ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao