Hapana alikuwa anafanya anachokipenda mbona Kuna watu kibao wanachaza Mpira Bure kabisa mtaani na wanavunjika migui?Unaanzaaje kupigana? kwa tamaa ya hela mbuzi au umaarufu? mambo ya ovyo sana
Utakua huna akili timamu kupigana bila kuchokozwa na haulipwi Kwa kisingizip unapenda kupiganaHapana alikuwa anafanya anachokipenda mbona Kuna watu kibao wanachaza Mpira Bure kabisa mtaani na wanavunjika migui?
Umetisha Sana MKUU🙌🏽🙌🏽🙌🏽Mimi nakaa jirani na uwanja wa mazoezi ya ngumi.
Kikubwa jamaa angekua ana train harder...plus lishe nzurii..pia Hawa mabondia wa ridhaa huwa wanavaa element kichwani..sijui jamaa hakuvaa...
Unadhani huyo jamaa alie sababisha kifo ataishi kwa amani..?!
Nikiwa mchezaji mahiri nikiwa sentaafu nilipo anzishiwa mpira nyuma nikapiga chenga mpira ukanaswa na namba tisa wao akawa anakimbia na mpira kuelekea langoni kwetu kipa WETU akatokea akawa kachengwa... Mimi Nika fanya faulo mbaya / tackling ya hatari nikamdondosha jamaa NA KUMVUNJA MKONO MTOTO WA SHEHE MKUU WA MKOA.
NIKAANZA KUTISHWA NTATUPIWA MURUHANI/ JINI SIO SIRI MZEE WAO SHEHE ALIKUA MTU MBADI .JAMAA AKACHUKULIWA KUPELEKWA HOSPITAL MIMI NIKAPIGWA KADI NYEKUNDU
FAMILIA YAO ILIKUA WAELEWA NA WAKANISAMEHE KIROHO SAFI.
OUR STRUGGLING FOR BETTER LIFE 😔 TUNAPITA MPAKA NJIA ZILIZO KATAZWA TUSIPITE.
PUMZIKA KWA AMANI BONDIA KIJANA
Bangi sio mbaya ukivuta kiasi husisimua akili na huongeza umakini..Kulipwa elfu 60 sio tatizo kabisa maana katika kupambania Career lazima upitie mambo mengi Kama hayo.
Hapo kosa linaweza kuwa alikuwa hajapima Afya yake.
Lishe duni.
Kuingia kwenye pambano ukiwa umeshalewa au kuvuta bangi.
So tusie too judgmental.
Shukrani sanaa mkuu.Umetisha Sana MKUU🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Huo ni mchezo kama michezo mingine mama sio ugomvi.Utakua huna akili timamu kupigana bila kuchokozwa na haulipwi Kwa kisingizip unapenda kupigana
Sure nashangaa wanavyolalamika wakati Kuna graduate kibao wanajitolea kwenye maofisi ya watu hawapewi hata nauliKulipwa elfu 60 sio tatizo kabisa maana katika kupambania Career lazima upitie mambo mengi Kama hayo.
Hapo kosa linaweza kuwa alikuwa hajapima Afya yake.
Lishe duni.
Kuingia kwenye pambano ukiwa umeshalewa au kuvuta bangi.
So tusie too judgmental.
Kifo hakikosi sababuBangi sio mbaya ukivuta kiasi husisimua akili na huongeza umakini..
Mike Tyson alikua anavuta na aliwai piga mzungu ma punch 👊 mpaka mzungu akakimbia pambano..
Pia wasukuma wakivuta Bangi mtu mmoja anaweza Lima maekali ya shamba kwa muda mfupi/ ama kumaliza unga/ ugali sadoline 😁😁😁
Hayati bondia na wasiwasi na training zake, lishe, ulevi na pengine ni ajar kazini
Malipo kwa mabondia yanatokana mapato kutoka kwenye mchezo wenyewe.
Bondia Hassan Mgaya aliyepoteza maisha tarehe 29 December, 2024 baada ya kupigwa TKO.
Baada ya kupigwa TKO alilipwa Tsh 60,000 kama malipo ya PAMBANO hilo
Kiasi hicho kilitajwa na Shehe ambaye alikuwa akitaka vitu vilivyokuwa halali ya marehemu, na kutaja Tsh 60,000 kama malipo ya bondia huyo
Soma Pia: Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO
Hili lisitaajabisha kijana kufanya kazi ya hatari Kwa malipo kiduchu sana
Mapromota wa ndondi acheni unyonyaji Kwa Watanzania wenzetu, Chama cha ngumi wateteeni hawa vijana wapate maslahi yanayolingana na kazi zao
Dah!...inaumiza Sana..Dah niliona mama yake analia sana, nilijisikia uchungu kinoma.
Kama sikosea mshkaji alitoa ahadi home kwamba akimaliza pambano atachinja kuku home.
Apumzike kwa amani kijana mwenzetu.
We huna akili mchezo Gani wa kupigana mpaka kutoana manundu na damu halafu ulipwi useme unafuraha naona kichwani kwako zimepungua.Huo ni mchezo kama michezo mingine mama sio ugomvi.
Kama ungekuwa na akili timamu ungejua kutofautisha kati ya boxing na ugomvi
Unajua maana ya mchezo au unaongea Kwa kufuata mkumboKwaiyo unabisha kuwa boxing 🥊 sio mchezo?
We ndio haupo timamu unaejibu mtu ukiwa unajua hayupo timamuWe una shida kichwani?
Hofu yangu haupo timamu
Unatatizo la afya ya akiliNilikuwa najihakikishia kumbe nilichokidhania ndicho