Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo😭😭😭
Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao
Jinga moja tu mtwana wa Samia.Nimekupuuza
Usishangae mkuu!elf 60 au milion 60? hivi kweli unaenda kupigana ili ulipwe kumi kumi 6?
Masikini wewe chawa wake uliyeamua kujidhalilisha kwa hiyari yako.Samia ndo amekufanya uwe masikini wa kulalama kama punda aliyepoteza ndama
Huu ni ukweli mtupu.Usishangae mkuu!
Tuliamuakama taifa siasa ndio ilipe sana kuliko KAZI kubwa za kuvuja jasho!!yaani chawa wa Rais ateuliwe au ashindishwe ubunge alipwe mapesa mengi Kwa kukaa TU lakini mkulima ,wasomi waonekane ni duni maskini wenye kesho ya kufikirika!
Huwa najiuliza kama hawa mabondia wanayo bima ya afyaelf 60 au milion 60? hivi kweli unaenda kupigana ili ulipwe kumi kumi 6?
Duuh kweli Umaskini mbaya, Bora kulima bustani!
Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao