Bondia Hassan alilipwa elfu 60 tu kwenye pambano lililoondoa uhai wake

Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo😭😭😭
 
elf 60 au milion 60? hivi kweli unaenda kupigana ili ulipwe kumi kumi 6?
Usishangae mkuu!

Tuliamuakama taifa siasa ndio ilipe sana kuliko KAZI kubwa za kuvuja jasho!!yaani chawa wa Rais ateuliwe au ashindishwe ubunge alipwe mapesa mengi Kwa kukaa TU lakini mkulima ,wasomi waonekane ni duni maskini wenye kesho ya kufikirika!
 
Kabla sijashutumu unaweza kunipa full breakdown ?
  • Kiingilio kilikuwa kiasi gani
  • Watu wangapi waliingia
  • Sponsorship ilikuwa Kiasi gani
  • Mwenzake alilipwa ngapi
  • Na overheads za kuandaa mtanange mzima zilikuwa kiasi gani
Haya mambo sidhani kama ni rahisi hivyo nina uhakika promoter unaweza ukainvest kwenye mpambano pesa yako isirudi na sidhani kama ndondi kwa nchi hii kwa sasa ni that much of a cash cow...
 
Duuh kweli Umaskini mbaya, Bora kulima bustani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…