iliniuma kinoma mzee.Inaumiza
Njaa kaka njaa. Isikie tu kwa jirani ndugu yangu..elf 60 au milion 60? hivi kweli unaenda kupigana ili ulipwe kumi kumi 6?
AiseeNjaa kaka njaa. Isikie tu kwa jirani mkuu..
Duuh mbona ndogo sanaBondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao
Sana mkuu..Njaa mbaya
Hongera mama umeupiga mwingiBondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao
Ni kweli kaka lakini elfu sitini na ngumi inatua popote huchagui aiseeh sio sawa..Njaa kaka njaa. Isikie tu kwa jirani mkuu..
Kwanini wasingevaa "boxing headgear" kwa maana wanaonekana kuwa ni amateurs..Ni kweli kaka lakini elfu sitini na ngumi inatua popote huchagui aiseeh sio sawa..