TANZIA Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO

TANZIA Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO

Huu mchezo Kila mech ni kama fainali,... Mungu ampumzishe mahali pema peponi
 
Kuna siku naangalia mapambano ya ufunguzi, mabondia hawana afya kabisa
Mbaya zaidi wanapigana ngumu za hovyo hovyo

Niliishia kusikitika tu
 
Bondia Hassan Mgaya amefariki dunia, siku moja baada ya kupigwa TKO katika pambano la raundi sita lililofanyika Tandale kwa Mtogole, Dar es Salaam katika ukumbi wa Dunia Ndogo, na kupoteza fahamu dakika chache baadaye.

Mgaya alicheza pambano hilo lililofanyika Desemba 28, yaani usiku wa kuamkia leo, jijini Dar es Salaam. Pambano hilo, ambalo halikuwa la ubingwa, lilimkutanisha na mpinzani wake, Paulo Elias.

Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika Mgaya alidondoka ulingoni na mwamuzi akamhesabia na kumpa mpinzani wake ushindi wa TKO. “Mgaya alipigwa na kwenda chini, mwamuzi akamhesabia, na ikawa TKO kwa sababu marehemu alishindwa kuendelea. Baada ya mwamuzi kumaliza kuhesabu, alitembea hatua kadhaa hapo hapo ulingoni kisha akaanguka na kuzimia,” amesema shuhuda.

Ameongeza; “Baada ya kuzimia, Mgaya alipewa huduma ya kwanza kutoka kwa madaktari waliokuwepo kwenye pambano na akazinduka, kisha akapelekwa Hospitali ya Sinza kwa ajili ya matibabu,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kufikishwa Hospitali ya Sinza, kutokana na hali yake alipatiwa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Mwananyamala ambako umauti umemkuta leo. Pambano hilo liliandaliwa na Golden Gloves wakishirikiana na Ngoswe Uwezo.

Kwa upande wake, bondia Cosmas Cheka, ambaye ni Mweka Hazina wa Chama cha Mabondia nchini Tanzania, amesema suala la msiba wa marehemu Mgaya wanalishughulikia wao kama mabondia kuanzia mwanzo hadi mazishi.

Pia, Cheka amesema chama cha mabondia wapo mbioni kuandaa utaratibu wa kumsimamisha mwandaaji wa pambano hilo, Haji Ngoswe. “Nimemshauri Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mabondia Tanzania, Japhet Kaseba, kuandika barua ya kupeleka TPBRC ya kumsimamisha Promota Haji Ngoswe kwa kutoonyesha ushirikiano kwa bondia aliyefariki dunia,” amesema Cosmas Cheka akionesha masikitiko.
View attachment 3188183
Kwa afya hii unapiganaje
 
Hivi Chama cha ngumi, hakiwezi kufanya semina na hawa mabondia. Kuwaambia umuhimu wa kula lishe inayotakiwa bondia ale, vitu vinavyokatazwa.

Maana hali ya upatikanaji wa kazi, unavyokuwa mgumu ndiyo vijana wengi wanajitumbukiza humo je wanajua misingi yake, au tu mtu akienda wanampandisha ulingoni.

Tunaweza kuzuia vifo vingi, vingine huenda ni lishe duni au wengine wanashindia bangi na mashisha anapanda ulingoni.
 
Bondia Hassan Mgaya amefariki dunia, siku moja baada ya kupigwa TKO katika pambano la raundi sita lililofanyika Tandale kwa Mtogole, Dar es Salaam katika ukumbi wa Dunia Ndogo, na kupoteza fahamu dakika chache baadaye.

Mgaya alicheza pambano hilo lililofanyika Desemba 28, yaani usiku wa kuamkia leo, jijini Dar es Salaam. Pambano hilo, ambalo halikuwa la ubingwa, lilimkutanisha na mpinzani wake, Paulo Elias.

Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika Mgaya alidondoka ulingoni na mwamuzi akamhesabia na kumpa mpinzani wake ushindi wa TKO. “Mgaya alipigwa na kwenda chini, mwamuzi akamhesabia, na ikawa TKO kwa sababu marehemu alishindwa kuendelea. Baada ya mwamuzi kumaliza kuhesabu, alitembea hatua kadhaa hapo hapo ulingoni kisha akaanguka na kuzimia,” amesema shuhuda.

Ameongeza; “Baada ya kuzimia, Mgaya alipewa huduma ya kwanza kutoka kwa madaktari waliokuwepo kwenye pambano na akazinduka, kisha akapelekwa Hospitali ya Sinza kwa ajili ya matibabu,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kufikishwa Hospitali ya Sinza, kutokana na hali yake alipatiwa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Mwananyamala ambako umauti umemkuta leo. Pambano hilo liliandaliwa na Golden Gloves wakishirikiana na Ngoswe Uwezo.

Kwa upande wake, bondia Cosmas Cheka, ambaye ni Mweka Hazina wa Chama cha Mabondia nchini Tanzania, amesema suala la msiba wa marehemu Mgaya wanalishughulikia wao kama mabondia kuanzia mwanzo hadi mazishi.

