Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi kile Azam wameyapa promo haya mashindano ya ndondi nadhani ilikua nafuu kidogo kwenye malipo
Ila Sasa hivi ni kisanga
Mbona serikali ikitoa fedha mnamsifia huyo mama yenu kwani hela zinatoka kizimkazi?Mama ndo alikuwa promota
Lakini fedha ya serikali ni sawa kuziita za Samia?Acha chuki.
Yaani mtu aende akubali pesa kiduchu Kwa kazi ya hatari amsingizie mama
Yeye ana uwezo wa kuingilia chochote katika kutetea haki za wananchi labda kesi iliyopo mahakamani ndiyo hawezi na kesi yenyewe labda ya madai lakini kesi ya jinai serikali inaweza kuiondoa mahakamani wakati wowote.Samia ana kosa gani. Ulitaka aingilie makubaliano ya kazi ya watu
Huyo bondia ndo hakuna thamani yake
Rais sio shangazi yakoYeye ana uwezo wa kuingilia chochote katika kutetea haki za wananchi labda kesi iliyopo mahakamani ndiyo hawezi na kesi yenyewe labda ya madai lakini kesi ya jinai serikali inaweza kuiondoa mahakamani wakati wowote.
Kazi ya kishenzi sana,nawashauri vijana waachane na mambo ya ngumi,kama vipi mapromota wapigane wao na watoto wao
Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao
Wewe mama yako yule! Kazi kujipendekeza tu.Rais sio shangazi yako
Yaani Rais aache kufuatilia miradi mkubwa
Aje ku bargain malipo ya kazi ya mtu
Hilo pambano lake alipigana wapi? Kwa level ipi? Mapambano ya mitaani hayo ndo malipo yake so tusiwalaumu mapromotaKipindi kile Azam wameyapa promo haya mashindano ya ndondi nadhani ilikua nafuu kidogo kwenye malipo
Ila Sasa hivi ni kisanga