Bondia Hassan alilipwa elfu 60 tu kwenye pambano lililoondoa uhai wake

Bondia Hassan alilipwa elfu 60 tu kwenye pambano lililoondoa uhai wake

Mbona serikali ikitoa fedha mnamsifia huyo mama yenu kwani hela zinatoka kizimkazi?
Acha chuki.
Yaani mtu aende akubali pesa kiduchu Kwa kazi ya hatari amsingizie mama
 
Samia ana kosa gani. Ulitaka aingilie makubaliano ya kazi ya watu
Huyo bondia ndo hakuna thamani yake
Yeye ana uwezo wa kuingilia chochote katika kutetea haki za wananchi labda kesi iliyopo mahakamani ndiyo hawezi na kesi yenyewe labda ya madai lakini kesi ya jinai serikali inaweza kuiondoa mahakamani wakati wowote.
 
Yeye ana uwezo wa kuingilia chochote katika kutetea haki za wananchi labda kesi iliyopo mahakamani ndiyo hawezi na kesi yenyewe labda ya madai lakini kesi ya jinai serikali inaweza kuiondoa mahakamani wakati wowote.
Rais sio shangazi yako
Yaani Rais aache kufuatilia miradi mkubwa
Aje ku bargain malipo ya kazi ya mtu
 

Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.

Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo

Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo

Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO

Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana

Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao
Kazi ya kishenzi sana,nawashauri vijana waachane na mambo ya ngumi,kama vipi mapromota wapigane wao na watoto wao
 
Inasikitisha sana lakini mzazi Mungu akikujalia uhai pambana sana mwana asome shule isipokuja kumsaidia hilo sio kosa lako...! Hivi elfu 60 ndo inafanya mtu anapigwa kama ngoma?? elfu sitini inalipa nini kama sio kutumia nauli na kujiuguza hayo madonda ya ngumi huu ni ukatili mkubwa sana
 
Kipindi kile Azam wameyapa promo haya mashindano ya ndondi nadhani ilikua nafuu kidogo kwenye malipo
Ila Sasa hivi ni kisanga
Hilo pambano lake alipigana wapi? Kwa level ipi? Mapambano ya mitaani hayo ndo malipo yake so tusiwalaumu mapromota
 
Back
Top Bottom