vyumba viwili waende navyo wahanga wenyewe.
Butiku aliendaje kujenga Mapwepande?Bila shaka Nyumba ya Mzee wangu Butiku ( one of Nyerere's Think Tank ) haijavunjwa.
Na baadae Mchana naenda Kuhakikisha na ole Wao nikute wameivunja ndiyo watanijua Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi MImi.
Kwa Tz huna cha kujifunza mkuu unaweza kupimiwa kiwanja ukapewa kibali cha ujenzi ramani na hati ukawa nayo ila utashangaa unaishi hapo miaka 20 alafu baadae unaambiwa kuna miundombinu ya railway inataka kupitishwa hapo unapoishi na kwamba hauishi kihalali ni eneo lililopimwa tangu miaka ya 60.True story
Kikubwa tujifunza kufuata taratibu
Waulize Serikali hasa hasa PM wako.Butiku aliendaje kujenga Mapwepande?
Think tank wa Nyerere walijenga MasakiWaulize Serikali hasa hasa PM wako.
Namaanisha nyumba kubwanyumba kuukuu si ndo za maskini au umemaanisha nini??
Imegeuzwa kifusi na ile hardware yake pale mwendokasi imebakia historia [emoji2]Bila shaka Nyumba ya Mzee wangu Butiku ( one of Nyerere's Think Tank ) haijavunjwa.
Na baadae Mchana naenda Kuhakikisha na ole Wao nikute wameivunja ndiyo watanijua Mzanaki, Mmakuwa na Mtutsi MImi.
Sio kweliKwa Tz huna cha kujifunza mkuu unaweza kupimiwa kiwanja ukapewa kibali cha ujenzi ramani na hati ukawa nayo ila utashangaa unaishi hapo miaka...