TANZIA Bondia Hassan Mgaya afariki Dunia baada ya kupigwa kwa TKO

Waandaji wakamatwe. Wameua bila kukusudia.

Sioni bondia humo , namuona kijana wa mtaani mwenye lishe duni. Anapandaje ulingoni.!?
😂 Mnatupa dhambi ya kucheka msibani jamani
 
Tyson na Muhammad Ali, katika nyakati tofauti waliwahi kusema kama wangepata elimu bora wasingecheza bondia, mchezo wa hatari sana huo ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…