Mwanangikolo Member Joined Nov 10, 2022 Posts 63 Reaction score 105 Dec 30, 2024 #81 Hiyo ndo Maana halisi ya knock out ya mama
The ice breaker JF-Expert Member Joined Apr 20, 2023 Posts 880 Reaction score 1,985 Dec 31, 2024 #82 Hivi ukiwa mnene ndio una afya?
pandagichiza JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 5,248 Reaction score 3,663 Dec 31, 2024 #83 Mshana Jr said: Je alipima afya vizuri kabla ya pambana? Click to expand... Hata ukipima afya, kwenye boxing kuna kitu kinaitwa "rabbit punch" hiyo ni hatari.
Mshana Jr said: Je alipima afya vizuri kabla ya pambana? Click to expand... Hata ukipima afya, kwenye boxing kuna kitu kinaitwa "rabbit punch" hiyo ni hatari.
jannelle JF-Expert Member Joined Feb 8, 2020 Posts 824 Reaction score 1,581 Jan 2, 2025 #84 blogger said: Waandaji wakamatwe. Wameua bila kukusudia. Sioni bondia humo , namuona kijana wa mtaani mwenye lishe duni. Anapandaje ulingoni.!? Click to expand... 😂 Mnatupa dhambi ya kucheka msibani jamani
blogger said: Waandaji wakamatwe. Wameua bila kukusudia. Sioni bondia humo , namuona kijana wa mtaani mwenye lishe duni. Anapandaje ulingoni.!? Click to expand... 😂 Mnatupa dhambi ya kucheka msibani jamani
Pablo 119 JF-Expert Member Joined May 19, 2018 Posts 1,515 Reaction score 1,962 Jan 2, 2025 #85 60000 imeondoka na roho ya fighter
Damaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2018 Posts 3,978 Reaction score 6,739 Jan 3, 2025 #86 Duuh 60k imeondoka na roho ya mtu 😔
Damaso JF-Expert Member Joined Jul 18, 2018 Posts 3,978 Reaction score 6,739 Jan 3, 2025 #87 Mwanangikolo said: Hiyo ndo Maana halisi ya knock out ya mama Click to expand... Jamani jamani
and 100 others JF-Expert Member Joined Feb 3, 2023 Posts 3,707 Reaction score 12,367 Jan 3, 2025 #88 Tyson na Muhammad Ali, katika nyakati tofauti waliwahi kusema kama wangepata elimu bora wasingecheza bondia, mchezo wa hatari sana huo ...
Tyson na Muhammad Ali, katika nyakati tofauti waliwahi kusema kama wangepata elimu bora wasingecheza bondia, mchezo wa hatari sana huo ...