Pia, Cheka amesema chama cha mabondia wapo mbioni kuandaa utaratibu wa kumsimamisha mwandaaji wa pambano hilo, Haji Ngoswe. “Nimemshauri Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mabondia Tanzania, Japhet Kaseba, kuandika barua ya kupeleka TPBRC ya kumsimamisha Promota Haji Ngoswe kwa kutoonyesha ushirikiano kwa bondia aliyefariki dunia,” amesema Cosmas Cheka akionesha masikitiko.
View attachment 3188183
Inna lillahi wa inna ilayhi rajiuun
Mwenyezi Mungu amsamehe makosa yake na ayafanye peponi kuwa makazi yake.
Ni habari ya kusikitisha, lakini kwa uhakika kifo hakikimbiliki ila sababu ya kumpelekea mtu kufa ndiyo inaweza kukwepeka. Ngumi ni mchezo wenye kusababisha madhara ya moja kwa moja katika mwili wa mwanadamu, hivyo tahadhari lazima zichukuliwe za kiafya kabla ya pambano, kwani kuna maisha baada ya mechi ya ngumi. Vilevile kifo hichi kichunguzwe na matabibu (postmortem) ili wajue nini hasa kilichopelekea kifo cha ndugu yetu ili tujue tufanye kitu gani katika kuboresha mchezo wa ndondi.
 
Bondia Hassan Mgaya amefariki dunia, siku moja baada ya kupigwa TKO katika pambano la raundi sita lililofanyika Tandale kwa Mtogole, Dar es Salaam katika ukumbi wa Dunia Ndogo, na kupoteza fahamu dakika chache baadaye.

Mgaya alicheza pambano hilo lililofanyika Desemba 28, yaani usiku wa kuamkia leo, jijini Dar es Salaam. Pambano hilo, ambalo halikuwa la ubingwa, lilimkutanisha na mpinzani wake, Paulo Elias.

Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika Mgaya alidondoka ulingoni na mwamuzi akamhesabia na kumpa mpinzani wake ushindi wa TKO. “Mgaya alipigwa na kwenda chini, mwamuzi akamhesabia, na ikawa TKO kwa sababu marehemu alishindwa kuendelea. Baada ya mwamuzi kumaliza kuhesabu, alitembea hatua kadhaa hapo hapo ulingoni kisha akaanguka na kuzimia,” amesema shuhuda.

Ameongeza; “Baada ya kuzimia, Mgaya alipewa huduma ya kwanza kutoka kwa madaktari waliokuwepo kwenye pambano na akazinduka, kisha akapelekwa Hospitali ya Sinza kwa ajili ya matibabu,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kufikishwa Hospitali ya Sinza, kutokana na hali yake alipatiwa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Mwananyamala ambako umauti umemkuta leo. Pambano hilo liliandaliwa na Golden Gloves wakishirikiana na Ngoswe Uwezo.

Kwa upande wake, bondia Cosmas Cheka, ambaye ni Mweka Hazina wa Chama cha Mabondia nchini Tanzania, amesema suala la msiba wa marehemu Mgaya wanalishughulikia wao kama mabondia kuanzia mwanzo hadi mazishi.

Pia, Cheka amesema chama cha mabondia wapo mbioni kuandaa utaratibu wa kumsimamisha mwandaaji wa pambano hilo, Haji Ngoswe. “Nimemshauri Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mabondia Tanzania, Japhet Kaseba, kuandika barua ya kupeleka TPBRC ya kumsimamisha Promota Haji Ngoswe kwa kutoonyesha ushirikiano kwa bondia aliyefariki dunia,” amesema Cosmas Cheka akionesha masikitiko.
View attachment 3188183
Hii Michezo yenu inawaletea familia simanzi na majuto,ndio maana Huwa sishabikii Michezo ya kipuuzi
 
Bondia Hassan Mgaya amefariki dunia, siku moja baada ya kupigwa TKO katika pambano la raundi sita lililofanyika Tandale kwa Mtogole, Dar es Salaam katika ukumbi wa Dunia Ndogo, na kupoteza fahamu dakika chache baadaye.

Mgaya alicheza pambano hilo lililofanyika Desemba 28, yaani usiku wa kuamkia Disemba 29, jijini Dar es Salaam. Pambano hilo, ambalo halikuwa la ubingwa, lilimkutanisha na mpinzani wake, Paulo Elias.

Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika Mgaya alidondoka ulingoni na mwamuzi akamhesabia na kumpa mpinzani wake ushindi wa TKO. “Mgaya alipigwa na kwenda chini, mwamuzi akamhesabia, na ikawa TKO kwa sababu marehemu alishindwa kuendelea. Baada ya mwamuzi kumaliza kuhesabu, alitembea hatua kadhaa hapo hapo ulingoni kisha akaanguka na kuzimia,” amesema shuhuda.
1735541388123.jpg


Ameongeza; “Baada ya kuzimia, Mgaya alipewa huduma ya kwanza kutoka kwa madaktari waliokuwepo kwenye pambano na akazinduka, kisha akapelekwa Hospitali ya Sinza kwa ajili ya matibabu,” kilisema chanzo hicho.

