Bondia Hassan alilipwa elfu 60 tu kwenye pambano lililoondoa uhai wake

Bondia Hassan alilipwa elfu 60 tu kwenye pambano lililoondoa uhai wake

Unyonyaji kwenye boxing ni dunia nzima.

Mfano bondia anayeenda kupigana na Joshua unakuta Joshua analipwa pesa nyingi kuliko bondia mwengine kutegemea na umaarufu na mvuto wake kwa watu. So utakuta Joshua anavuta 2M huyu mwingine anakula 1M au 500K.

Kuna pambano moja bondia amekubali malipo kiduchu imefika muda wa pambano akatoka ulingoni bila kupigana. Shirikisho la ngumi badala ya kuona sababu ya jamaa kutoka likamfungia mshkaji
 
Ndio uzito unyoya inaitwa(Feather weight),Unanibishia bondia mstaafu!

We jamaa hebu elewa. Nasema huo mwili wake hauna afya sio mwili wa mazoezi hata featherweight wanakuwa physically fit kupigana sio watu dhaifu. Huyu ni dhaifu. Elewa tofauti ya mtu dhaifu na mtu fit bali uzito mdogo.
 
Huwa najiuliza kama hawa mabondia wanayo bima ya afya

Wanahitaji health and life insurance. In case ya kifo kama hapa life insurance ingelipa familia ila kama mtu analipwa 60k kupigana atawezaje kununua bima?
 
We jamaa hebu elewa. Nasema huo mwili wake hauna afya sio mwili wa mazoezi hata featherweight wanakuwa physically fit kupigana sio watu dhaifu. Huyu ni dhaifu. Elewa tofauti ya mtu dhaifu na mtu fit bali uzito mdogo.
We Afya kipimo chake mwili!Duuh Kumbe hujui lolote!
 
Dah niliona mama yake analia sana, nilijisikia uchungu kinoma.

Kama sikosea mshkaji alitoa ahadi home kwamba akimaliza pambano atachinja kuku home.

Apumzike kwa amani kijana mwenzetu.
Mimi nakaa jirani na uwanja wa mazoezi ya ngumi.

Kikubwa jamaa angekua ana train harder...plus lishe nzurii..pia Hawa mabondia wa ridhaa huwa wanavaa element kichwani..sijui jamaa hakuvaa...

Unadhani huyo jamaa alie sababisha kifo ataishi kwa amani..?!

Nikiwa mchezaji mahiri nikiwa sentaafu nilipo anzishiwa mpira nyuma nikapiga chenga mpira ukanaswa na namba tisa wao akawa anakimbia na mpira kuelekea langoni kwetu kipa WETU akatokea akawa kachengwa... Mimi Nika fanya faulo mbaya / tackling ya hatari nikamdondosha jamaa NA KUMVUNJA MKONO MTOTO WA SHEHE MKUU WA MKOA.

NIKAANZA KUTISHWA NTATUPIWA MURUHANI/ JINI SIO SIRI MZEE WAO SHEHE ALIKUA MTU MBADI .JAMAA AKACHUKULIWA KUPELEKWA HOSPITAL MIMI NIKAPIGWA KADI NYEKUNDU

FAMILIA YAO ILIKUA WAELEWA NA WAKANISAMEHE KIROHO SAFI.

OUR STRUGGLING FOR BETTER LIFE 😔 TUNAPITA MPAKA NJIA ZILIZO KATAZWA TUSIPITE.

PUMZIKA KWA AMANI BONDIA KIJANA
 
Back
Top Bottom