Baada ya kufikishwa Hospitali ya Sinza, kutokana na hali yake alipatiwa rufaa ya kupelekwa Hospitali ya Mwananyamala ambako umauti umemkuta leo. Pambano hilo liliandaliwa na Golden Gloves wakishirikiana na Ngoswe Uwezo.

Kwa upande wake, bondia Cosmas Cheka, ambaye ni Mweka Hazina wa Chama cha Mabondia nchini Tanzania, amesema suala la msiba wa marehemu Mgaya wanalishughulikia wao kama mabondia kuanzia mwanzo hadi mazishi.

Pia, Cheka amesema chama cha mabondia wapo mbioni kuandaa utaratibu wa kumsimamisha mwandaaji wa pambano hilo, Haji Ngoswe. “Nimemshauri Mwenyekiti wetu wa Chama cha Mabondia Tanzania, Japhet Kaseba, kuandika barua ya kupeleka TPBRC ya kumsimamisha Promota Haji Ngoswe kwa kutoonyesha ushirikiano kwa bondia aliyefariki dunia,” amesema Cosmas Cheka akionesha masikitiko.

Pole sana Hassan Mgaya msalimie Sherif Lawal, Ardi Ndembo, Ubayd Haider pamoja na Muhammad Ali. Tutaonana baadaye!
 
Hii ni post ya Msiba.. ila comments sasa daah mtu unawez kucheka mpk machozi😂😂
 
Chipsi mshikaki unashushia na energy ya azam halafu unaingia ulingoni......
 
Jamaa anaonekana alikua na lishe duni sana
Kivipi wakati wanashindanishwa kwa uzito wao wenyewe, kama ana kilo 40 atapambanishwa na mwenzake wa uzito usiopishana.
 
Na unakuta wanagombea laki mbili tatu, katikaa vitu vya kulinda ni kichwa ukiona anakuzid bora kukimbia kimbia kama marasta wa south
 
Wanazijua basi hata dalili zake?

Ukizingatia hata huduma alizopewa zilikuwa duni mno,ilibidi mwamuzi atoe taarifa kwa kamisheni ya pambano bondia asipelekwe Sinza apelekwe moja kwa moja M/nyamala then M/nyamala wamrufae Muhimbili.
Dalili moja wapo ni kufumba fumba macho hebu lingalie pambano la Mmarekani Gerald McCLelan na Muingereza Nigel Benn,Mmarekani huyo mwishoni wa pambano aliaza kufunga funga macho mithili ya kuingiwa na pilipili na baadae kuanguka ulingoni na mpaka leo ni mlemavu.
c6678c2a063c6c3a5bfe66c0f6b20ed9.jpg
74a6dc79-87fc-449a-bf8e-4a3b22a3fb3a.jpg

Tazama anavyofunga funga macho kabla ya kuanguka na kukimbizwa hospitali kufayiwa upasuaji wa kuondoa damu iliyovujia kwenye ubongo.
GeraldMcClellan.jpg

Baada ya kupata Brain damage.
thumbnail_IMG_3800-copy.jpg

Akiishi na ulemavu Gerald McCLelan amekuwa ni kipofu na kiziwi, haoni wala hasikii
a-day-in-the-life-of-gerald-mcclellan-boxing-news-v0-qmpsb6UAQes7DbqhvmSs-UUmNA2ai_6PVdWlFZLDiio.jpg

Kama unataka kuliona pambano hilo ingia You Tube.
 
Dalili moja wapo ni kufumba fumba macho hebu lingalie pambano la Mmarekani Gerald McCLelan na Muingereza Nigel Benn,Mmarekani huyo mwishoni wa pambano aliaza kufunga funga macho mithili ya kuingiwa na pilipili na baadae kuanguka ulingoni na mpaka leo ni mlemavu.
View attachment 3188524View attachment 3188525
Tazama anavyofunga funga macho kabla ya kuanguka na kukimbizwa hospitali kufayiwa upasuaji wa kuondoa damu iliyovujia kwenye ubongo.
View attachment 3188526
Baada ya kupata Brain damage.
View attachment 3188527
Akiishi na ulemavu Gerald McCLelan amekuwa ni kipofu na kiziwi, haoni wala hasikii View attachment 3188528
Kama unataka kuliona pambano hilo ingia You Tube.
Aisee hii kitu ni deadly,huu siyo mchezo wa kuujaribu.
 
Kwa hiyo mpinzani wake ana Man Slaughter (Mada Kesi) au ndio Jina litapata aka ya Muuaji. Jamaa atakuwa anajisikia vibaya sana kusababisha mauti bila kukusudia.
 
Waandaji wakamatwe. Wameua bila kukusudia.

Sioni bondia humo , namuona kijana wa mtaani mwenye lishe duni. Anapandaje ulingoni.!?
Valento non fit injuria

Voluntarily assumption of risk
 
Back
Top Bottom